Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya sasa. Kundundwellers
1753977472639.png
 
Sisi hata Marekani kabla hajakoroma huwa anasikiizia upepo.

Tulidinda na WEST enzi za NAM, ndio tubabaike na kinchi kama Kenya.

Tulivunja mahusinao na Israel, tuakitambua Palestine na West Sahara ndio tubabaike na Kenya.

Kenya hata Visa tu, Wamarekani hawalipi, kwa Tanzania wanalipa $100 na hakuna kitu wanafanya.

Juzi tu hapa Ruto alienda China, akaanza kupigwa mikwara na Marekani, wakati Tanzania hakuna mhuni anasema kitu.

Anayetaka aje asiyetaka basi.
Sisi huwa tuna balls za ku wa tell off hawa westerners na wanajua hawawezi kutufanya kitu chochote. Angalia hii hapa ya juzi tuu. They know we as a country have our own independent mind and don't take instructions from no one in this globe. 👇

View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=4XGUO7djKhyv-Kkv
 
Naomba udhamini wa sandaland footwear wa simba kwa mwaka ni bei gani versus huuu udhamini


Wakati mkataba wa miaka miwili wa Kampuni ya Sandaland kuhusu uzalishaji wa vifaa vya michezo kwa Club ya Simba SC ukiwa unaelekea ukingoni, Club hiyo jioni ya leo Jijini Dar es salaam imemtangaza Mzalishaji mpya wa jezi zao.

Simba wamemitangaza Kampuni ya Jayrutty kuwa ndio Mzalishaji na Muuzaji mpya wa jezi zao kwa kipindi cha miaka mitano katika mkataba huo mnono wenye thamani ya Tsh Bilioni 38 (38,120,400,000).

Kwa mujibu wa mkataba, licha ya Kampuni hiyo kutengeneza jezi za Timu huyo pia itajenga uwanja wa Simba SC wenye uwezo wa kuchukua mashabiki kati ya elfu 10 hadi 12, kuleta basi jipya la kisasa la Timu aina ya Irizar, kujenga Media ya Club, Ofisi na kutoa pesa Tsh milioni 100 kila mwaka za kusaidia vipaji vya soka vya Simba SC.

Mkataba huu mpya unakuwa mkataba ulioweka rekodi ya kipekee kwa Tanzania na Afrika Mashariki kwani imeelezwa kuwa hakuna Club yoyote ya soka yenye mkataba wa thamani hiyo.

Mwaka 2019 Simba iliingia mkataba wa miaka miwili na UhlSport wenye thamani ya Tsh milioni 600, mwaka 2021 wakasaini mkataba wa miaka miwili na Vunjabei wenye thamani ya Tsh Bilioni 2 na mwaka 2023 waliingia Mkataba wa miaka miwili na Sandaland wenye thamani ya Tsh Bilioni 4. #MillardAyoUPDATES
Yani hizo billion 38 Tzsh ni sawa na bilioni 1.9 Ksh,yani mkataba wa miaka 10 wa pesa za kudhamini ligi nzima ya Kenya ni pesa ndogo kuliko mkataba wa Simba na Jayrutty wa miaka mitano.
😂😂😂😂 Lamamayeee.
 
Ungekuwa na akili ungejua clubs do sign higher sponsorship deals than leagues. Lakini ng'ombe ni ng'ombe tu.
Ingekua hivyo Azam asingesaini sponsorship ya ligi ya Tanzania kwa $ 100 millions for ten years.
Yani $ 10 milllions for a single year.
Sawa na 11 billions Ksh for ten years na 1 billion ksh per single year.
Ndio mnasema mna ligi nyie!?
 
Yani hizo billion 38 Tzsh ni sawa na bilioni 1.9 Ksh,yani mkataba wa miaka 10 wa pesa za kudhamini ligi nzima ya Kenya ni pesa ndogo kuliko mkataba wa Simba na Jayrutty wa miaka mitano.
😂😂😂😂 Lamamayeee.
Weka maneno vizuri ni mdogo kuliko mkataba wa kit supplier wa Simba. Hapo hatujagusia Mdhamini mkuu Betway and others such as Azam TV rights and NBC premier league etc.
 
Back
Top Bottom