Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu mimi sipotoshwi na mtu yeyote huwa nasimamia kile ninacho amini. Kama protocol ya EA inaruhusu hivyo tutakuwa hatuna jinsi ndio namaanisha hivyo.
Brother ARTICLE 7 ya Common Market Protocol
1753963573432.png


Hilo Tangazo tumewaambia hatutaki watu kuingia Tanzania kufanya kazi hizo.
 
Wanasema Kenya pekee ndio wanalalamika. The truth is, wanafuatilia kinachoendelea Kenya pekee.
Waganda hawa

I don't see other countries National Tv na almost nchi nzima kujazana kupiga ukunga kama Nyie Kunyans.

Yaani hata ziara ya Rais wa Uganda haijulikani, habari nzima ya Nchi ni kuzuiwa umachinga.
 
I don't see other countries National Tv na almost nchi nzima kujazana kupiga ukunga kama Nyie Kunyans.

Yaani hata ziara ya Rais wa Uganda haijulikani, habari nzima ya Nchi ni kuzuiwa umachinga.
Because you don't follow them they way you do with Kenya. Mngekuwa mnafuatilia mambo ya masomo pia hivo watanzania wangekula mbali Sana.
 
Which EAC?

Kenya knows nothing about integration, except when it wants to export it's useless jobless youths.
Hawa watu inatakiwa wajifunze maana ya branding , huwez pata muwekezaji wa dhamani au kitu Cha thaman ikiwa nawe unajishusha sana.
Hata ukiangalia jinsi wasanii wa kibongo na Kenya walivyo na utofauti wa thaman , hiyo yote inaanzia kwenye brand tengeneza brand ili watu wa thaman waje, sasa wao wanataka badala kuwavutia wawekezaji wakubwa wakuja weka viwanda na wanunuzi wakubwa mazao watao Toka nje wanataka turuhusu wachina waje walime wasafirishe wenyewe huku wazawa wakibaki hawana pa kuuza🤣🤣🤣🤣
 
Aione NairobiWalker alikua anasema pesa ndogo.

Damn Miaka 10 😂😂😂
Naomba udhamini wa sandaland footwear wa simba kwa mwaka ni bei gani versus huuu udhamini


Wakati mkataba wa miaka miwili wa Kampuni ya Sandaland kuhusu uzalishaji wa vifaa vya michezo kwa Club ya Simba SC ukiwa unaelekea ukingoni, Club hiyo jioni ya leo Jijini Dar es salaam imemtangaza Mzalishaji mpya wa jezi zao.

Simba wamemitangaza Kampuni ya Jayrutty kuwa ndio Mzalishaji na Muuzaji mpya wa jezi zao kwa kipindi cha miaka mitano katika mkataba huo mnono wenye thamani ya Tsh Bilioni 38 (38,120,400,000).

Kwa mujibu wa mkataba, licha ya Kampuni hiyo kutengeneza jezi za Timu huyo pia itajenga uwanja wa Simba SC wenye uwezo wa kuchukua mashabiki kati ya elfu 10 hadi 12, kuleta basi jipya la kisasa la Timu aina ya Irizar, kujenga Media ya Club, Ofisi na kutoa pesa Tsh milioni 100 kila mwaka za kusaidia vipaji vya soka vya Simba SC.

Mkataba huu mpya unakuwa mkataba ulioweka rekodi ya kipekee kwa Tanzania na Afrika Mashariki kwani imeelezwa kuwa hakuna Club yoyote ya soka yenye mkataba wa thamani hiyo.

Mwaka 2019 Simba iliingia mkataba wa miaka miwili na UhlSport wenye thamani ya Tsh milioni 600, mwaka 2021 wakasaini mkataba wa miaka miwili na Vunjabei wenye thamani ya Tsh Bilioni 2 na mwaka 2023 waliingia Mkataba wa miaka miwili na Sandaland wenye thamani ya Tsh Bilioni 4. #MillardAyoUPDATES
 
Back
Top Bottom