Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Atalegeza tuu kwa EA citizens hakuna jinsi hii haijakaa sawa na EA protocols.
Eac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
 
Each protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
Article 10 ya PROTOCOL ON THE ESTABLISHMENT OF THE EASTAFRICAN COMMUNITY COMMON MARKET

1753952724581.png


Hayo ndio watu wanatakiwa kujua.
 
Yaani wao kila kitu cha Tz kinawauma? Hawapendi kuona Maendeleo yoyote ya Tanzania. Yaan wanaifuatilia Tz kupita Maelezo.

Wataumia sana mwaka huu na GDP yao iliyoongezeka online kwa $29b

 
Tatizo hawaweki wazi tatizo ni nini? TRC wako kimya.

Hatuwezi solve matatizo kwa kukaa kimya...alisemaga Magufuli
Ni FUNDING.

Mwigulu alisema pesa imepatikana, na mwaka wa fedha ndio umeanza, mpaka mwezi 9, kama kweli pesa ipo tutaanza kuona kazi.

Maana nimeshaambiwa Mwanza wamerudi kazini.
 
Hebu ipitie hapa EAST AFRICAN COMMUNITY COMMON MARKET
Hasa hasa soma Article 10 Inayoongelea Movement of Labour. Ukiisoma kwa kina 10(11)
View attachment 3425781
Hawajazuiliwaa ila wafuate Sheria za ufanyaji biashara ambazo zinawataka wawe na business permit kwa biashara husika , kama wanataka kufanya exportation ya mazao Sheria Iko wazi lazima ufanye manunuzi kupitia minada na masoko yanayotambulika badala ya kwenda kwa wakulima direct, hii yote ni ili kubalansi upatikanaji wa mapato kwenye halmashauri zetu.
Naweza kukupa mfano kwa halmashauri zilizopiga direct manunuzi ya mazao kama korosho mbazi, ufuta na kadhalika, baada ya mazao kuanza kupitia ghalani makusanyo yakiongezeka maradufu.
Mfano fuatilia makusanyo ya zao la mbaazi, ufuta choroko na kadhalika .
Nina mfano halmashauri moja ya kusini ambayo ufuta kwa miaka ya 2021/2022 ilikuwa haijawahi fikisha hata 100mil ila leo hii2024/2025 imekusanya mil 700 kwa ushuru tu Tena wa 54/kg
 
Back
Top Bottom