Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,626
Hamna haja ya ndege kwenda ulaya,mzee nchi zenye utalii na kuusimamia vizuri ndege zitakuja tu,angalia zenj france kisharudisha ndege zake,kunyan wananufaika na hili sababu ya uzembe wetu na kuna watu for sure wamesabotage kwa maksudi baadhi ya mashirika ya ndege yasije TZNdege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.