Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.
Hamna haja ya ndege kwenda ulaya,mzee nchi zenye utalii na kuusimamia vizuri ndege zitakuja tu,angalia zenj france kisharudisha ndege zake,kunyan wananufaika na hili sababu ya uzembe wetu na kuna watu for sure wamesabotage kwa maksudi baadhi ya mashirika ya ndege yasije TZ
 
Ndege zetu zikianza safari za kwenda Ulaya, maumivu yatakuwa mengi mno. Na wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha Ndege za Tanzania haziendi Ulaya. Watatumia Budget yao yote ya Kilimo, Afya na Miundombinu kuzuia hili lisitokee.
Si ndio maana juzi nilipinga MOU ya KQ na Air Tanzania! CEO wa AIR Tanzania inabidi a-cancel ile maneno!
 
Hii nimekutana nayo. Tayari online Tools zinazotumika hapa TZ TRA wanachukua VAT

1753949510194.png
 
Sure 😂😂😂 with Yutong ya 2018 dah, yaani used scrappers? Imagine unaogopa kuweka mikebe ya nyundo unaenda kuchukua kitu cha 2018 unachonanga
View attachment 3425477
Si walisema hawatumii mchina!!? Tena ni used, wakati Tz na Uganda wameingia vyuma vipya kabisa, si wangetumia gari wanazodai wanatengeneza wenyewe!!?? Hawa wanusa gundi ni useless kabisa.
 
Atalegeza tuu kwa EA citizens hakuna jinsi hii haijakaa sawa na EA protocols.
Eac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
 
Back
Top Bottom