Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In 2024 remittance flows from Tanzania to Kenya amounted to approximately US $6.9 million, making Tanzania the largest African source of remittances to Kenya that year .


hivi how much does Tanzania get from kenya

🤣🤣🤣🤣
Pesa wanazopata omba omba wenu hazikuwi quantified but i assure you ni mabilioni, kenyans are generous
 
Ng'ombe ni ng'ombe tu.
Imagine nchi nzima iko hivi kisa Tz kuzuia umachinga?

1753973456346.gif

1753973485389.gif


GDP KUBWAA, SHILLING KUBWAA

1000133152.jpg


Hakuna umachingaaaaa, nchi nzima

1753973703525.jpeg
 
It's biggger, no doubt.

Dalili nyingi ziko hivyo.

Kuna vitu vingi tunafanya kwa pesa za ndani effortlessly, ila Kenya ina struggle.

Mfano, wa karibuni tunajenga Stadium 2 mpya kwa mpigo ila Kenya uwanja mmoja wa Talanta ila inahemea juu juu kwa madeni.
Sisi priority yetu ipo pengine, kazi yenu ni kujiliwaza tu.. yani upeleke 500ksh tu kwa mwaka kwa kila mwanafunzi kusimamia masomo yake kisha ujipige kifua eti unatengeneza uwanja kwa fedha zako, huoni hata aibu
 
In 2024 remittance flows from Tanzania to Kenya amounted to approximately US $6.9 million, making Tanzania the largest African source of remittances to Kenya that year .


hivi how much does Tanzania get from kenya

🤣🤣🤣🤣
Mbona ndogo $6.9 mln tu?
 
Back
Top Bottom