Watakuambia malls are not "kigezo cha maendeleo" until that day they will have one and I promise you utatii😂😂😂Arusha haina mall.
Yaani design ya stadium ya 1985 Iko better than Benjamin ya 2003!Kasarani Stadium.
![]()
![]()
![]()
![]()
Maandamano gani??Hakuna kelele, ni nyinyi mnatufuatilia saaana. UG wameenda maandamano ila hamna habari mko busy kusema Wakenya wanapiga kelele. 🚮
Alikuja na ID mpya inayojiita Traveller DBTW what happened to your friend Mr. Baboo AKA Sama boy 255 ? Ama alidedi? 🤣 🤣
Sasa si tunataka muwafukuze sio kupiga kelele kwa mitandaoPesa wanazopata omba omba wenu hazikuwi quantified but i assure you ni mabilioni, kenyans are generous
Sisi priority yetu ipo pengine, kazi yenu ni kujiliwaza tu.. yani upeleke 500ksh tu kwa mwaka kwa kila mwanafunzi kusimamia masomo yake kisha ujipige kifua eti unatengeneza uwanja kwa fedha zako, huoni hata aibuIt's biggger, no doubt.
Dalili nyingi ziko hivyo.
Kuna vitu vingi tunafanya kwa pesa za ndani effortlessly, ila Kenya ina struggle.
Mfano, wa karibuni tunajenga Stadium 2 mpya kwa mpigo ila Kenya uwanja mmoja wa Talanta ila inahemea juu juu kwa madeni.
Exactly. Hata hamna habari. Lakini Kenya hata mtoto wa miaka 15 akiiongelea tiktok mtajua. 🤣 🤣 🤣Maandamano gani??
Mnaoiga kelele, mnafanya PRESS, mnaweka TVs na paper headlines.
Kelele kibao
Makwapa is a 2007 Stadium but it's uglier than a 1985 Stadium.Yaani design ya stadium ya 1985 Iko better than Benjamin ya 2003!
With a running track field Iko closer sana juu it's steep well.
Benjamin ni nyayo tu!!!
1km from field
Exactly. Hata hamna habari. Lakini Kenya hata mtoto wa miaka 15 akiiongelea tiktok mtajua. 🤣 🤣 🤣
Exactly. Hata hamna habari. Lakini Kenya hata mtoto wa miaka 15 akiiongelea tiktok mtajua. 🤣 🤣 🤣
5 years! Over 5 years unatoa wapi?ila ya jayrutty ni ya over 5 yrs
Mbona ndogo $6.9 mln tu?In 2024 remittance flows from Tanzania to Kenya amounted to approximately US $6.9 million, making Tanzania the largest African source of remittances to Kenya that year .
hivi how much does Tanzania get from kenya
🤣🤣🤣🤣
Ila kuihalisia hua tulisema foreigners tunamaanisha kwamba ni non-east Africans.Mama akilegeza kamba nitamdharau!
Kwa Africa ndo kubwa kuliko zote kumbuka hapa ni karibu na Kenya kwahiyo hela nyingi wanaweza wakawa wanavuka nazo au wananunua vitu kwenda kuuza kwao ili wapate faida mara mbili, kihalisi si ndo kwa kiwango hichoMbona ndogo $6.9 mln tu?
Acha wajivuruge ili tushughulike nao vizuri. Hata ukija kwenye domestic tourists wao huhesabiwa kama watu wa ndani hata records huwa zinaonesha ni wageni wa ndaniIla kuihalisia hua tulisema foreigners tunamaanisha kwamba ni non-east Africans.
East Africans and SADC member citizens huwa Wana privilege siku zote!! Wakenya hawato katazwa...tatizo wamepanic sana.