Brother hersi humjui vizuri wewe vizuri, unafuata tu mahaba ya Yanga. Tukikuuliza kiundani huwezi kutoa jibu lolote. Sasa hivi hutamuona tena anajihusisha na Yanga. Plan yake failed. Watu walikuwa wanamchora tu na kumpatia sifa za kijinga. Watu hawajasahau aliwaita wala mihogo. Yaani wewe ni kiongozi unawaita wanachama wako wala mihogo!!!?
Brother hersi humjui vizuri wewe vizuri, unafuata tu mahaba ya Yanga. Tukikuuliza kiundani huwezi kutoa jibu lolote. Sasa hivi hutamuona tena anajihusisha na Yanga. Plan yake failed. Watu walikuwa wanamchora tu na kumpatia sifa za kijinga. Watu hawajasahau aliwaita wala mihogo. Yaani wewe ni kiongozi unawaita wanachama wako wala mihogo!!!?
Zamani nyakati za utumwa ndio watu walikuwa wanabebwa juu huku watu wakitembea? Yeye ni nani katika zama hizi kubebwa juu juu kwenye kiti kama mfalme Tanzania? Watu walikuwa wanakusanya taarifa tu. Yeye alidhani watu wamesahau. Na kuna mengi tu nje ya pazia
Zamani nyakati za utumwa ndio watu walikuwa wanabebwa juu huku watu wakitembea? Yeye ni nani katika zama hizi kubebwa juu juu kwenye kiti kama mfalme Tanzania? Watu walikuwa wanakusanya taarifa tu. Yeye alidhani watu wamesahau. Na kuna mengi tu nje ya pazia
Wanusa gundi wanalia kwa ujumla viongozi wananchi kwa pamoja wanalia kisa sheria za Tanzania inaonekana Kenya ni mkoa wa Tanzania ila hatujui watu wanasema wanauchumi mkubwa karibia mara mbili yetu sasa wanalia nini wanalilia
unachinga kweli walikuwa wanatutukana kuwa wachina wanafanya umachinga haya sheria imetungwa wao ndiyo wa kwanza kulia kila kona ya nchi nimeamini bila Tanzania hakuna nchi inayoitwa Kenya
Kenya formally petitions EAC Secretariat over Tanzania’s ban on foreign businesses
www.facebook.com
"The Order undermines the core objectives of regional economic integration and poses a significant setback to the gains made under the EAC Common Market Protocol,” Dr. Karugu said.
Kenya now wants the EAC Secretariat to notify Tanzania of its obligations under the EAC Treaty and community laws and push for a review of the directive.
“I have officially written to the EAC Secretariat to notify the United Republic of Tanzania to review the Order to ensure full compliance with the EAC Treaty and Community Laws,” noted the PS.
This standoff comes amid growing concern among Kenyan traders operating in Tanzania, many of whom now face potential eviction or business closure should the directive be enforced.
Tanzania has defended the move as an effort to protect local entrepreneurs and small businesses, but critics argue it amounts to economic isolationism within a bloc founded on free trade and shared prosperity.
The fallout threatens to strain diplomatic ties and further dampen investor confidence in the region, which has already been grappling with persistent trade squabbles among member states.
Kenya's Trade Cabinet Secretary Lee Kinyanjui on Wednesday called for Tanzania to withdraw the new directives, warning that imposing similar sanctions for Tanzania were on the table.
“On whether Kenya will retaliate...Yes, that is one of the cards on the table but we first want to exhaust the diplomatic channels,” he said.
What is wholesale about this mall?
All I see is row after row of small retail shops designed to sell Chinese goods.
Show me the occupancy rate 5 years from now, especially on the upper floors.
I don't know what this is meant to accomplish, because malls in the 21st century are being built to be experience centers.
Why would a young family want to visit this thing on a weekend for example? Obviously not for the water slides or the Imax theater.
How do you stack 2000 shops in roughly the same area as Two Rivers with 200?
So, clearly this is not a mall. It is a HUGE MARIKITI 😂
Mpo EAC kishingo upande.. eac inaruhusu free movement of people, labour and services ila kila wakati nyinyi ndo wa kuja na vikwazo. Mbna msijitoe EAC kama mnaona mnalazimishwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.