Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Because you don't follow them they way you do with Kenya. Mngekuwa mnafuatilia mambo ya masomo pia hivo watanzania wangekula mbali Sana.
Weka link acha ufala.

I remember we ndio kenge no moja ulikua na kiherehere kutuonesha wachina wanafanya small business kariakoo na maeneo mengi kwa kejeli.

Now tumepiga ajabu wanaolia ni nyie nyang'au.

Weka Link ya NATIONAL TVs, media zote za nchi, kuongelea Tv na hiyo Sheria. Vya Other African countries.

Remember the whole media za Nchi kuanzia gazeti front Page, National Tv, private Tv, blogs, podcast, vlog, social media vyote kama Ukunyan
 
Hawa watu inatakiwa wajifunze maana ya branding , huwez pata muwekezaji wa dhamani au kitu Cha thaman ikiwa nawe unajishusha sana.
Hata ukiangalia jinsi wasanii wa kibongo na Kenya walivyo na utofauti wa thaman , hiyo yote inaanzia kwenye brand tengeneza brand ili watu wa thaman waje, sasa wao wanataka badala kuwavutia wawekezaji wakubwa wakuja weka viwanda na wanunuzi wakubwa mazao watao Toka nje wanataka turuhusu wachina waje walime wasafirishe wenyewe huku wazawa wakibaki hawana pa kuuza🤣🤣🤣🤣
Wakenya wamelelewa hivyo, ndio maana hata sasa wanafurahia sattelitte towns za Wasomali.
 
Dah Bongo kuna mapesa

Miaka mitatu
1000133132.jpg

Miaka 10 inakua hivi
1753968202338.jpeg
 
Hamna kosa, ila mna roho mbaya na unafiki.
Kujiwekea sheria yetu ndio unafiki,kuna watu wenye roho mbaya,wivu na unafiki kama wakunya ukanda huu,ukimuona mkunya yuko nawe karibu basi ananufaika na kupitia wewe,mnachomfanyia rostam na bakhresa ndicho mnachowafanyia wawekezaji wengi wa kutoka TZ but nyie huku mmejaa kuanzia wezi,bar maids,gardener,tour guide,mashambani huko mmejaa kama wote,pambaneni na hali yenu wajinga nyinyi
 
Lies, land in kenya is not limited, the truth is, large fertile land is owned by politicians and colonisers akina Lor Delamere.
You just answered your own question… but the word limited is applicable in this sense since we are not a communist nation regardless of how the land ownership was achieved. Rectification is a debate for another day..
 
Back
Top Bottom