Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah Bongo kuna mapesa

Miaka mitatu
1000133132.jpg

Miaka 10 inakua hivi
1753968202338.jpeg
 
Hamna kosa, ila mna roho mbaya na unafiki.
Kujiwekea sheria yetu ndio unafiki,kuna watu wenye roho mbaya,wivu na unafiki kama wakunya ukanda huu,ukimuona mkunya yuko nawe karibu basi ananufaika na kupitia wewe,mnachomfanyia rostam na bakhresa ndicho mnachowafanyia wawekezaji wengi wa kutoka TZ but nyie huku mmejaa kuanzia wezi,bar maids,gardener,tour guide,mashambani huko mmejaa kama wote,pambaneni na hali yenu wajinga nyinyi
 
Lies, land in kenya is not limited, the truth is, large fertile land is owned by politicians and colonisers akina Lor Delamere.
You just answered your own question… but the word limited is applicable in this sense since we are not a communist nation regardless of how the land ownership was achieved. Rectification is a debate for another day..
 
I don't see other countries National Tv na almost nchi nzima kujazana kupiga ukunga kama Nyie Kunyans.

Yaani hata ziara ya Rais wa Uganda haijulikani, habari nzima ya Nchi ni kuzuiwa umachinga.
Umetazama video ya hiyo post uliyoquote wewe Malaya?
 
Eac protocol inaendana na Sheria za nchi husika ,
Mfano inajulikana kabisa mazao inatakiwa yanunuliwe kwenye masoko husika, either kwa njia ya mnada au na si kwa wageni hata wanunuzi wa ndani wale wakubwa ila wao wanataka wakanunue kwa wakulima direct halafu wafanye exportation hiyo sio sawa.
Hata kwenye hizo biashara inajulikana kabisa ili ufungue biashara Tanzania hata kama ni mwa EAC lazima upate business permit na visa,then unaweza Fanya biashara au ukafanya hiyo hawking, sasa wao wanakuja wanafanya biashara kwa kutumia permit ambayo Kila baada ya siku 90 wanatakiwa watoke , na mara nyingi hata hizo leseni wanazotumia si zao, halafu wanataka utaratibu.
EAC common market protocol hailazimishi uvunje Sheria za nchi husika kama wanataka kufanya biashara Sheria za tanzania zinajulikana , ukitaka kufanya leasing ya kilimo pitia TIC, sio kama wanavyofanya sasa hivi kwenda vijijin wananunua mazao kwa wakulima wanatumia leseni za kusafirisha ambazo zinapatikana kwa madalali tu, hakuna wanacholipa zaid ya ushuru.
Mtu anataka asafirishe mazao tan 300ila kwa kutumia leseni ya kidalali na zaid ya ushuru hakuna Kodi anayolipa
Waulize tangu Ruto aingie wame-violate mara ngapi common market protocols?
 
Back
Top Bottom