concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,312
- 14,335
Free movement haihusiani na kuvunja Sheria za nchi, ukiangalia kama hiyo namba 13 ambayo wanailalamikia sana , kuna wakenya kibao walikuwa wanaenda kununua mazao kwa ajili ya kuexport kwenda Kenya kinyume na utaratibu wa kupitia kwenye masoko ya bidhaa kama pale kibaigwa na sodeco songea.Mkuu mimi sipotoshwi na mtu yeyote huwa nasimamia kile ninacho amini. Kama protocol ya EA inaruhusu hivyo tutakuwa hatuna jinsi ndio namaanisha hivyo.
Ili uweze kufanya biashara ya exportation ya mazao , je walikuwa wanatimiza hayo yote.
Ukiangalia kuna idadi ya watalii wengi ambao wanakuja kutoka kenya na Burundi ila hatuwakuti kwenye maeneo ya utalii, kwahiyo wanatumia kigezo Cha utalii kuja kufanya biashara ambazo kihali halisi haziko recorded.
Waje wafuate utaratibu sio kusingizia kuwa kwa sababu kuna watanzania wako Kenya nasi tuvunje taratibu zetu kwa ajili ya kuwa accommodate watu wao.
Kama kuna watanzania wanavunja taratibu kwa kutokuwa na vibali vya kufanya biashara husika nao wawatoe, ila sio mtu ana working or business permit kalipia 1000usd kwa mwaka umfukuze