Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu mimi sipotoshwi na mtu yeyote huwa nasimamia kile ninacho amini. Kama protocol ya EA inaruhusu hivyo tutakuwa hatuna jinsi ndio namaanisha hivyo.
Free movement haihusiani na kuvunja Sheria za nchi, ukiangalia kama hiyo namba 13 ambayo wanailalamikia sana , kuna wakenya kibao walikuwa wanaenda kununua mazao kwa ajili ya kuexport kwenda Kenya kinyume na utaratibu wa kupitia kwenye masoko ya bidhaa kama pale kibaigwa na sodeco songea.
Ili uweze kufanya biashara ya exportation ya mazao , je walikuwa wanatimiza hayo yote.
Ukiangalia kuna idadi ya watalii wengi ambao wanakuja kutoka kenya na Burundi ila hatuwakuti kwenye maeneo ya utalii, kwahiyo wanatumia kigezo Cha utalii kuja kufanya biashara ambazo kihali halisi haziko recorded.
Waje wafuate utaratibu sio kusingizia kuwa kwa sababu kuna watanzania wako Kenya nasi tuvunje taratibu zetu kwa ajili ya kuwa accommodate watu wao.
Kama kuna watanzania wanavunja taratibu kwa kutokuwa na vibali vya kufanya biashara husika nao wawatoe, ila sio mtu ana working or business permit kalipia 1000usd kwa mwaka umfukuze
 
Wawafukuze tuone? Eti utazuia malori yasiingie Kenya sawa . Wataagiza mbao kutoka Dubai🤣🤣🤣🤣.
Hatukubabaishwa na south Africa ije Kenya
Asee mimi lolote la kuwapiga pini hawa wakumbafu huwa naliunga mkono kwa asilimia 100 hata kama sikubaliani na serikali iliyopo madarakani. 😂😂😂
 
Wawafukuze tuone? Eti utazuia malori yasiingie Kenya sawa . Wataagiza mbao kutoka Dubai🤣🤣🤣🤣.
Hatukubabaishwa na south Africa ije Kenya
Sisi hata Marekani kabla hajakoroma huwa anasikiizia upepo.

Tulidinda na WEST enzi za NAM, ndio tubabaike na kinchi kama Kenya.

Tulivunja mahusinao na Israel, tuakitambua Palestine na West Sahara ndio tubabaike na Kenya.

Kenya hata Visa tu, Wamarekani hawalipi, kwa Tanzania wanalipa $100 na hakuna kitu wanafanya.

Juzi tu hapa Ruto alienda China, akaanza kupigwa mikwara na Marekani, wakati Tanzania hakuna mhuni anasema kitu.

Anayetaka aje asiyetaka basi.
 
Yaani wao kila kitu cha Tz kinawauma? Hawapendi kuona Maendeleo yoyote ya Tanzania. Yaan wanaifuatilia Tz kupita Maelezo.

Wataumia sana mwaka huu na GDP yao iliyoongezeka online kwa $29b

Alafu kuna coodip1 anaita tuwafanyie ubig brother. Mwamba pitia comment huko.

Nyang'au sio watu toka enzi za ukoloni.
 
Wewe kweli ni mjinga, who told you lazima ikuwe na passport ndio uingie Kenya? Mambo ya East Africa free movement hujui? Oooh pole, nilikuwa nasahau wewe ni myemen na hujui what happens in East Africa.
mpumbavu wewe unanifanya mm mgeni wa kuja kenya au? bila passport au temporary passport unaeza ingia kenya au uganda ??? lini ushawah toka nje ya ushago hapo???😂😂😂😂 wewe na ng'ombe tofaut yenu ni nn ?
 
mpumbavu wewe unanifanya mm mgeni wa kuja kenya au? bila passport au temporary passport unaeza ingia kenya au uganda ??? lini ushawah toka nje ya ushago hapo???😂😂😂😂 wewe na ng'ombe tofaut yenu ni nn ?
You are a Yemeni refugee, lazima ukuwe na passport ndio ukubaliwe kuingia Kenya. Ungekuwa Mtanzania ungeingia Tu bila wasiwasi.
 
Back
Top Bottom