Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ungekuwa na akili ungejua clubs do sign higher sponsorship deals than leagues. Lakini ng'ombe ni ng'ombe tu.
Ingekua hivyo Azam asingesaini sponsorship ya ligi ya Tanzania kwa $ 100 millions for ten years.
Yani $ 10 milllions for a single year.
Sawa na 11 billions Ksh for ten years na 1 billion ksh per single year.
Ndio mnasema mna ligi nyie!?
 
Yani hizo billion 38 Tzsh ni sawa na bilioni 1.9 Ksh,yani mkataba wa miaka 10 wa pesa za kudhamini ligi nzima ya Kenya ni pesa ndogo kuliko mkataba wa Simba na Jayrutty wa miaka mitano.
😂😂😂😂 Lamamayeee.
Weka maneno vizuri ni mdogo kuliko mkataba wa kit supplier wa Simba. Hapo hatujagusia Mdhamini mkuu Betway and others such as Azam TV rights and NBC premier league etc.
 
Kwala marshalling yard. Hakuna marshalling yard kama hii bara lote la Africa isipokuwa Tanzania tu.
Wakenya wanakula kwa macho

1753980724257.png
 
Back
Top Bottom