Wallace naye ana makosa yake sio figisu.Halafu wakina engineer Hersi walitaka kumfanyia figisu Karia! Watu wacheze mpira waache fitna!
Ajirekebishe laa sivyo asiendelee na uongozi.
Haiwezekani marefa wakilalamika kutokulipwa posho zao tena mwaka mzima indeed!