concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,312
- 14,351
Unavijua vituo vya mizigo vya mgr? Ni pungu Moro Dom, tabora, isakaKabla ya kujibu hoja unatakiwa uielewe inaongelea nini. Je unavijua vituo vya mizigo vya MGR vilivyojengwa?
2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.
Hapa tunaongelea MGR ya Tanzania siyo ya nchi zingine. Jibu kuhusinana na MGR ya Tanzania. Eleza hiyo issue unaitatua vipi na cost yake ni how much? **Usituletee empty word hapa.
Kwahiyo unataka kutuambia hapo hakuna njia walau nne za kupaki treni zenye kuweza panga behewa 30 kwa wakati?🤣🤣🤣🤣