Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si waliitandua reli na kuiweka nyingine hadi Tabora kama sijakosea na kuifanya kuwa continuous welded wakisema pia wameongeza upana wa gauge?
Ukiongeza upana maana yake unatakiwa kununua mabehewa na vichwa cya treni vipya. Kaka imefanyiwa maboresho tu, ni hiyo hiyo MGR. Teknolojia yake imepitwa na wakati ndio maana tumekuja na SGR.

MGR itasaidia kusogeza mizigo kutoka local na kuleta kwenye SGR. Kwa mfano kwa sasa itabeba mzigo kutoka mpanda kuja Tabora kabla ya SGR haijajengwa.

Tukiongelea mizigo, kuna mizigo mingi sana. Arsuha na Manyara wataleta mizigo Dodoma. Mizigo kutoka Mbeya, Malawi, Zambia, Iringa, Njombe na Ruvuma itachukuliwa Dodoma Ihumwa.

Mizigo ya maparachichi, Chai na Kahawa kutoka nyanda za huu kusini. Zitakusanywa na magari kisha kuletwa Dodoma na kusafirishwa nje ya nchi kwa kutumia Msalato Airport.

Kaka nchi yetu ipo vizuri sana.
 
Ukiongeza upana maana yake unatakiwa kununua mabehewa na vichwa cya treni vipya. Kaka imefanyiwa maboresho tu, ni hiyo hiyo MGR. Teknolojia yake imepitwa na wakati ndio maana tumekuja na SGR.

MGR itasaidia kusogeza mizigo kutoka local na kuleta kwenye SGR. Kwa mfano kwa sasa itabeba mzigo kutoka mpanda kuja Tabora kabla ya SGR haijajengwa.

Tukiongelea mizigo, kuna mizigo mingi sana. Arsuha na Manyara wataleta mizigo Dodoma. Mizigo kutoka Mbeya, Malawi, Zambia, Iringa, Njombe na Ruvuma itachukuliwa Dodoma Ihumwa.

Mizigo ya maparachichi, Chai na Kahawa kutoka nyanda za huu kusini. Zitakusanywa na magari kisha kuletwa Dodoma na kusafirishwa nje ya nchi kwa kutumia Msalato Airport.

Kaka nchi yetu ipo vizuri sana.
Kwa upana wa gauge na reli iliyotandikwa na kuboreshwa wakinunua locomotive zenye ufanisi zaidi itapendeza japo sidhani kama wataliwaza hilo.
Maana zipo nchi hizo MGR zao zina ufanisi mkubwa sana .
 
Unaposema nadharia inamaana ni imaginary na haiwezi tokea,sema kuwa haiwezekani kulingana na miundombinu iliyokuwepo.

Una uhakika kaka hiyo idadi ya mizigo itakua inasafirishwa Kila siku kama usemavyo!?
Tupo hapa tusubiri.
Nadharia siyo imaginary kaka. Nadharia ni kitu kilichoandikwa kweye karatasi na huenda kikafanyiwa simulation. Imaginary ni kitu ambacho kipo kwenye ndoto tu hakina uhalisia kwenye paper au kwenye real.

Nadharia inaweza kuwa implementend kulingana na mzingira.
Maana yake ni, hiyo nadharia unayoisema inaweza kufanya kazi katika mazingira fulani. Ndio maana nadharia yako ninakupa challenge kulingana na uhalisia uliopo kwenye MGR ya Tanzania.

Kwamba utekelezaji wake una mipaka kulingana na miundombinu iliyopo (loops, braking, signaling, curvature n.k.).
Sasa unatakiwa uje na solution ya ku improve nadharia yako ili ku solve challenges hizo. Uki implement tu na changamoto hizo maana yake uta fail.

Nadharia siyo Imaginary. Imaginary wanafanya WAKENYA

 
Ukiongeza upana maana yake unatakiwa kununua mabehewa na vichwa cya treni vipya. Kaka imefanyiwa maboresho tu, ni hiyo hiyo MGR. Teknolojia yake imepitwa na wakati ndio maana tumekuja na SGR.
Acheni kudanganyana, kilichoifanyabtrc kufa ilikuwa siasa kama za sasa za kutaka wawekezaji, wakaja wahindi rites group, Toka hapo trc haijawahi kuwa sawa mpaka leo.
Mgr bado Ina nafasi kubwa sana ikisimamiwa vizuri maana hata maboresho yaliyofanyika ni ili itembea kwa speed ya 70km/ hr ambayo bado itafaa kwa usafirishaji wa mizigo kwa haraka kuliko hata lorry.

MGR itasaidia kusogeza mizigo kutoka local na kuleta kwenye SGR. Kwa mfano kwa sasa itabeba mzigo kutoka mpanda kuja Tabora kabla ya SGR haijajengwa.
Ingekuwa ni kwa ajili ya kusogeza mizigo tu basi isingefanyiwa ukarabati kuanzia kigoma na mwanza mpaka dar es salaam .
Mfano kabla ya kufika igandu kuna kipande Cha km mbili wanakinyanyua ili kuepusha usombwaji na maji.
Ina maana bado itaendelea kufanya kazi tu .
Tukiongelea mizigo, kuna mizigo mingi sana. Arsuha na Manyara wataleta mizigo Dodoma. Mizigo kutoka Mbeya, Malawi, Zambia, Iringa, Njombe na Ruvuma itachukuliwa Dodoma Ihumwa.
Mtu wa njombe, Malawi, Zambia Wala ruvuma hawez leta mzigo Dom wakati kutakuwa na tazara itayokuwa imeboreshwa hizo ni siasa tu
Mizigo ya maparachichi, Chai na Kahawa kutoka nyanda za huu kusini. Zitakusanywa na magari kisha kuletwa Dodoma na kusafirishwa nje ya nchi kwa kutumia Msalato Airport.
Acha porojo za siasa
Kaka nchi yetu ipo vizuri sana.
 
Kwa upana wa gauge na reli iliyotandikwa na kuboreshwa wakinunua locomotive zenye ufanisi zaidi itapendeza japo sidhani kama wataliwaza hilo.
Maana zipo nchi hizo MGR zao zina ufanisi mkubwa sana .
Kaka gauge haipanuliwi tu kama barabara. MGR yetu imetengenezwa kwa kufuata Kontua za mtiririko wa mito.
MGR itabaki kuwa MGR. Katika nchi zingine huenda imefanikiwa kutokana na namna ilivyojengwa.

MGR yetu hakuna sehemu imepasua milima bali imezunguka milima. Haijasanifiwa kwa DPU (Distributed Power Unit haipo kwenye MGR yetu hii ni teknolojia muhimu kwa treni ndefu.)

MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro -Tabora) inahitaji traction control ya kisasa

Passing loops nyingi ni fupi haziwezi kupokea treni ya wagons 100.

Ili kuboresha haya yote unahitaji uwekezaji wa pesa nyingi. Ni bora tu pesa hizo ukaziongeza kwenye SGR
 
Acheni kudanganyana, kilichoifanyabtrc kufa ilikuwa siasa kama za sasa za kutaka wawekezaji, wakaja wahindi rites group, Toka hapo trc haijawahi kuwa sawa mpaka leo.
Mgr bado Ina nafasi kubwa sana ikisimamiwa vizuri maana hata maboresho yaliyofanyika ni ili itembea kwa speed ya 70km/ hr ambayo bado itafaa kwa usafirishaji wa mizigo kwa haraka kuliko hata lorry.


Ingekuwa ni kwa ajili ya kusogeza mizigo tu basi isingefanyiwa ukarabati kuanzia kigoma na mwanza mpaka dar es salaam .
Mfano kabla ya kufika igandu kuna kipande Cha km mbili wanakinyanyua ili kuepusha usombwaji na maji.
Ina maana bado itaendelea kufanya kazi tu .

Mtu wa njombe, Malawi, Zambia Wala ruvuma hawez leta mzigo Dom wakati kutakuwa na tazara itayokuwa imeboreshwa hizo ni siasa tu

Acha porojo za siasa
Wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi kaka. Unaandika kwa emotions
TAZARA ipo kwanini kuna malori kibao kutoka huko Mbeya, Iringa,, Njombe, Ruvuma Zambia na Malawi?

Naomba unijibu kwanza swali hili ili tuendelee kituo kwa kituo.
 
Kwa upana wa gauge na reli iliyotandikwa na kuboreshwa wakinunua locomotive zenye ufanisi zaidi itapendeza japo sidhani kama wataliwaza hilo.
Maana zipo nchi hizo MGR zao zina ufanisi mkubwa sana .
Hakuna upana uliongezwa bali wamerekebisha sehemu korofi na kuichomelea mwanzo mwisho, pia imeongezewa tonnage capacity.
Vichwa bado vitaweza kutumia vile vya zaman, pia kuna mradi wa kufufua mabehewa na vichwa vya zamani ili viweze tumika.
Ni ufanisi tu unaotakiwa.
Ukitaka amini kuwa trc hawako serious omba kusafirisha mzigo wako kwa trc hata behewa moja tu kama mzigo wako hujaupata miezi miwili ijayo namaanisha kwenda kigoma au mwanza.
Wengi tunapofushwa na uendeshaji wa sgr sasa hivi kwa kuhisi kuna itakuwa hivyo
Kama trc kigoma tu kupata ticket ya kusafirisha mpaka ukalale stend au ukanunue kwa madalali itakuwaje kwenye mizigo ya maskini au mtu wa behewa moja? Trc anasafirisha Azam tu , kina dangote wanaona ni mizinguo tu ni sasa hivi tu sgr bado mpya Kila kiongozi anaitolea macho
 
Wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi kaka. Unaandika kwa emotions
Wewe uwezo wako huwa mdogo sana na bahati mbaya unaendekeza siasa
TAZARA ipo kwanini kuna malori kibao kutoka huko Mbeya, Iringa,, Njombe, Ruvuma Zambia na Malawi?
Tazara inekuwepo miaka na miaka kilichopelekea kufanya kazi ni inefficiency ya watumishi hivyo kupelekea wateja kukimbilia malori, ila kwa sababu inaenda kuwa chini ya mchina tegemea ubora kuongezeka.
Kwahiyo usitegemee mtu afunge safari km 700 kuja kupakia mzigo wake kwenye sgr then apeleke dar wakati anaweza pitiliza mpaka dar kwa lorry au huko mbeleni kwa tazara na akakimbia gharama kubwa
Naomba unijibu kwanza swali hili ili tuendelee kituo kwa kituo.
 
Hakuna upana uliongezwa bali wamerekebisha sehemu korofi na kuichomelea mwanzo mwisho, pia imeongezewa tonnage capacity.
Vichwa bado vitaweza kutumia vile vya zaman, pia kuna mradi wa kufufua mabehewa na vichwa vya zamani ili viweze tumika.
Ni ufanisi tu unaotakiwa.
Ukitaka amini kuwa trc hawako serious omba kusafirisha mzigo wako kwa trc hata behewa moja tu kama mzigo wako hujaupata miezi miwili ijayo namaanisha kwenda kigoma au mwanza.
Wengi tunapofushwa na uendeshaji wa sgr sasa hivi kwa kuhisi kuna itakuwa hivyo
Kama trc kigoma tu kupata ticket ya kusafirisha mpaka ukalale stend au ukanunue kwa madalali itakuwaje kwenye mizigo ya maskini au mtu wa behewa moja? Trc anasafirisha Azam tu , kina dangote wanaona ni mizinguo tu ni sasa hivi tu sgr bado mpya Kila kiongozi anaitolea macho
Naona unalalamika sana 🤣 🤣 🤣 🤣 huenda umeumizwa sana na TRC. Sasa unataka tusijenge SGR? Maana unang'ang'ania MGR na tumekueleza MGR haiwezi kufunga mabehewa 100.

Tunajenga SGR ili kutatua changamoto zote hizo.
 
Wewe uwezo wako huwa mdogo sana na bahati mbaya unaendekeza siasa

Tazara inekuwepo miaka na miaka kilichopelekea kufanya kazi ni inefficiency ya watumishi hivyo kupelekea wateja kukimbilia malori, ila kwa sababu inaenda kuwa chini ya mchina tegemea ubora kuongezeka.
Kwahiyo usitegemee mtu afunge safari km 700 kuja kupakia mzigo wake kwenye sgr then apeleke dar wakati anaweza pitiliza mpaka dar kwa lorry au huko mbeleni kwa tazara na akakimbia gharama kubwa
Kaka siyo wewe uliyoikataa Private Sector kwenye reli? Imekuwaje tena hapo kwenye reli?
Nimekuuliza kwanini kuna malori mengi sana kutoka Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Malawi na Zambia?

Je, TAZARA imeshindwa kubeba mizigo yote?
 
Naona unalalamika sana 🤣 🤣 🤣 🤣 huenda umeumizwa sana na TRC. Sasa unataka tusijenge SGR? Maana unang'ang'ania MGR na tumekueleza MGR haiwezi kufunga mabehewa 100.

Tunajenga SGR ili kutatua changamoto zote hizo.
Ukisema haiwezi kufunga behewa 100 uwe na evidence ya written document.
Ila usiseme haiwezekani wakati kuna nchi kibao Dunia hii zinatumia same mgr kama zetu na zinavuta mzigo wa maana.
Unakimbilia kwenye dpu.
Dpu Inaweza fanyiwa installation tu hata hizo signalling ni kwa ajili ya crossing tu kwa issue ya mizigo.
Kabla ya kucomment jaribu kufanya hata research huko mitandaon muda mwingine unajidhalilisha tu, ndo maana wewe Kila kitu umesomea.
Kama kitu hukijui pita mitandaoni jifunze badala ya kuongozwa na hisia
 
Kaka siyo wewe uliyoikataa Private Sector kwenye reli? Imekuwaje tena hapo kwenye reli?
Hivi unajielewa ? Hivi unajua hata logic ya kushindwa kuwa na maamuzi ya tazara mpaka ikapelekea kumtafuta mchina. Unahisi tungeweza kuja kuelewana na wazambia kwenye issue uendeshaji?
Nimekuuliza kwanini kuna malori mengi sana kutoka Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Malawi na Zambia?
Kabla hujajibiwa kwanini uwepo wa hayo malori haujapelekea watu watamani kusafirisha mizigo trc, sababu kuu ilikuwa nini
Je, TAZARA imeshindwa kubeba mizigo yote?
Je tazara imefeli kwa sababu gani
 
Ukisema haiwezi kufunga behewa 100 uwe na evidence ya written document.
Ila usiseme haiwezekani wakati kuna nchi kibao Dunia hii zinatumia same mgr kama zetu na zinavuta mzigo wa maana.
Unakimbilia kwenye dpu.
Dpu Inaweza fanyiwa installation tu hata hizo signalling ni kwa ajili ya crossing tu kwa issue ya mizigo.
Kabla ya kucomment jaribu kufanya hata research huko mitandaon muda mwingine unajidhalilisha tu, ndo maana wewe Kila kitu umesomea.
Kama kitu hukijui pita mitandaoni jifunze badala ya kuongozwa na hisia
Kaka nimekupatia maelezo kuhusu MGR ya Tanzania naona ume ya ignore ili kufurahisha nafsi yako.
1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.

Ki-teknolojia inawezekana, miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo


Naomba uje na utatuzi wa changamoto hizo tano na cost zake.​

 
Kaka siyo wewe uliyoikataa Private Sector kwenye reli? Imekuwaje tena hapo kwenye reli?
Nimekuuliza kwanini kuna malori mengi sana kutoka Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Malawi na Zambia?

Je, TAZARA imeshindwa kubeba mizigo yote?
Issue ya kukata private ni tofauti na tunachotaka kutuaminisha.
Ningesema badala ya kutafuta wawekezaji kwa issue ya trc ni Bora trc iuze hisa ili kukuza mitaji na ijiendeshe kama private entity inayojitegemea kama ilivyo crdb, nmb ,nbc, Airtel
Au hujui hizo benki zote hizo zilikuwa zinamilikiwa na serikali kabla na leo hii zimekuwa benki kubwa kuliko au hujui ttcl ndo iliyotoa mtaji kwa Zain kwa ajili ya kukosa ufanisi.
Amini hata trc ikiondolewa chini ya serikali iuze hisa italeta ushindani wa maana sana na hata hao investor mnaowataka watapatikana kwa namna nyingine.
Inaweza ikawa kwa kutoa huduma mbalimbali ila sio tuwape mradi mzima.
 
Hivi unajielewa ? Hivi unajua hata logic ya kushindwa kuwa na maamuzi ya tazara mpaka ikapelekea kumtafuta mchina. Unahisi tungeweza kuja kuelewana na wazambia kwenye issue uendeshaji?

Kabla hujajibiwa kwanini uwepo wa hayo malori haujapelekea watu watamani kusafirisha mizigo trc, sababu kuu ilikuwa nini

Je tazara imefeli kwa sababu gani
Sasa unaniuliza tena mimi 🤣 🤣 🤣 🤣 Naona unajichanganya tu mdogo wangu. Nitaendelea kukupatia elimu.

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.

Mambo ni mengi mno unaongea blah blah tu. 🤣🤣🤣🤣 Sasa hivi unahamia kwenye TAZARA
Wewe kichwani ni hewa unaendeshwa na maisha ya kwenye ndoto.

Kama hujui kitu uliza kuliko kuandika uongo
 
Issue ya kukata private ni tofauti na tunachotaka kutuaminisha.
Ningesema badala ya kutafuta wawekezaji kwa issue ya trc ni Bora trc iuze hisa ili kukuza mitaji na ijiendeshe kama private entity inayojitegemea kama ilivyo crdb, nmb ,nbc, Airtel
Au hujui hizo benki zote hizo zilikuwa zinamilikiwa na serikali kabla na leo hii zimekuwa benki kubwa kuliko au hujui ttcl ndo iliyotoa mtaji kwa Zain kwa ajili ya kukosa ufanisi.
Amini hata trc ikiondolewa chini ya serikali iuze hisa italeta ushindani wa maana sana na hata hao investor mnaowataka watapatikana kwa namna nyingine.
Inaweza ikawa kwa kutoa huduma mbalimbali ila sio tuwape mradi mzima.
Kwanza issue za TRC kujenga Dry Ports tumemalizana nalo? Maana tunakuwa na chain ya maelezo isiyo na tija. Tumalize hoja moja baada ya nyingine. Tunajadiliana hoja moja tunamaliza tunaenda hoja nyingine.

Tueleze kwanza, somo nililokupatia umelielewa?

 
Kuna clip nomeiona wanasema kundustan walikosa dollar za kuagiza mafuta wakamuomba mchina kuwalipia kwa mfumo wake na kuna mahala nimeona baada marekani kuweka tariff kubwa baadhi ya nchi zimegeukia China kama mbadala wa Dola
Naomba waarikishee na huo mfumo na Tanzania tuwe wakwanza kujiungaa huko nchi za afrika hatuwezi kuendelea na hii mifumo ya marekani inatukndamizaa sanaa
 
Kaka nimekupatia maelezo kuhusu MGR ya Tanzania naona ume ya ignore ili kufurahisha nafsi yako.
1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.
Issue ya kupishana haina mantiki maana hata hao wanaofunga hivyo vichwa sio kwamba wanakuwa na njia toshelezi za kupishana ila train Zinakuwa na ratiba zake.
Mfano train inatoka dar na behewa 100 ila unajua kabisa sehemu kama Moro kuna njia zaid ya 4 za kufanya shunting , hivyo wanachofanya ikifika Moro wanavifungua kama kupanga ili treni nyinge iweze pita kwa njia kuu.
Kuna sehemu kama Australia watu wanafunga mabehewa mpaka 600 zaid ya km 10, hupati shunting ya 10km ila pale inapotokea kuna kupishana lazima itafutwe sehemu ya kupangua.
Sasa kwa ujenzi wa sasa unahisi hata hiyo mgr itakosa sehemu ya kupangulia mabehewa
3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.
Dpu huwa ni mfumo ambao unafanyiwa installation kwenye vichwa vya train kwahiyo sio kigezo Cha kusema haiwezekaniki na huo mfumo upo kwenye baadhi ya vichwa vipya vya mgr
5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Ukisema hivyo basi unamaanisha hata sasa hivi hatuwez tembeza behewa 40 kwa pamoja kitu ambacho si kweli trc huwa kuna muda inafunga mpaka behewa 50 kwa vichwa viwili .

Ki-teknolojia inawezekana, miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo

Naomba uje na utatuzi wa changamoto hizo tano na cost zake.​

 
Kwanza issue za TRC kujenga Dry Ports tumemalizana nalo? Maana tunakuwa na chain ya maelezo isiyo na tija. Tumalize hoja moja baada ya nyingine. Tunajadiliana hoja moja tunamaliza tunaenda hoja nyingine.
Kwangu Mimi dry port Inaweza ikawa chanzo Cha mapato ya trc, wanaweza jenga halafu wakakodisha kwa ajili ya uendeshaji ila hii kwao ndo itakuwa na manufaa makubwa sana, kuliko kutegemea mpaka waje wawekezaji.
Mfano ni kama tulivyofanya bandarini tumejenga then tumewakodisha dp world mzigo inaongezeka, makusanyo ya Kodi yameongezeka .
Kwahiyo kwangu kma trc wanataka pesa wajenge wakodishe halafu waone mizigo itakavyomiminika

Tueleze kwanza, somo nililokupatia umelielewa?

 
Kuna clip nomeiona wanasema kundustan walikosa dollar za kuagiza mafuta wakamuomba mchina kuwalipia kwa mfumo wake na kuna mahala nimeona baada marekani kuweka tariff kubwa baadhi ya nchi zimegeukia China kama mbadala wa Dola
Wazee wa kutangatanga. Yaan hao jamaa wakundustan ni kama Malaya wa buguruni wenyewe hata baba mzazi akiwa na buku watampa tu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom