Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi kaka. Unaandika kwa emotions
Wewe uwezo wako huwa mdogo sana na bahati mbaya unaendekeza siasa
TAZARA ipo kwanini kuna malori kibao kutoka huko Mbeya, Iringa,, Njombe, Ruvuma Zambia na Malawi?
Tazara inekuwepo miaka na miaka kilichopelekea kufanya kazi ni inefficiency ya watumishi hivyo kupelekea wateja kukimbilia malori, ila kwa sababu inaenda kuwa chini ya mchina tegemea ubora kuongezeka.
Kwahiyo usitegemee mtu afunge safari km 700 kuja kupakia mzigo wake kwenye sgr then apeleke dar wakati anaweza pitiliza mpaka dar kwa lorry au huko mbeleni kwa tazara na akakimbia gharama kubwa
Naomba unijibu kwanza swali hili ili tuendelee kituo kwa kituo.
 
Hakuna upana uliongezwa bali wamerekebisha sehemu korofi na kuichomelea mwanzo mwisho, pia imeongezewa tonnage capacity.
Vichwa bado vitaweza kutumia vile vya zaman, pia kuna mradi wa kufufua mabehewa na vichwa vya zamani ili viweze tumika.
Ni ufanisi tu unaotakiwa.
Ukitaka amini kuwa trc hawako serious omba kusafirisha mzigo wako kwa trc hata behewa moja tu kama mzigo wako hujaupata miezi miwili ijayo namaanisha kwenda kigoma au mwanza.
Wengi tunapofushwa na uendeshaji wa sgr sasa hivi kwa kuhisi kuna itakuwa hivyo
Kama trc kigoma tu kupata ticket ya kusafirisha mpaka ukalale stend au ukanunue kwa madalali itakuwaje kwenye mizigo ya maskini au mtu wa behewa moja? Trc anasafirisha Azam tu , kina dangote wanaona ni mizinguo tu ni sasa hivi tu sgr bado mpya Kila kiongozi anaitolea macho
Naona unalalamika sana 🤣 🤣 🤣 🤣 huenda umeumizwa sana na TRC. Sasa unataka tusijenge SGR? Maana unang'ang'ania MGR na tumekueleza MGR haiwezi kufunga mabehewa 100.

Tunajenga SGR ili kutatua changamoto zote hizo.
 
Wewe uwezo wako huwa mdogo sana na bahati mbaya unaendekeza siasa

Tazara inekuwepo miaka na miaka kilichopelekea kufanya kazi ni inefficiency ya watumishi hivyo kupelekea wateja kukimbilia malori, ila kwa sababu inaenda kuwa chini ya mchina tegemea ubora kuongezeka.
Kwahiyo usitegemee mtu afunge safari km 700 kuja kupakia mzigo wake kwenye sgr then apeleke dar wakati anaweza pitiliza mpaka dar kwa lorry au huko mbeleni kwa tazara na akakimbia gharama kubwa
Kaka siyo wewe uliyoikataa Private Sector kwenye reli? Imekuwaje tena hapo kwenye reli?
Nimekuuliza kwanini kuna malori mengi sana kutoka Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Malawi na Zambia?

Je, TAZARA imeshindwa kubeba mizigo yote?
 
Naona unalalamika sana 🤣 🤣 🤣 🤣 huenda umeumizwa sana na TRC. Sasa unataka tusijenge SGR? Maana unang'ang'ania MGR na tumekueleza MGR haiwezi kufunga mabehewa 100.

Tunajenga SGR ili kutatua changamoto zote hizo.
Ukisema haiwezi kufunga behewa 100 uwe na evidence ya written document.
Ila usiseme haiwezekani wakati kuna nchi kibao Dunia hii zinatumia same mgr kama zetu na zinavuta mzigo wa maana.
Unakimbilia kwenye dpu.
Dpu Inaweza fanyiwa installation tu hata hizo signalling ni kwa ajili ya crossing tu kwa issue ya mizigo.
Kabla ya kucomment jaribu kufanya hata research huko mitandaon muda mwingine unajidhalilisha tu, ndo maana wewe Kila kitu umesomea.
Kama kitu hukijui pita mitandaoni jifunze badala ya kuongozwa na hisia
 
Kaka siyo wewe uliyoikataa Private Sector kwenye reli? Imekuwaje tena hapo kwenye reli?
Hivi unajielewa ? Hivi unajua hata logic ya kushindwa kuwa na maamuzi ya tazara mpaka ikapelekea kumtafuta mchina. Unahisi tungeweza kuja kuelewana na wazambia kwenye issue uendeshaji?
Nimekuuliza kwanini kuna malori mengi sana kutoka Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Malawi na Zambia?
Kabla hujajibiwa kwanini uwepo wa hayo malori haujapelekea watu watamani kusafirisha mizigo trc, sababu kuu ilikuwa nini
Je, TAZARA imeshindwa kubeba mizigo yote?
Je tazara imefeli kwa sababu gani
 
Ukisema haiwezi kufunga behewa 100 uwe na evidence ya written document.
Ila usiseme haiwezekani wakati kuna nchi kibao Dunia hii zinatumia same mgr kama zetu na zinavuta mzigo wa maana.
Unakimbilia kwenye dpu.
Dpu Inaweza fanyiwa installation tu hata hizo signalling ni kwa ajili ya crossing tu kwa issue ya mizigo.
Kabla ya kucomment jaribu kufanya hata research huko mitandaon muda mwingine unajidhalilisha tu, ndo maana wewe Kila kitu umesomea.
Kama kitu hukijui pita mitandaoni jifunze badala ya kuongozwa na hisia
Kaka nimekupatia maelezo kuhusu MGR ya Tanzania naona ume ya ignore ili kufurahisha nafsi yako.
1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.

Ki-teknolojia inawezekana, miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo


Naomba uje na utatuzi wa changamoto hizo tano na cost zake.​

 
Kaka siyo wewe uliyoikataa Private Sector kwenye reli? Imekuwaje tena hapo kwenye reli?
Nimekuuliza kwanini kuna malori mengi sana kutoka Ruvuma, Njombe, Iringa, Mbeya, Malawi na Zambia?

Je, TAZARA imeshindwa kubeba mizigo yote?
Issue ya kukata private ni tofauti na tunachotaka kutuaminisha.
Ningesema badala ya kutafuta wawekezaji kwa issue ya trc ni Bora trc iuze hisa ili kukuza mitaji na ijiendeshe kama private entity inayojitegemea kama ilivyo crdb, nmb ,nbc, Airtel
Au hujui hizo benki zote hizo zilikuwa zinamilikiwa na serikali kabla na leo hii zimekuwa benki kubwa kuliko au hujui ttcl ndo iliyotoa mtaji kwa Zain kwa ajili ya kukosa ufanisi.
Amini hata trc ikiondolewa chini ya serikali iuze hisa italeta ushindani wa maana sana na hata hao investor mnaowataka watapatikana kwa namna nyingine.
Inaweza ikawa kwa kutoa huduma mbalimbali ila sio tuwape mradi mzima.
 
Hivi unajielewa ? Hivi unajua hata logic ya kushindwa kuwa na maamuzi ya tazara mpaka ikapelekea kumtafuta mchina. Unahisi tungeweza kuja kuelewana na wazambia kwenye issue uendeshaji?

Kabla hujajibiwa kwanini uwepo wa hayo malori haujapelekea watu watamani kusafirisha mizigo trc, sababu kuu ilikuwa nini

Je tazara imefeli kwa sababu gani
Sasa unaniuliza tena mimi 🤣 🤣 🤣 🤣 Naona unajichanganya tu mdogo wangu. Nitaendelea kukupatia elimu.

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.

Mambo ni mengi mno unaongea blah blah tu. 🤣🤣🤣🤣 Sasa hivi unahamia kwenye TAZARA
Wewe kichwani ni hewa unaendeshwa na maisha ya kwenye ndoto.

Kama hujui kitu uliza kuliko kuandika uongo
 
Issue ya kukata private ni tofauti na tunachotaka kutuaminisha.
Ningesema badala ya kutafuta wawekezaji kwa issue ya trc ni Bora trc iuze hisa ili kukuza mitaji na ijiendeshe kama private entity inayojitegemea kama ilivyo crdb, nmb ,nbc, Airtel
Au hujui hizo benki zote hizo zilikuwa zinamilikiwa na serikali kabla na leo hii zimekuwa benki kubwa kuliko au hujui ttcl ndo iliyotoa mtaji kwa Zain kwa ajili ya kukosa ufanisi.
Amini hata trc ikiondolewa chini ya serikali iuze hisa italeta ushindani wa maana sana na hata hao investor mnaowataka watapatikana kwa namna nyingine.
Inaweza ikawa kwa kutoa huduma mbalimbali ila sio tuwape mradi mzima.
Kwanza issue za TRC kujenga Dry Ports tumemalizana nalo? Maana tunakuwa na chain ya maelezo isiyo na tija. Tumalize hoja moja baada ya nyingine. Tunajadiliana hoja moja tunamaliza tunaenda hoja nyingine.

Tueleze kwanza, somo nililokupatia umelielewa?

 
Kuna clip nomeiona wanasema kundustan walikosa dollar za kuagiza mafuta wakamuomba mchina kuwalipia kwa mfumo wake na kuna mahala nimeona baada marekani kuweka tariff kubwa baadhi ya nchi zimegeukia China kama mbadala wa Dola
Naomba waarikishee na huo mfumo na Tanzania tuwe wakwanza kujiungaa huko nchi za afrika hatuwezi kuendelea na hii mifumo ya marekani inatukndamizaa sanaa
 
Kaka nimekupatia maelezo kuhusu MGR ya Tanzania naona ume ya ignore ili kufurahisha nafsi yako.
1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.
Issue ya kupishana haina mantiki maana hata hao wanaofunga hivyo vichwa sio kwamba wanakuwa na njia toshelezi za kupishana ila train Zinakuwa na ratiba zake.
Mfano train inatoka dar na behewa 100 ila unajua kabisa sehemu kama Moro kuna njia zaid ya 4 za kufanya shunting , hivyo wanachofanya ikifika Moro wanavifungua kama kupanga ili treni nyinge iweze pita kwa njia kuu.
Kuna sehemu kama Australia watu wanafunga mabehewa mpaka 600 zaid ya km 10, hupati shunting ya 10km ila pale inapotokea kuna kupishana lazima itafutwe sehemu ya kupangua.
Sasa kwa ujenzi wa sasa unahisi hata hiyo mgr itakosa sehemu ya kupangulia mabehewa
3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.
Dpu huwa ni mfumo ambao unafanyiwa installation kwenye vichwa vya train kwahiyo sio kigezo Cha kusema haiwezekaniki na huo mfumo upo kwenye baadhi ya vichwa vipya vya mgr
5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Ukisema hivyo basi unamaanisha hata sasa hivi hatuwez tembeza behewa 40 kwa pamoja kitu ambacho si kweli trc huwa kuna muda inafunga mpaka behewa 50 kwa vichwa viwili .

Ki-teknolojia inawezekana, miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo

Naomba uje na utatuzi wa changamoto hizo tano na cost zake.​

 
Kwanza issue za TRC kujenga Dry Ports tumemalizana nalo? Maana tunakuwa na chain ya maelezo isiyo na tija. Tumalize hoja moja baada ya nyingine. Tunajadiliana hoja moja tunamaliza tunaenda hoja nyingine.
Kwangu Mimi dry port Inaweza ikawa chanzo Cha mapato ya trc, wanaweza jenga halafu wakakodisha kwa ajili ya uendeshaji ila hii kwao ndo itakuwa na manufaa makubwa sana, kuliko kutegemea mpaka waje wawekezaji.
Mfano ni kama tulivyofanya bandarini tumejenga then tumewakodisha dp world mzigo inaongezeka, makusanyo ya Kodi yameongezeka .
Kwahiyo kwangu kma trc wanataka pesa wajenge wakodishe halafu waone mizigo itakavyomiminika

Tueleze kwanza, somo nililokupatia umelielewa?

 
Kuna clip nomeiona wanasema kundustan walikosa dollar za kuagiza mafuta wakamuomba mchina kuwalipia kwa mfumo wake na kuna mahala nimeona baada marekani kuweka tariff kubwa baadhi ya nchi zimegeukia China kama mbadala wa Dola
Wazee wa kutangatanga. Yaan hao jamaa wakundustan ni kama Malaya wa buguruni wenyewe hata baba mzazi akiwa na buku watampa tu🤣🤣🤣🤣
 
Issue ya kupishana haina mantiki maana hata hao wanaofunga hivyo vichwa sio kwamba wanakuwa na njia toshelezi za kupishana ila train Zinakuwa na ratiba zake.
Mfano train inatoka dar na behewa 100 ila unajua kabisa sehemu kama Moro kuna njia zaid ya 4 za kufanya shunting , hivyo wanachofanya ikifika Moro wanavifungua kama kupanga ili treni nyinge iweze pita kwa njia kuu.
Kuna sehemu kama Australia watu wanafunga mabehewa mpaka 600 zaid ya km 10, hupati shunting ya 10km ila pale inapotokea kuna kupishana lazima itafutwe sehemu ya kupangua.
Sasa kwa ujenzi wa sasa unahisi hata hiyo mgr itakosa sehemu ya kupangulia mabehewa

Dpu huwa ni mfumo ambao unafanyiwa installation kwenye vichwa vya train kwahiyo sio kigezo Cha kusema haiwezekaniki na huo mfumo upo kwenye baadhi ya vichwa vipya vya mgr

Ukisema hivyo basi unamaanisha hata sasa hivi hatuwez tembeza behewa 40 kwa pamoja kitu ambacho si kweli trc huwa kuna muda inafunga mpaka behewa 50 kwa vichwa viwili .
Nimekupatia hoja tano naona unaleta blah blah. Vitu unavyoongea ni utoto. Labda issue za watoto wa shule siyo mambo ya nchi. Narudia hoja hizi hapa zijibu hoja kwa hoja zipo tano. TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
 
Kwangu Mimi dry port Inaweza ikawa chanzo Cha mapato ya trc, wanaweza jenga halafu wakakodisha kwa ajili ya uendeshaji ila hii kwao ndo itakuwa na manufaa makubwa sana, kuliko kutegemea mpaka waje wawekezaji.
Mfano ni kama tulivyofanya bandarini tumejenga then tumewakodisha dp world mzigo inaongezeka, makusanyo ya Kodi yameongezeka .
Kwahiyo kwangu kma trc wanataka pesa wajenge wakodishe halafu waone mizigo itakavyomiminika
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.

Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
 
Tuanzie na Japan population yake ni 128mil haina utofauti sana na Tanzania tukija kwenye suala la population , hapo biashara ya mabasi ni kama haipo kabisa.
Kinachotakiwa ni efficiency tu.
Nani alifikiria dar- Dom ingewez leta maporomoko ya abiria kwa kiwango hiki.
Kwa sasa ni nadra sana kupata ticket ya siku hiyohiyo na kutokana na watu kulala ofisini hata hawajisumbui kuongeza train nyingine.
Ukienda Moro dar kuna wasafiri kibao sana na wengi wanapanda mabasi kwa sababu ya kukosa ticket
Kwahiyo tungesema hakuna abiria kama tungekuwa tunatembeza letsay 20 kwa siku na hakuna abiria wa kujaza.
Tukija kwenye operating cost, trc wenyewe ndo wanaziongeza , hivi Japan kweli kuna wahudumu wa kuuza bites kwa Kila behewa?
Karibia Kila kitu Japan ni automatic ila leo sisi tuna madirisha karibia sita pale Dom wakati tulitakiwa tuwe na mashine za ticket tu ambazo hatulipi mshahara.
Hata ukienda kwenye waendeshaji si ajabu unakuta kwa treni 4 tu za abiria zinazofanya kazi sasa hivi kukawa na madereva 200 . Hiyo efficiency utaitolea wapi na faida itoke wapi?
Kwanini trc isiwatoe wahudumu ibaki na wakaguzi ila iweke mashine za kuuza vitu kwenye Kila steshen kama

Kona na milima option yake ni kuongeza vichwa ili kuweza kufanya distribution ya msukumo

Tunaweza kufanya installation ya hizo dpu kama hazipo ila nachokumbuka miaka ya nyuma pale salanda treni za mizigo zilikuwa zinaweza vutwa na vichwa mpaka 4 sasa utasemaje hazina huo mfumo?


Hivyo vyote ni vitu vinaweza kufanyiwa maboresho ambayo si ya dharama kama sana .


Wewe ndo unalazimisha trc ni sasa hivi tu ndo inavuta mabehewa kidogo, miaka ya 90 ilikuwa Inaweza vuta hata behewa 40 na bado ikifika salanda vikaunganishwa mpaka vichwa vinne kwa ajili ya kupandisha mlima utasemaje haiwezekaniki kuvuta kwa sababu train hazina mfumo wa mawasiliano , ebu tuambie hii video chini iliwezekanaje vikafungwa vichwa viwili bila kuwa na mfumo wa mawasiliano ?

View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=FiUvlsJwKn2lnJwX
Ebu tusaidie kuhesabu idadi ya behewa hapo ziko chini 40?
Kama tumeweza funga mabehewa 40 kwa vichwa viwili Kumbe zamani tulipokuwa tunafunga vichwa vinne tungeweza vuta behewa 80🤣🤣🤣🤣🤣

hivi kaka huoni wanatumia vichwa viwili ikimaanisha mafuta mara mbili? ya umeme haihitaji vichwa viwili!
 
Sasa unaniuliza tena mimi 🤣 🤣 🤣 🤣 Naona unajichanganya tu mdogo wangu. Nitaendelea kukupatia elimu.

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
Ebu tafuta hiyo comment niliyoiponda sgr kwanza. Acha kulisha watu maneno
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
Uelewa wako ni mdogo sana.
Hakuna sehemu nilipoponda mradi wa sgr ila nimesema kwa sasa hata hiyo mgr Inaweza tumika kufikisha mzigo huko ambako sgr haijafika. Yaan kwa sasa mzigo tungeweza Toka dar mpaka Dom then ukahamishiwa kwenye mgr ila wewe unataka kulazimisha ionekane nime underestimate mradi wa sgr na hii inatokana kuwa na hisia kuwa mtu asiyesifia miradi yenu au anayekosoa ni adui yenu. Uchawa promax
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
Dry port hujatoa elimu yoyote , wewe umesema ni kazi ya bandari sawa , ila ulichoelekezwa mwanzo ilikuwa ni ujenzi wa magodown ambayo yangeweza kodishwa au icdl ambazo zingeweza kodishwa kwa ajili kurahisisha kuhifadhi wa mizigo. Sasa elimu gani umetoa hapo
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
Umeambiwa trc ishawahi kumiliki meli miaka ya nyuma kabla ya kugawanywa au hujui kuwa mv liemba,mv Victoria , mv mbeya na mv songea zilikuwa chini trc
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
Wewe umesabu axle ambazo unaziona ila tare weight ya hayo mabehewa ni tan 75 na ingekuwa zinabebwa tan 120 basi hata siku ya kwanza ya usafirishaji wangefunga behewa 5 na safari ya dangote ya juzi wangefunga behewa 10 , ila hata ukisikiliza maelezo ya trc wenyewe ni kuwa mabehewa hayo yanabeba tan75 ukizoom kwenye eneo la tare weight ni tan 75 sasa wewe hiyo tan 120 imeandikwa wapi maana uzitk wa behewa imeandikwa pembeni ya behewa husika
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
Train 4 haziwez beba mzigo wa tani 10,000 vipi hapa 2,400 *4 haiwez fila huo mzigo

View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=YFbXlRe4gxAVSdYU
Au wewe unajua train ni kichwa train🤣🤣🤣.
Kwahiyo kwa be idadi ya hayo mabehewa na mzigo uliobebwa tukisema zifingwe nne kama hizo hazibebi mzigo wa 10,000
Mambo ni mengi mno unaongea blah blah tu. 🤣🤣🤣🤣 Sasa hivi unahamia kwenye TAZARA
Wewe kichwani ni hewa unaendeshwa na maisha ya kwenye ndoto.

Kama hujui kitu uliza kuliko kuandika uongo
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.

Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
Leta comment ya Mimi kuiponda sgr
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
Leta elimu uliyotoabkunielemisha sgr versus mgr
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
Haya haya hii mizigo inaingia mara ngapi kwenye 10,000


View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=azRoCTM1IwNniKK6

View: https://youtu.be/iTTZ8KGzyqA?si=lYQEn-l9rNUsYkxe
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.
Kazi ya halmashauri ni kutoa huduma ila inakuwaje sasa hivi wanakuwa mpaka na viwanda kama vya tofari au vifaa kwa ajili ya kukodisha.
Hivi Samia anaposimama na kusema kuwa Kila taasisi iumize kichwa ni kwa namna gani itakuza mapato wewe unaelewa nini.
Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
 
Back
Top Bottom