Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona option ya "edit" imekuokoa kijana wangu.
I'm leaving you with the fact that The poorest country in the region is South Sudan followed by Burundi.
And Kibera is the largest slums in Africa 😀
What have I edited kijana wa Tandale? How can I edit what you already quoted and posted? I took a screenshot of your own reply on my comment.

Sema tu mnapenda ubishi za kijinga.
Kutaja Kibera a million times a day won't change this fact
Screenshot_20250712-175809.jpg
 
What have I edited kijana wa Tandale? How can I edit what you already quoted and posted? I took a screenshot of your own reply on my comment.

Sema tu mnapenda ubishi za kijinga.
Kutaja Kibera a million times a day won't change this fact View attachment 3403628
Having a large number of people living below the index doesn't conclude that the country is poorest. Infact, Nigeria is not the poorest country in Africa. Mind you, it's one of the richest in Africa.

Hivi katika masomo yote mliyofundishwa huko Gikomba, somo pekee ulifaulu ni maandamano na kukwepa teargas??
 
Brother unaleta ubishi wa usio na maana. Biashara ya abiria ipo chini sana.
Nakubaliana na wewe kuwa biashara ya treni ni mizigo na hata wakati wanadizaini hii reli walijua abiria ni kidogo sana ndo maana hata makadirio ya abiria ilikuwa ni 1.5 mil kwa mwaka (soma esia) ila leo tunazungumzia 2.3 almost mara mbili, kwa maana ikisimamiwa vizuri Inaweza fikisha mpaka 6mil kwa mwaka.
Tukija kwenye treni hata kama kutakuwa na treni 20 wastan wa behewa 100 na ukawa na treni 15 kwa maono ya sasa abiria watalipa tu .
Itaweza fikia hiyo pesa inayofika ikiwa imefika kwanza na kigoma ila bado hata huko abiria ni wengi sana wa kujaza mpaka treni 30 kwa siku za abiria.
Mimi nawewe tunatofautiana , wewe unaamini kwa ulivyosikia kuwa ni mizigo tu inalipa ila kwangu naamini abiria wakifanyiwa promo kidogo hata hii ya Dodoma tunaweza toa mpaka treni 20 kwa siku kabla ya kufika dom

Biashara ya mizigo ndiyo kazi ya treni. Treni zikianza kuingia bandarini kwa siku zinaweza yoka treni mpaka 10. Kulingana na wingi wa mizigo

Brother unatuaibisha sana watanzania. Vitu kama huvijui ni bora ukae kimya. Tanzania imeagiza mabehewa 1,430 ya mzigo. Bhehewa moja linauwezo wa kubeba 120 ton. Yaliyoingia ni 264 tu. Yaliyoingia loose cargo ni 64, kontena 200. Hakuna behewa hata moja la kontena lililoanza kazi.
Hakuna behewa la tani 120 lilioagizwa maana axel capacity ni tan 35 na mabahewa yote yaliyotangulia ni tan 75 tu.

Treni ya mizigo ndio kwanza imeanza bado hata haijaingia bandarini. Ikisha ingia bandarini. Ikianza kazi mpaka bandarini kwa siku zinaweza kutoka zaidi ya treni 10 za mizigo.
Kumbuka mizigo sio Kila siku .
Hakuna treni ya mizigo itatoka dar mpaka kigoma ikageuza same day ila ya abiria itaweza hata piga trip 3 kwa masaa 24
Treni 10 kila moja ni Tsh 700,000,000.
Per Day unaingiza Tsh 7b. Na hapo ni one way tu. Ukisema mizigo yote inayotoka DRC, Burundi, Uganda na Rwanda na ile ya Tanzania iishie Dodoma na ibebwe kuja dar. Hapo unaongelea Tsh 14b per day.
Ili ubebe mzigo wa 700mil inahitaji mabehewa 163 na si chini ya vichwa vya treni 4 je ushapiga hesabu ya gharama ambatanisho?
Hivi unajua hiyo abiria ikivuta behewa hata nusu ya hiyo kwa siku Inaweza ingiza mara mbili ya
Niambie Treni ya Abiria kwa mwaka inaingiza Tsh 60b kwa mujibu wa maelezo yako. Ndani ya 7 days SGR ya mizigo inaingiza Tsh 98b zaidi ya pesa za SGR ya abiria.
Sasa huoni kama ya mzigo inachelewa kuingiza pesa. Kama kwa sasa ya abiria kwa siku inaingiza 151mil kwa siku 7 si inaingiza 1.bil Tena treni moja sio zote 🤣.
Tukisema tufanye treni zote mbili ni 2bil kwa siku saba . Hiyo hela utazipata kwa treni ngapi A mizigo kwa siku sababu ? Kumbuka kjna kushusha na kupakua
Kaka unatakiwa ujue maisha ya usafirishaji.
Nimekuwa kwenye usafirishaji abiria analipa kuliko lorry, ila abiria anataka heshima na nidhamu .
Unaweza toa lorry dar - songea ukalipwa 5mil ila ukachukua siku tatu
Ukitoa gharama zote ukabaki na 2mil ila kukawa na mtu wa mabasi yeye Kila siku akalaza 1.8 baada gharama nyinginezo . Ndani ya siku tatu kibindoni akawa na 5.4mil na wewe huko ukienda unaweza subiri mzigo wiki
 
Brother mawazo yako ya ajabu sana. Yani mzigo wa 10,000 ton ubebwe na mgr 🤣 🤣 🤣 🤣 Je, unajua treni moja ya mgr inabeba ton ngapi? Kaka mawazo yako ni too theoretical not real
Kwani tan 10,000 ni mabehewa mangapi ya mgr?
Au hujui behewa moja ya mgr linabeba tan 40 na inahitaji mabehewa 250 tu ambazo ni kama treni 4 za mgr .
 
Having a large number of people living below the index doesn't conclude that the country is poorest. Infact, Nigeria is not the poorest country in Africa. Mind you, it's one of the richest in Africa.

Hivi katika masomo yote mliyofundishwa huko Gikomba, somo pekee ulifaulu ni maandamano na kukwepa teargas??
Stop twisting this thing to fit your own narrative. The WB report does not in anyway talk about poor COUNTRIES. It talks about poor POPULATIONS living in specific countries. A country can be rich but has lots of poor people. I can give you examples from across africa. If it's about countries' wealth, then DRC is even wealthier than Nigeria if you didn't know. It has huge deposits of minerals not found in many African countries. But has that stopped it from featuring in the list of having PEOPLE living in extreme poverty? The answer is no! Even your own country Tanzania is richer than Kenya resource-wise but it still has more people living in extreme poverty than Kenya.

Now engage your brain for once and stop creating your own stories which contradict what's contained in that WB report.
 
Nakubaliana na wewe kuwa biashara ya treni ni mizigo na hata wakati wanadizaini hii reli walijua abiria ni kidogo sana ndo maana hata makadirio ya abiria ilikuwa ni 1.5 mil kwa mwaka (soma esia) ila leo tunazungumzia 2.3 almost mara mbili, kwa maana ikisimamiwa vizuri Inaweza fikisha mpaka 6mil kwa mwaka.
Tukija kwenye treni hata kama kutakuwa na treni 20 wastan wa behewa 100 na ukawa na treni 15 kwa maono ya sasa abiria watalipa tu .
Itaweza fikia hiyo pesa inayofika ikiwa imefika kwanza na kigoma ila bado hata huko abiria ni wengi sana wa kujaza mpaka treni 30 kwa siku za abiria.
Mimi nawewe tunatofautiana , wewe unaamini kwa ulivyosikia kuwa ni mizigo tu inalipa ila kwangu naamini abiria wakifanyiwa promo kidogo hata hii ya Dodoma tunaweza toa mpaka treni 20 kwa siku kabla ya kufika dom


Hakuna behewa la tani 120 lilioagizwa maana axel capacity ni tan 35 na mabahewa yote yaliyotangulia ni tan 75 tu.


Kumbuka mizigo sio Kila siku .
Hakuna treni ya mizigo itatoka dar mpaka kigoma ikageuza same day ila ya abiria itaweza hata piga trip 3 kwa masaa 24

Ili ubebe mzigo wa 700mil inahitaji mabehewa 163 na si chini ya vichwa vya treni 4 je ushapiga hesabu ya gharama ambatanisho?
Hivi unajua hiyo abiria ikivuta behewa hata nusu ya hiyo kwa siku Inaweza ingiza mara mbili ya

Sasa huoni kama ya mzigo inachelewa kuingiza pesa. Kama kwa sasa ya abiria kwa siku inaingiza 151mil kwa siku 7 si inaingiza 1.bil Tena treni moja sio zote 🤣.
Tukisema tufanye treni zote mbili ni 2bil kwa siku saba . Hiyo hela utazipata kwa treni ngapi A mizigo kwa siku sababu ? Kumbuka kjna kushusha na kupakua

Nimekuwa kwenye usafirishaji abiria analipa kuliko lorry, ila abiria anataka heshima na nidhamu .
Unaweza toa lorry dar - songea ukalipwa 5mil ila ukachukua siku tatu
Ukitoa gharama zote ukabaki na 2mil ila kukawa na mtu wa mabasi yeye Kila siku akalaza 1.8 baada gharama nyinginezo . Ndani ya siku tatu kibindoni akawa na 5.4mil na wewe huko ukienda unaweza subiri mzigo wiki
Brother unaleta ubishani wa kitoto sana. 🤣 🤣 🤣 🤣 Ya SGR ya abiria izidi ya mizigo. This is stupid discusion. Cost ya ujenzi wa SGR ya tanzania estimated at $10 billion (26 trillion Tanzanian shillings). Kwa biashara ya abiria hizo pesa unazirudisha baada ya miaka mingapi?.

Unajitutumua uonekane upo na akili kumbe ni hopeless tu.
Unaleta maneno ya hisia tu bila ukweli wowote. Mimi ninakuletea taarifa na evidences. Uwezo wa behewa moja ni 120t. Soma hapa:


Axile load ni Tani 35. Behewa moja lipo na Axiles 4. 35x4 = 140ton, 20ton ni uzito wa behewa lenyewe. Then 120t ni uzito wa mzigo.

Unazingua kinyama.

Check hapa behewa linavyoonekana. Lipo na mataili 8, kila Axile ipo na mataili mawili.

1752353783966.png


ACHA UJINGA KAKA NAKUOMBA UJIELIMISHE HATA KIDOGO GOOGLE BADALA YA KUTUTIA AIBU HUMU JF

 
Brother mawazo yako ya ajabu sana. Yani mzigo wa 10,000 ton ubebwe na mgr 🤣 🤣 🤣 🤣 Je, unajua treni moja ya mgr inabeba ton ngapi? Kaka mawazo yako ni too theoretical not real
Kwani tan 10,000 ni mabehewa mangapi ya mgr?
Au hujui behewa moja ya mgr linabeba tan 40 na inahitaji mabehewa 250 tu ambazo ni kama treni 4 za mgr .
 
Kwani tan 10,000 ni mabehewa mangapi ya mgr?
Au hujui behewa moja ya mgr linabeba tan 40 na inahitaji mabehewa 250 tu ambazo ni kama treni 4 za mgr .
Kaka tafuta taarifa sahihi badala ya kuweka mawazo yako na matamanio yako. Unapotosha watu humu. Tanzania MGR inafunga 20 wagons, kila wangon inabeba 46 tani, jumla 920 tani kwa trip. Speed yake ni 30–50 km/h. Tueleze treni moja itafika muda gani Mwanza. Kutoka dodoma kwenda mwanza itatumia masaa 16–24

Ili kubeba 10,000 toni itahitajika trip 11 za MGR.
Soma maelezo haya hapa:

 
Kwani tan 10,000 ni mabehewa mangapi ya mgr?
Au hujui behewa moja ya mgr linabeba tan 40 na inahitaji mabehewa 250 tu ambazo ni kama treni 4 za mgr .
Unaongea theories siyo uhalisia. 🤣🤣🤣🤣 Treni moja ya mgr inafunga mabhewa 20.
Chukua 250/20 utapata = 12.5 treni, ~13 treni. Unajua Math kweli?
 
Brother unaleta ubishani wa kitoto sana. 🤣 🤣 🤣 🤣 Ya SGR ya abiria izidi ya mizigo. This is stupid discusion. Cost ya ujenzi wa SGR ya tanzania estimated at $10 billion (26 trillion Tanzanian shillings). Kwa biashara ya abiria hizo pesa unazirudisha baada ya miaka mingapi?.
Kwanza hakuna anayesema mizigo hailipi ila nimechokuelekeza kuwa hata tukisema usimamie abiria vizuri kwa sasa Inaweza lipa zaid unavyofikiria, inahitaji kupata watu sahihi wakufanya hiyo kazi.
Tuliwahi sema hivyo hata kipindi Cha ttcl ambayo baadae ilikuwa ikazaaa Zain Africa( mtaji ulipatikana ttcl) na watu kama nyinyi walipinga kabisa kuwa simu haziwezi leta faida matokeo yake Zain ikapata mtaji huku ttcl ikifirisika
Unajitutumua uonekane upo na akili kumbe ni hopeless tu.
Hakuna anayetaka kuonekana anakili ila wewe unashindwa kuiweka uccm wako pembeni
Unaleta maneno ya hisia tu bila ukweli wowote. Mimi ninakuletea taarifa na evidences. Uwezo wa behewa moja ni 120t. Soma hapa:
Sio hisi inatakiwa ufikirie nje comfort zone.

Axile load ni Tani 35. Behewa moja lipo na Axiles 4. 35x4 = 140ton, 20ton ni uzito wa behewa lenyewe. Then 120t ni uzito wa mzigo.
Hebu soma tare weight ya hayo mabehewa ni ngapi. Ukipata tare weight ya 120 najitla jf.
Tare weight is the weight of an empty container or vehicle, excluding any cargo or payload. It's essentially the weight of the packaging, container, or transportation device itself. Knowing the tare weight is essential for accurately calculating the net weight of goods being shipped or transported.
Unazingua kinyama.
Acha uchawa kwanza
Check hapa behewa linavyoonekana. Lipo na mataili 8, kila Axile ipo na mataili mawili.

View attachment 3403640

ACHA UJINGA KAKA NAKUOMBA UJIELIMISHE HATA KIDOGO GOOGLE BADALA YA KUTUTIA AIBU HUMU JF

 
Kaka tafuta taarifa sahihi badala ya kuweka mawazo yako na matamanio yako. Unapotosha watu humu. Tanzania MGR inafunga 20 wagons, kila wangon inabeba 46 tani, jumla 920 tani kwa trip. Speed yake ni 30–50 km/h. Tueleze treni moja itafika muda gani Mwanza. Kutoka dodoma kwenda mwanza itatumia masaa 16–24
Kwahiyo wewe umeambiwa haiwezi funga kichwa kingine ikavuta behewa hata 40 ,
Hivi unajua wengine mpaka tunamaliza vyuo ndo ilikuwa usafir wetu, inawezekana wewe ndo unaijua mgr sasa hivi
Ili kubeba 10,000 toni itahitajika trip 11 za MGR.
Soma maelezo haya hapa:

 
Unaongea theories siyo uhalisia. 🤣🤣🤣🤣 Treni moja ya mgr inafunga mabhewa 20.
Chukua 250/20 utapata = 12.5 treni, ~13 treni. Unajua Math kweli?
Kwahiyo mgr haiwezi vuta behewa 60 ikiwa na vichwa zaidi ? Unajua chalenji ni kupanda mlima salanda tu na ndo kisa Cha kuweka limit ya hayo mabehewa na bado Kuna alternative ya kuweka vichwa zaid ili kufanya uvutaji uwe mkubwa.
Acha kukariri Kila kitu kinawezekana ila tumeaminishwa haiwezekani.
Malaysia Wana mgr ya abiria inapigwa mpaka 140km/hr ila njoo kwetu sasa.
Tembea uone usikariri


The world's fastest meter gauge train is the KTM ETS (Electric Train Service) in Malaysia. It operates on the West Coast Line, reaching a maximum speed of 140 km/h (87 mph). While other trains may reach higher speeds in test runs, the KTM ETS is the fastest in regular, commercial passenger service on meter gauge tracks.
 
Kwanza hakuna anayesema mizigo hailipi ila nimechokuelekeza kuwa hata tukisema usimamie abiria vizuri kwa sasa Inaweza lipa zaid unavyofikiria, inahitaji kupata watu sahihi wakufanya hiyo kazi.
Tuliwahi sema hivyo hata kipindi Cha ttcl ambayo baadae ilikuwa ikazaaa Zain Africa( mtaji ulipatikana ttcl) na watu kama nyinyi walipinga kabisa kuwa simu haziwezi leta faida matokeo yake Zain ikapata mtaji huku ttcl ikifirisika

Hakuna anayetaka kuonekana anakili ila wewe unashindwa kuiweka uccm wako pembeni

Sio hisi inatakiwa ufikirie nje comfort zone.

Hebu soma tare weight ya hayo mabehewa ni ngapi. Ukipata tare weight ya 120 najitla jf.
Tare weight is the weight of an empty container or vehicle, excluding any cargo or payload. It's essentially the weight of the packaging, container, or transportation device itself. Knowing the tare weight is essential for accurately calculating the net weight of goods being shipped or transported.

Acha uchawa kwanza
Kwikwikwi. Unaropoka. Evidence ya haya matapu tapu yako unazitoa wapi?
 
Kwahiyo wewe umeambiwa haiwezi funga kichwa kingine ikavuta behewa hata 40 ,
Hivi unajua wengine mpaka tunamaliza vyuo ndo ilikuwa usafir wetu, inawezekana wewe ndo unaijua mgr sasa hivi
Unaropoka. Uwezo wako upo chini ya kiwango. Nimekudharau kuanzia leo. Wewe ni hopeless. Hakuna ushahidi wowote umeweka. Huna tofauti na Teargass anayeishi kwenye UTOPIA.

Umri wako kwanza ni miaka mingapi? Nisije kuwa najadili na katoto kadogo. Kwikwikwi.
 
Kwahiyo mgr haiwezi vuta behewa 60 ikiwa na vichwa zaidi ? Unajua chalenji ni kupanda mlima salanda tu na ndo kisa Cha kuweka limit ya hayo mabehewa na bado Kuna alternative ya kuweka vichwa zaid ili kufanya uvutaji uwe mkubwa.
Acha kukariri Kila kitu kinawezekana ila tumeaminishwa haiwezekani.
Malaysia Wana mgr ya abiria inapigwa mpaka 140km/hr ila njoo kwetu sasa.
Tembea uone usikariri


The world's fastest meter gauge train is the KTM ETS (Electric Train Service) in Malaysia. It operates on the West Coast Line, reaching a maximum speed of 140 km/h (87 mph). While other trains may reach higher speeds in test runs, the KTM ETS is the fastest in regular, commercial passenger service on meter gauge tracks.
Weka huo ushahidi MGR ya Tanzania ikivuta hizo behewa 100. Unaandika matapu tapu. kwikwikwikwi
 
Back
Top Bottom