Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

To advance as in to attack, follow the context acha kurukia stori tu randomly bila kuelewa nachokiongelea.
Nawajua wakenya kwa kuruka ruka na kuhama mada.
Mkiambiwa hili mnahamia pale,narudia tena huwenda wewe mtoto mdogo hujui nguvu ya N.korea.
Ila USA waliopigana Jangsari 1959 wanajua balaa lake.
 
Tanzania bus hostess. Huko Kenya ni vicheko. Dunia yote inajua vitu vyote vizuri vinatoka Tanzania.
Kenya yanatoka magimbi ya wanawake.


Tilisho Safaris
1752312215144.png
 
Unapenda sana trivial issues. Vipi hakuna development hapo kenya utuoneshe? Maana kuanzia jana upo kwenye mabishano tu bila context. Je, Kenya haina projects? Kwikwikwikwikwikwi
Nakuuliza hivi bongolala, leo data za mkoloni zilizotengezwa inside AC-fitted offices ni za ukweli?
 
Nawajua wakenya kwa kuruka ruka na kuhama mada.
Mkiambiwa hili mnahamia pale,narudia tena huwenda wewe mtoto mdogo hujui nguvu ya N.korea.
Ila USA waliopigana Jangsari 1959 wanajua balaa lake.
The guy used the word advance to mean attack ila wewe ukaelewa vile unataka. Tell us when Korea made advances against the US uwache kutupigia kelele
 
The guy used the word advance to mean attack ila wewe ukaelewa vile unataka. Tell us when Korea made advances against the US uwache kutupigia kelele
Hakuna Cha kelele Wala nini.
Kwanza kitendo Cha kufananisha kauli za vitisho za Uganda dhidi ya Kenya na North Korea dhidi ya USA ni batili.
North Korea amewahi kukutana na USA ndio maana USA anachukulia Kila neno la N Korea ni threat kwake.
Wewe kaa jipumbaze na mwenzako.
Hizo kauli NDIZO zilizofanya US waweke economic na millitary sanctions kwa N.korea Kila zikitamkwa.
 
Hakuna Cha kelele Wala nini.
Kwanza kitendo Cha kufananisha kauli za vitisho za Uganda dhidi ya Kenya na North Korea dhidi ya USA ni batili.
North Korea amewahi kukutana na USA ndio maana USA anachukulia Kila neno la N Korea ni threat kwake.
Wewe kaa jipumbaze na mwenzako.
Hizo kauli NDIZO zilizofanya US waweke economic na millitary sanctions kwa N.korea Kila zikitamkwa.
I asked you a very simple question ila ukaja na insha and even mentioned Kenya and Uganda which I didn't even mention. Endelea kujiliwaza. And by the way, you should thank us we've made you know maana nyingine ya neno 'advance' kando ya ulivyojua
 
Tuletee Taarifa za maendeleo kutoka kenya. Mbona unaogopa? Kwikwikwikwikwi mimi sina muda wa kubishana issue za watoto wa darasa la kwanza. Leta mambo ya kikubwa tujadili.
Tanzania kuna maendeleo gani? Mngekuwa na maendeleo hamngekuwa ndio nchi inaongoza kwa umaskini ukanda huu
 
I asked you a very simple question ila ukaja na insha and even mentioned Kenya and Uganda which I didn't even mention. Endelea kujiliwaza. And by the way, you should thank us we've made you know maana nyingine ya neno 'advance' kando ya ulivyojua
Najua na nafahamu na Nina ujuzi kuliko ninyi.
Ila nishawazoea Wakenya ni watu wa kukwepa ukweli mkielezwa.
Pole yako sio yangu.
Endelea kuzunguka ila ni watoto ninyi kulingana na mfano mlioleta.
 
Tanzania kuna maendeleo gani? Mngekuwa na maendeleo hamngekuwa ndio nchi inaongoza kwa umaskini ukanda huu
1. Tanzania leads in electricity production in East Africa Community
2. Tanzania has Electric Trains
3. Tanzania has BRT
4. Tanzania's food reserves is 126%
5. Tanzania leads in tourism in East Africa
6. Tanzania leads in urbanization in East Africa
7. Tanzania has the largest reserve of pure gold in East Africa, the fifth largest in Africa.
8. Tanzania leads in cement production in East Africa


Ni mambo mengi mno nikianza kuorodhesha. Hayo ndiyo maendeleo tunayoyasema siyo kejeri zenu za kwenye mitandao To get emotional relief
 
Najua na nafahamu na Nina ujuzi kuliko ninyi.
Ila nishawazoea Wakenya ni watu wa kukwepa ukweli mkielezwa.
Pole yako sio yangu.
Endelea kuzunguka ila ni watoto ninyi kulingana na mfano mlioleta.
Ni ukweli gani ulitueleza?
 
Tanzania kuna maendeleo gani? Mngekuwa na maendeleo hamngekuwa ndio nchi inaongoza kwa umaskini ukanda huu
"Mngekuwa na maendeleo hamngekuwa ndio nchi inaongoza kwa umaskini ukanda huu"

Sorry bro, did you consult your brain wakati unaandika huu ujinga?? Au mabomu ya poslisi kwenye maandamano yamekutia uchizi kwa muda!
 
Back
Top Bottom