Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Issue ya kupishana haina mantiki maana hata hao wanaofunga hivyo vichwa sio kwamba wanakuwa na njia toshelezi za kupishana ila train Zinakuwa na ratiba zake.
Mfano train inatoka dar na behewa 100 ila unajua kabisa sehemu kama Moro kuna njia zaid ya 4 za kufanya shunting , hivyo wanachofanya ikifika Moro wanavifungua kama kupanga ili treni nyinge iweze pita kwa njia kuu.
Kuna sehemu kama Australia watu wanafunga mabehewa mpaka 600 zaid ya km 10, hupati shunting ya 10km ila pale inapotokea kuna kupishana lazima itafutwe sehemu ya kupangua.
Sasa kwa ujenzi wa sasa unahisi hata hiyo mgr itakosa sehemu ya kupangulia mabehewa

Dpu huwa ni mfumo ambao unafanyiwa installation kwenye vichwa vya train kwahiyo sio kigezo Cha kusema haiwezekaniki na huo mfumo upo kwenye baadhi ya vichwa vipya vya mgr

Ukisema hivyo basi unamaanisha hata sasa hivi hatuwez tembeza behewa 40 kwa pamoja kitu ambacho si kweli trc huwa kuna muda inafunga mpaka behewa 50 kwa vichwa viwili .
Nimekupatia hoja tano naona unaleta blah blah. Vitu unavyoongea ni utoto. Labda issue za watoto wa shule siyo mambo ya nchi. Narudia hoja hizi hapa zijibu hoja kwa hoja zipo tano. TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
 
Kwangu Mimi dry port Inaweza ikawa chanzo Cha mapato ya trc, wanaweza jenga halafu wakakodisha kwa ajili ya uendeshaji ila hii kwao ndo itakuwa na manufaa makubwa sana, kuliko kutegemea mpaka waje wawekezaji.
Mfano ni kama tulivyofanya bandarini tumejenga then tumewakodisha dp world mzigo inaongezeka, makusanyo ya Kodi yameongezeka .
Kwahiyo kwangu kma trc wanataka pesa wajenge wakodishe halafu waone mizigo itakavyomiminika
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.

Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
 
Tuanzie na Japan population yake ni 128mil haina utofauti sana na Tanzania tukija kwenye suala la population , hapo biashara ya mabasi ni kama haipo kabisa.
Kinachotakiwa ni efficiency tu.
Nani alifikiria dar- Dom ingewez leta maporomoko ya abiria kwa kiwango hiki.
Kwa sasa ni nadra sana kupata ticket ya siku hiyohiyo na kutokana na watu kulala ofisini hata hawajisumbui kuongeza train nyingine.
Ukienda Moro dar kuna wasafiri kibao sana na wengi wanapanda mabasi kwa sababu ya kukosa ticket
Kwahiyo tungesema hakuna abiria kama tungekuwa tunatembeza letsay 20 kwa siku na hakuna abiria wa kujaza.
Tukija kwenye operating cost, trc wenyewe ndo wanaziongeza , hivi Japan kweli kuna wahudumu wa kuuza bites kwa Kila behewa?
Karibia Kila kitu Japan ni automatic ila leo sisi tuna madirisha karibia sita pale Dom wakati tulitakiwa tuwe na mashine za ticket tu ambazo hatulipi mshahara.
Hata ukienda kwenye waendeshaji si ajabu unakuta kwa treni 4 tu za abiria zinazofanya kazi sasa hivi kukawa na madereva 200 . Hiyo efficiency utaitolea wapi na faida itoke wapi?
Kwanini trc isiwatoe wahudumu ibaki na wakaguzi ila iweke mashine za kuuza vitu kwenye Kila steshen kama

Kona na milima option yake ni kuongeza vichwa ili kuweza kufanya distribution ya msukumo

Tunaweza kufanya installation ya hizo dpu kama hazipo ila nachokumbuka miaka ya nyuma pale salanda treni za mizigo zilikuwa zinaweza vutwa na vichwa mpaka 4 sasa utasemaje hazina huo mfumo?


Hivyo vyote ni vitu vinaweza kufanyiwa maboresho ambayo si ya dharama kama sana .


Wewe ndo unalazimisha trc ni sasa hivi tu ndo inavuta mabehewa kidogo, miaka ya 90 ilikuwa Inaweza vuta hata behewa 40 na bado ikifika salanda vikaunganishwa mpaka vichwa vinne kwa ajili ya kupandisha mlima utasemaje haiwezekaniki kuvuta kwa sababu train hazina mfumo wa mawasiliano , ebu tuambie hii video chini iliwezekanaje vikafungwa vichwa viwili bila kuwa na mfumo wa mawasiliano ?

View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=FiUvlsJwKn2lnJwX
Ebu tusaidie kuhesabu idadi ya behewa hapo ziko chini 40?
Kama tumeweza funga mabehewa 40 kwa vichwa viwili Kumbe zamani tulipokuwa tunafunga vichwa vinne tungeweza vuta behewa 80🤣🤣🤣🤣🤣

hivi kaka huoni wanatumia vichwa viwili ikimaanisha mafuta mara mbili? ya umeme haihitaji vichwa viwili!
 
Sasa unaniuliza tena mimi 🤣 🤣 🤣 🤣 Naona unajichanganya tu mdogo wangu. Nitaendelea kukupatia elimu.

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
Ebu tafuta hiyo comment niliyoiponda sgr kwanza. Acha kulisha watu maneno
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
Uelewa wako ni mdogo sana.
Hakuna sehemu nilipoponda mradi wa sgr ila nimesema kwa sasa hata hiyo mgr Inaweza tumika kufikisha mzigo huko ambako sgr haijafika. Yaan kwa sasa mzigo tungeweza Toka dar mpaka Dom then ukahamishiwa kwenye mgr ila wewe unataka kulazimisha ionekane nime underestimate mradi wa sgr na hii inatokana kuwa na hisia kuwa mtu asiyesifia miradi yenu au anayekosoa ni adui yenu. Uchawa promax
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
Dry port hujatoa elimu yoyote , wewe umesema ni kazi ya bandari sawa , ila ulichoelekezwa mwanzo ilikuwa ni ujenzi wa magodown ambayo yangeweza kodishwa au icdl ambazo zingeweza kodishwa kwa ajili kurahisisha kuhifadhi wa mizigo. Sasa elimu gani umetoa hapo
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
Umeambiwa trc ishawahi kumiliki meli miaka ya nyuma kabla ya kugawanywa au hujui kuwa mv liemba,mv Victoria , mv mbeya na mv songea zilikuwa chini trc
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
Wewe umesabu axle ambazo unaziona ila tare weight ya hayo mabehewa ni tan 75 na ingekuwa zinabebwa tan 120 basi hata siku ya kwanza ya usafirishaji wangefunga behewa 5 na safari ya dangote ya juzi wangefunga behewa 10 , ila hata ukisikiliza maelezo ya trc wenyewe ni kuwa mabehewa hayo yanabeba tan75 ukizoom kwenye eneo la tare weight ni tan 75 sasa wewe hiyo tan 120 imeandikwa wapi maana uzitk wa behewa imeandikwa pembeni ya behewa husika
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
Train 4 haziwez beba mzigo wa tani 10,000 vipi hapa 2,400 *4 haiwez fila huo mzigo

View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=YFbXlRe4gxAVSdYU
Au wewe unajua train ni kichwa train🤣🤣🤣.
Kwahiyo kwa be idadi ya hayo mabehewa na mzigo uliobebwa tukisema zifingwe nne kama hizo hazibebi mzigo wa 10,000
Mambo ni mengi mno unaongea blah blah tu. 🤣🤣🤣🤣 Sasa hivi unahamia kwenye TAZARA
Wewe kichwani ni hewa unaendeshwa na maisha ya kwenye ndoto.

Kama hujui kitu uliza kuliko kuandika uongo
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.

Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
Leta comment ya Mimi kuiponda sgr
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
Leta elimu uliyotoabkunielemisha sgr versus mgr
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
Haya haya hii mizigo inaingia mara ngapi kwenye 10,000


View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=azRoCTM1IwNniKK6

View: https://youtu.be/iTTZ8KGzyqA?si=lYQEn-l9rNUsYkxe
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.
Kazi ya halmashauri ni kutoa huduma ila inakuwaje sasa hivi wanakuwa mpaka na viwanda kama vya tofari au vifaa kwa ajili ya kukodisha.
Hivi Samia anaposimama na kusema kuwa Kila taasisi iumize kichwa ni kwa namna gani itakuza mapato wewe unaelewa nini.
Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.
Kazi ya halmashauri ni kutoa huduma ila inakuwaje sasa hivi wanakuwa mpaka na viwanda kama vya tofari au vifaa kwa ajili ya kukodisha.
Hivi Samia anaposimama na kusema kuwa Kila taasisi iumize kichwa ni kwa namna gani itakuza mapato wewe unaelewa nini.
Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
 
Ebu tafuta hiyo comment niliyoiponda sgr kwanza. Acha kulisha watu maneno

Uelewa wako ni mdogo sana.
Hakuna sehemu nilipoponda mradi wa sgr ila nimesema kwa sasa hata hiyo mgr Inaweza tumika kufikisha mzigo huko ambako sgr haijafika. Yaan kwa sasa mzigo tungeweza Toka dar mpaka Dom then ukahamishiwa kwenye mgr ila wewe unataka kulazimisha ionekane nime underestimate mradi wa sgr na hii inatokana kuwa na hisia kuwa mtu asiyesifia miradi yenu au anayekosoa ni adui yenu. Uchawa promax

Dry port hujatoa elimu yoyote , wewe umesema ni kazi ya bandari sawa , ila ulichoelekezwa mwanzo ilikuwa ni ujenzi wa magodown ambayo yangeweza kodishwa au icdl ambazo zingeweza kodishwa kwa ajili kurahisisha kuhifadhi wa mizigo. Sasa elimu gani umetoa hapo

Umeambiwa trc ishawahi kumiliki meli miaka ya nyuma kabla ya kugawanywa au hujui kuwa mv liemba,mv Victoria , mv mbeya na mv songea zilikuwa chini trc

Wewe umesabu axle ambazo unaziona ila tare weight ya hayo mabehewa ni tan 75 na ingekuwa zinabebwa tan 120 basi hata siku ya kwanza ya usafirishaji wangefunga behewa 5 na safari ya dangote ya juzi wangefunga behewa 10 , ila hata ukisikiliza maelezo ya trc wenyewe ni kuwa mabehewa hayo yanabeba tan75 ukizoom kwenye eneo la tare weight ni tan 75 sasa wewe hiyo tan 120 imeandikwa wapi maana uzitk wa behewa imeandikwa pembeni ya behewa husika

Train 4 haziwez beba mzigo wa tani 10,000 vipi hapa 2,400 *4 haiwez fila huo mzigo

View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=YFbXlRe4gxAVSdYU
Au wewe unajua train ni kichwa train🤣🤣🤣.
Kwahiyo kwa be idadi ya hayo mabehewa na mzigo uliobebwa tukisema zifingwe nne kama hizo hazibebi mzigo wa 10,000

Umejifunza juzi kuweka quote sasa imekuwa kero JF Kwikwikwikwikwi
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.

Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
Huna hoja umeshajibiwa
 
Kazi ya halmashauri ni kutoa huduma ila inakuwaje sasa hivi wanakuwa mpaka na viwanda kama vya tofari au vifaa kwa ajili ya kukodisha.
Hivi Samia anaposimama na kusema kuwa Kila taasisi iumize kichwa ni kwa namna gani itakuza mapato wewe unaelewa nini.
Ulisema Halmashauri ni Kampuni 🤣 🤣 🤣 🤣 Aibu naona mimi
 
Huna hoja umeshajibiwa
Hizi hoja ni msumari wa mwisho kwenye jeneza 🤣🤣🤣🤣

TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES. ZIJIBU MOJA MOJA

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
 
Nimekupatia hoja tano naona unaleta blah blah. Vitu unavyoongea ni utoto. Labda issue za watoto wa shule siyo mambo ya nchi. Narudia hoja hizi hapa zijibu hoja kwa hoja zipo tano. TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)
Uko sawa
2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.
Kabla ya kujibu ungejiuliza vipi zile tran zinazovuta mabehewa 600 huwa zinapishanaje ( hapa nilitegemea kuleta hata evidence yoyote)
Basi trc huwa ikifunga mabehewa mengi na kina treni za kupishana yanapanguliwa ili kulisha tren nyingine ipite na hii sanasana huwa ni pugu tabora ,Dodoma na isaka .
Wewe hata kusafirisha na mgr inaonekana hujawahi ila unajifanya mjuaji tu
3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.
Kipi ninakufanya useme huo mfumo haupo wakati ni mfumo ambao unafungwa kwenye vichwa vya treni na vile vichwa vipya vya mgr vilikuwa nao.
Nimekupa mpaka evidence kwamba ukitaka prove hayo treni yoyote ya mizigo ikifika salanda lazima iongezewe vichwa muda mwingine mpaka vinne ili kupandisha mlima.
Kama huo mfumo haupo inakuwaje vichwa vifungwe?
5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Braking system sawa , inaonekana hata hujui mfumo wa brake za mgr ni zipi mgr Wana mfumo wa vacuum na air braking system ambazo ni ndo zinatumika kwenye train za mizigo za usa mpaka leo kwa baadhi ya train.
Ukisema ni za zamani inatakiwa ujue hata sgr Ina pneumatic braking system za umeme🤣🤣🤣🤣🤣
Electronically Controlled Pneumatic Brakes
 
Hizi hoja ni msumari wa mwisho kwenye jeneza 🤣🤣🤣🤣

TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES. ZIJIBU MOJA MOJA

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)
Mzee Huna hoja ushajibiwa sanasana sasa hivi unajidhihirisha ujinga wako
2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Tembea acha kudanganywa
 
Kabla ya kujibu ungejiuliza vipi zile tran zinazovuta mabehewa 600 huwa zinapishanaje ( hapa nilitegemea kuleta hata evidence yoyote)
Basi trc huwa ikifunga mabehewa mengi na kina treni za kupishana yanapanguliwa ili kulisha tren nyingine ipite na hii sanasana huwa ni pugu tabora ,Dodoma na isaka .
Wewe hata kusafirisha na mgr inaonekana hujawahi ila unajifanya mjuaji tu
Kabla ya kujibu hoja unatakiwa uielewe inaongelea nini. Je unavijua vituo vya mizigo vya MGR vilivyojengwa?

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

Hapa tunaongelea MGR ya Tanzania siyo ya nchi zingine. Jibu kuhusinana na MGR ya Tanzania. Eleza hiyo issue unaitatua vipi na cost yake ni how much? **Usituletee empty word hapa.
 
Kabla ya kujibu hoja unatakiwa uielewe inaongelea nini. Je unavijua vituo vya mizigo vya MGR vilivyojengwa?

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

Hapa tunaongelea MGR ya Tanzania siyo ya nchi zingine. Jibu kuhusinana na MGR ya Tanzania. Eleza hiyo issue unaitatua vipi na cost yake ni how much? **Usituletee empty word hapa.
Huna hoja no kupoteza muda
 
Kipi ninakufanya useme huo mfumo haupo wakati ni mfumo ambao unafungwa kwenye vichwa vya treni na vile vichwa vipya vya mgr vilikuwa nao.
Nimekupa mpaka evidence kwamba ukitaka prove hayo treni yoyote ya mizigo ikifika salanda lazima iongezewe vichwa muda mwingine mpaka vinne ili kupandisha mlima.
Kama huo mfumo haupo inakuwaje vichwa vifungwe?
3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

Hii point unairuka na kuiunganisha kwenye maelezo yako ya blah blah tu. Hivi unajua matokeo ya tren ndefu kwenye mteremko kuwa itaweza sababisha derailment?

Toa maelezo hii issue utaitatua namna gani na cost yake ni how much?
 
Back
Top Bottom