Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.
Kazi ya halmashauri ni kutoa huduma ila inakuwaje sasa hivi wanakuwa mpaka na viwanda kama vya tofari au vifaa kwa ajili ya kukodisha.
Hivi Samia anaposimama na kusema kuwa Kila taasisi iumize kichwa ni kwa namna gani itakuza mapato wewe unaelewa nini.
Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
 
Ebu tafuta hiyo comment niliyoiponda sgr kwanza. Acha kulisha watu maneno

Uelewa wako ni mdogo sana.
Hakuna sehemu nilipoponda mradi wa sgr ila nimesema kwa sasa hata hiyo mgr Inaweza tumika kufikisha mzigo huko ambako sgr haijafika. Yaan kwa sasa mzigo tungeweza Toka dar mpaka Dom then ukahamishiwa kwenye mgr ila wewe unataka kulazimisha ionekane nime underestimate mradi wa sgr na hii inatokana kuwa na hisia kuwa mtu asiyesifia miradi yenu au anayekosoa ni adui yenu. Uchawa promax

Dry port hujatoa elimu yoyote , wewe umesema ni kazi ya bandari sawa , ila ulichoelekezwa mwanzo ilikuwa ni ujenzi wa magodown ambayo yangeweza kodishwa au icdl ambazo zingeweza kodishwa kwa ajili kurahisisha kuhifadhi wa mizigo. Sasa elimu gani umetoa hapo

Umeambiwa trc ishawahi kumiliki meli miaka ya nyuma kabla ya kugawanywa au hujui kuwa mv liemba,mv Victoria , mv mbeya na mv songea zilikuwa chini trc

Wewe umesabu axle ambazo unaziona ila tare weight ya hayo mabehewa ni tan 75 na ingekuwa zinabebwa tan 120 basi hata siku ya kwanza ya usafirishaji wangefunga behewa 5 na safari ya dangote ya juzi wangefunga behewa 10 , ila hata ukisikiliza maelezo ya trc wenyewe ni kuwa mabehewa hayo yanabeba tan75 ukizoom kwenye eneo la tare weight ni tan 75 sasa wewe hiyo tan 120 imeandikwa wapi maana uzitk wa behewa imeandikwa pembeni ya behewa husika

Train 4 haziwez beba mzigo wa tani 10,000 vipi hapa 2,400 *4 haiwez fila huo mzigo

View: https://youtu.be/qgH4Gse_mr8?si=YFbXlRe4gxAVSdYU
Au wewe unajua train ni kichwa train🤣🤣🤣.
Kwahiyo kwa be idadi ya hayo mabehewa na mzigo uliobebwa tukisema zifingwe nne kama hizo hazibebi mzigo wa 10,000

Umejifunza juzi kuweka quote sasa imekuwa kero JF Kwikwikwikwikwi
 
Naona unazikimbia hoja zangu unakimbilia kuongelea theories 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 TPA wafanye kazi gani? Unalijua somo la mgawanyo wa majukumu? Naona umezoea kuuza duka la mangi, mafuta ya taa na mchele zinakaa sehemu moja Dunia imeshaondokana na mawazo hayo ya ujima na uchuuzi. Kila jambo linafanywa kwa mpangilio siyo ovyo ovyo tu eti kwa sababu unaweza kupata faida.

Tolea maelezo mambo haya:

1. Mwazo ulianza na kuiponda SGR nikakuelimisha ukakaa kimya bila hata kusema asante.
2. Ukaja kuanza kuisifia MGR vs SGR nimekuelimisha hujasema asante.
3. Ukaja na issue ya TRC kujenga Dry ports nikakupatia elimu, ukakaa kimya bila kusema asante.
4. Ukaja kusema TRC wana miliki Meli nikakuomba utupatie ushahidi ukatokomea porini.
5. Ukaja ukadanganya kuwa SGR ya tanzania uwezo wake ni 75 ton nikakupatia ushahidi kuwa 120 ton ukapotea
6. Ukaja na uongo wa kuwa treni nne tu za MGR zinaweza kubeba 10,000 tons, nikakushushua kuwa unaongea uongo.
Huna hoja umeshajibiwa
 
Kazi ya halmashauri ni kutoa huduma ila inakuwaje sasa hivi wanakuwa mpaka na viwanda kama vya tofari au vifaa kwa ajili ya kukodisha.
Hivi Samia anaposimama na kusema kuwa Kila taasisi iumize kichwa ni kwa namna gani itakuza mapato wewe unaelewa nini.
Ulisema Halmashauri ni Kampuni 🤣 🤣 🤣 🤣 Aibu naona mimi
 
Huna hoja umeshajibiwa
Hizi hoja ni msumari wa mwisho kwenye jeneza 🤣🤣🤣🤣

TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES. ZIJIBU MOJA MOJA

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
 
Nimekupatia hoja tano naona unaleta blah blah. Vitu unavyoongea ni utoto. Labda issue za watoto wa shule siyo mambo ya nchi. Narudia hoja hizi hapa zijibu hoja kwa hoja zipo tano. TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)
Uko sawa
2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.
Kabla ya kujibu ungejiuliza vipi zile tran zinazovuta mabehewa 600 huwa zinapishanaje ( hapa nilitegemea kuleta hata evidence yoyote)
Basi trc huwa ikifunga mabehewa mengi na kina treni za kupishana yanapanguliwa ili kulisha tren nyingine ipite na hii sanasana huwa ni pugu tabora ,Dodoma na isaka .
Wewe hata kusafirisha na mgr inaonekana hujawahi ila unajifanya mjuaji tu
3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.
Kipi ninakufanya useme huo mfumo haupo wakati ni mfumo ambao unafungwa kwenye vichwa vya treni na vile vichwa vipya vya mgr vilikuwa nao.
Nimekupa mpaka evidence kwamba ukitaka prove hayo treni yoyote ya mizigo ikifika salanda lazima iongezewe vichwa muda mwingine mpaka vinne ili kupandisha mlima.
Kama huo mfumo haupo inakuwaje vichwa vifungwe?
5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Braking system sawa , inaonekana hata hujui mfumo wa brake za mgr ni zipi mgr Wana mfumo wa vacuum na air braking system ambazo ni ndo zinatumika kwenye train za mizigo za usa mpaka leo kwa baadhi ya train.
Ukisema ni za zamani inatakiwa ujue hata sgr Ina pneumatic braking system za umeme🤣🤣🤣🤣🤣
Electronically Controlled Pneumatic Brakes
 
Hizi hoja ni msumari wa mwisho kwenye jeneza 🤣🤣🤣🤣

TUELEZE NA COST ZA KUREKEBISHE HIZO ISSUES. ZIJIBU MOJA MOJA

1. MGR ya Tanzania imejengwa kushikilia mzigo mdogo (16–18 tons/axle)
Mzee Huna hoja ushajibiwa sanasana sasa hivi unajidhihirisha ujinga wako
2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Tembea acha kudanganywa
 
Kabla ya kujibu ungejiuliza vipi zile tran zinazovuta mabehewa 600 huwa zinapishanaje ( hapa nilitegemea kuleta hata evidence yoyote)
Basi trc huwa ikifunga mabehewa mengi na kina treni za kupishana yanapanguliwa ili kulisha tren nyingine ipite na hii sanasana huwa ni pugu tabora ,Dodoma na isaka .
Wewe hata kusafirisha na mgr inaonekana hujawahi ila unajifanya mjuaji tu
Kabla ya kujibu hoja unatakiwa uielewe inaongelea nini. Je unavijua vituo vya mizigo vya MGR vilivyojengwa?

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

Hapa tunaongelea MGR ya Tanzania siyo ya nchi zingine. Jibu kuhusinana na MGR ya Tanzania. Eleza hiyo issue unaitatua vipi na cost yake ni how much? **Usituletee empty word hapa.
 
Kabla ya kujibu hoja unatakiwa uielewe inaongelea nini. Je unavijua vituo vya mizigo vya MGR vilivyojengwa?

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

Hapa tunaongelea MGR ya Tanzania siyo ya nchi zingine. Jibu kuhusinana na MGR ya Tanzania. Eleza hiyo issue unaitatua vipi na cost yake ni how much? **Usituletee empty word hapa.
Huna hoja no kupoteza muda
 
Kipi ninakufanya useme huo mfumo haupo wakati ni mfumo ambao unafungwa kwenye vichwa vya treni na vile vichwa vipya vya mgr vilikuwa nao.
Nimekupa mpaka evidence kwamba ukitaka prove hayo treni yoyote ya mizigo ikifika salanda lazima iongezewe vichwa muda mwingine mpaka vinne ili kupandisha mlima.
Kama huo mfumo haupo inakuwaje vichwa vifungwe?
3. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

Hii point unairuka na kuiunganisha kwenye maelezo yako ya blah blah tu. Hivi unajua matokeo ya tren ndefu kwenye mteremko kuwa itaweza sababisha derailment?

Toa maelezo hii issue utaitatua namna gani na cost yake ni how much?
 
Kabla ya kujibu hoja unatakiwa uielewe inaongelea nini. Je unavijua vituo vya mizigo vya MGR vilivyojengwa?

2. Vituo vingi vya MGR Tanzania havina uwezo wa kupokea au kupisha treni zenye urefu wa mabehewa 100 – ni hatari na huchelewesha operesheni.

Hapa tunaongelea MGR ya Tanzania siyo ya nchi zingine. Jibu kuhusinana na MGR ya Tanzania. Eleza hiyo issue unaitatua vipi na cost yake ni how much? **Usituletee empty word hapa.
Unavijua vituo vya mizigo vya mgr? Ni pungu Moro Dom, tabora, isaka
Kwahiyo unataka kutuambia hapo hakuna njia walau nne za kupaki treni zenye kuweza panga behewa 30 kwa wakati?🤣🤣🤣🤣
 
Kipi ninakufanya useme huo mfumo haupo wakati ni mfumo ambao unafungwa kwenye vichwa vya treni na vile vichwa vipya vya mgr vilikuwa nao.
Nimekupa mpaka evidence kwamba ukitaka prove hayo treni yoyote ya mizigo ikifika salanda lazima iongezewe vichwa muda mwingine mpaka vinne ili kupandisha mlima.
Kama huo mfumo haupo inakuwaje vichwa vifungwe?

4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

Unaunganisha vichwa viwili au zaidi je breaking system inaruhusu kwenye vichwa vyetu? Je, kuwa na hiyo breaking system cost yake ni how much?

Toa maelezo kaka kwa ushahidi kuhusu MGR yetu. Usilete blah blah hapa.
 
Kipi ninakufanya useme huo mfumo haupo wakati ni mfumo ambao unafungwa kwenye vichwa vya treni na vile vichwa vipya vya mgr vilikuwa nao.
Nimekupa mpaka evidence kwamba ukitaka prove hayo treni yoyote ya mizigo ikifika salanda lazima iongezewe vichwa muda mwingine mpaka vinne ili kupandisha mlima.
Kama huo mfumo haupo inakuwaje vichwa vifungwe?
4. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

Tueleze Distributed Power Units ya vichwa vya treni vilivyopo vinaruhusu ukiviunganisha? Vingine unafunga nyuma na vingine mbele technology inaruhusu? Kama havina cost ya marekebisho ni how much?
 
Braking system sawa , inaonekana hata hujui mfumo wa brake za mgr ni zipi mgr Wana mfumo wa vacuum na air braking system ambazo ni ndo zinatumika kwenye train za mizigo za usa mpaka leo kwa baadhi ya train.
Ukisema ni za zamani inatakiwa ujue hata sgr Ina pneumatic braking system za umeme🤣🤣🤣🤣🤣
Electronically Controlled Pneumatic Brakes
Yaani unaropoka tu kijana

5. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.

Treni ipo na vichwa zaidi ya kimoja tueleze breaking system yake itakuwaje?
Hoja yangu haikuwa kwamba hazifanyi kazi – bali kwamba hazitoshi kwa treni ndefu kama za wagons 100, ambazo zina mahitaji makubwa ya braking responsiveness, synchronization, na redundancy.

Air brakes za kawaida (kama zile za MGR) hufanya kazi taratibu – braking pressure huanza kwenye injini kisha huenda mabehewa ya mwisho kwa mfululizo. Hii inasababisha:
1. Brake delay (brake lag) – treni ndefu hushindwa kusimama kwa wakati.
2. In-train forces – mabehewa ya nyuma yanasukuma ya mbele (buffing & jerking).
3. Derailment risk – hasa kwenye curves au mteremko.
 
Nairobi looks more of Kabul, Afghanistan.
What then will we say of this?
images - 2025-01-24T122523.072.jpeg
images (73).jpeg
 
Back
Top Bottom