Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Jamaa anashinda akiandika kwikwikwi saa zote utadhani ni hearse ya maitiTatizo lako ni uchawa , hufikirii nje ya box,
Sasa wewe kwa elimu yako hiyo ya ugoko unaelewa hata tunachoongelea? Kenya na Engineering ni kama mbingu na ardhi. KwikwikwikwikwikwiJamaa anashinda akiandika kwikwikwi saa zote utadhani ni hearse ya maiti
Point yangu ilikua hapo tu kwenye kuongeza injini basi.Braza umesoma nadharia. Tunaongelea MGR ya Tanzania siyo any MGR
MGR ya Tanzania katika hali yake ya sasa haiwezi kufanya hilo kwa ufanisi, usalama, na kwa mnyororo wa operesheni wa kila siku.
Mawazo yako yapo kwenye nadharia zaidi, Je, Miundombinu ya MGR Tanzania Iko Tayari? jibu ni HAPANA
Kipengele Hali halisi ya MGR Tanzania Axle Load Ni ndogo (16–18 tons/axle), ukilinganisha na reli za uwezo mkubwa (SGR 35 t/axle) Urefu wa vituo (loops) Passing loops nyingi ni fupi – haziwezi kupokea treni ya wagons 100 Braking System Ni ya zamani (pneumatic) – haifanyi kazi salama kwa treni ndefu sana Mteremko na curves MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro–Tabora) – inahitaji traction control ya kisasa Haijasanifiwa kwa DPU Distributed Power Unit (injini mbele, katikati, nyuma) haipo kwenye MGR yetu – hii ni teknolojia muhimu kwa treni ndefu.
Kwa hivyo, hata kama ki teknolojia inawezekana lakini miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo.
Ndiyo, unaweza kuongeza injini hadi nne. Lakini hilo linafanyika kwa mazingira maalum ya miundombinu iliyosanifiwa kufanya hivyo. MGR ya Tanzania kwa sasa haijajengwa wala kujiandaa kuvuta mabehewa 100 kwa usalama na ufanisi wa kiuchumi.
Nani ame celebrate? Tumeweka humu kwaajili yenu sisi tuko juu ya LMIC levelAnd why are you celebrating about it?
Nairobi looks more of Kabul, Afghanistan.The only city in the region with two airports. Nairobi, far and beyond!View attachment 3403112
Si waliitandua reli na kuiweka nyingine hadi Tabora kama sijakosea na kuifanya kuwa continuous welded wakisema pia wameongeza upana wa gauge?Braza umesoma nadharia. Tunaongelea MGR ya Tanzania siyo any MGR
MGR ya Tanzania katika hali yake ya sasa haiwezi kufanya hilo kwa ufanisi, usalama, na kwa mnyororo wa operesheni wa kila siku.
Mawazo yako yapo kwenye nadharia zaidi, Je, Miundombinu ya MGR Tanzania Iko Tayari? jibu ni HAPANA
Kipengele Hali halisi ya MGR Tanzania Axle Load Ni ndogo (16–18 tons/axle), ukilinganisha na reli za uwezo mkubwa (SGR 35 t/axle) Urefu wa vituo (loops) Passing loops nyingi ni fupi – haziwezi kupokea treni ya wagons 100 Braking System Ni ya zamani (pneumatic) – haifanyi kazi salama kwa treni ndefu sana Mteremko na curves MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro–Tabora) – inahitaji traction control ya kisasa Haijasanifiwa kwa DPU Distributed Power Unit (injini mbele, katikati, nyuma) haipo kwenye MGR yetu – hii ni teknolojia muhimu kwa treni ndefu.
Kwa hivyo, hata kama ki teknolojia inawezekana lakini miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo.
Ndiyo, unaweza kuongeza injini hadi nne. Lakini hilo linafanyika kwa mazingira maalum ya miundombinu iliyosanifiwa kufanya hivyo. MGR ya Tanzania kwa sasa haijajengwa wala kujiandaa kuvuta mabehewa 100 kwa usalama na ufanisi wa kiuchumi.
Tuanzie na Japan population yake ni 128mil haina utofauti sana na Tanzania tukija kwenye suala la population , hapo biashara ya mabasi ni kama haipo kabisa.Kama hapa mnaongea nadharia tu na si uhalisia. Hebu ngoja nikuchanganulie mambo kitaalamu ili uweze kuelewa.
1. Kuhusu treni za Abiria
Ni kweli kwamba treni za abiria zinaweza kuwa na faida, hasa kwa mifumo yenye idadi kubwa ya abiria (high ridership) kama China, India, au Japan.
Kona na milima option yake ni kuongeza vichwa ili kuweza kufanya distribution ya msukumo
Kipengele Maelezo Demand ya abiria Idadi ya wasafiri ni ndogo ukilinganisha na nchi kama China – mizigo huleta kipato kikubwa zaidi. Operating cost Treni za abiria zinahitaji huduma zaidi (vyakula, wafanyakazi, usafi, ratiba nyingi) na mara nyingi hazijitoshelezi kipesa bila ruzuku ya serikali. China vs Tanzania China ina idadi ya watu 1.4B+, viwanda vingi, na urbanization kubwa – Tanzania bado ni nchi ya kati kwa kipato na idadi ya watu. Mizigo hulipa zaidi Treni moja ya mizigo inaweza kubeba tani 1,000–7,000 kwa safari moja – ikilinganishwa na treni ya abiria yenye watu 500–1000.
2. Uwezo wa MGR Kuvuta Mizigo Mikubwa kwa Kuongeza Injini
kiufundi inawezekana kuongeza injini zaidi ya moja kwenye MGR (“multiple locomotives”) ili kuvuta mzigo mkubwa zaidi.
Kipengele Maelezo Axle Load ndogo MGR ya Tanzania ina axle load ya takriban 16 tons/axle tu. Hii ina maana uwezo wa kubeba mizigo mikubwa ni mdogo ukilinganisha na SGR yenye 35 tons/axle. Urefu wa loops na sidings Stesheni nyingi za MGR zina urefu wa kupishana (loops) mdogo – haziwezi kushughulikia treni ndefu (ya wagons 100+). Nguvu ya reli yenyewe Miundombinu ya reli (ballast, sleepers, curves, gradients) ya MGR haijabuniwa kwa treni ndefu na nzito – husababisha hatari ya derailment au uchakavu wa mapema. Muda wa kuunganisha injini Kuendesha injini nyingi inahitaji mfumo wa mawasiliano, udhibiti wa nguvu (traction control) na injini kufanana – changamoto kwa mabehewa ya zamani ya MGR.
1. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.
Tunaweza kufanya installation ya hizo dpu kama hazipo ila nachokumbuka miaka ya nyuma pale salanda treni za mizigo zilikuwa zinaweza vutwa na vichwa mpaka 4 sasa utasemaje hazina huo mfumo?2. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.
Hivyo vyote ni vitu vinaweza kufanyiwa maboresho ambayo si ya dharama kama sana .3. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.
Wewe ndo unalazimisha trc ni sasa hivi tu ndo inavuta mabehewa kidogo, miaka ya 90 ilikuwa Inaweza vuta hata behewa 40 na bado ikifika salanda vikaunganishwa mpaka vichwa vinne kwa ajili ya kupandisha mlima utasemaje haiwezekaniki kuvuta kwa sababu train hazina mfumo wa mawasiliano , ebu tuambie hii video chini iliwezekanaje vikafungwa vichwa viwili bila kuwa na mfumo wa mawasiliano ?KAMA HAUTAELEWA NA HAPA BASI MNALETA UBISHANI USIO NA MAANA
9. Tanzania leads in intra East Africa trade.1. Tanzania leads in electricity production in East Africa Community
2. Tanzania has Electric Trains
3. Tanzania has BRT
4. Tanzania's food reserves is 126%
5. Tanzania leads in tourism in East Africa
6. Tanzania leads in urbanization in East Africa
7. Tanzania has the largest reserve of pure gold in East Africa, the fifth largest in Africa.
8. Tanzania leads in cement production in East Africa
Ni mambo mengi mno nikianza kuorodhesha. Hayo ndiyo maendeleo tunayoyasema siyo kejeri zenu za kwenye mitandao To get emotional relief
Hata kabla ya kuitandua bado uwezo wa kubeba mpaka behewa 40 ulikuwepoSi waliitandua reli na kuiweka nyingine hadi Tabora kama sijakosea na kuifanya kuwa continuous welded wakisema pia wameongeza upana wa gauge?
Umesoma mpaka level gani mpaka ushindwe kutofautisha kati ya electricity production na access?I can debunk everything you've said here with hard facts but I'll end up wasting a lot of time with a blind patriot like you. Because I don't have luxury of time like you do, I'll pick your first point- electricity.
Tanzania leading in electricity production while you lag behind in electricity access rate and connection. Even Uganda is doing better than you in this front. When we share these figures here, mnasema ni za kupikwa, mara zimetengenezwa na wazungu. I repeat here for a millionth time, you have a long way to go to even start thinking about comparing yourselves with us in anything
Afadhali umeniambia nisingekaa hapa kubishana na kondoo kumbe mimi sikujua nabishana na kondoo 🤣🤣🤣Ungejua tofauti ya LDC and MIC hungekaa hapa kubishana na kondoo. But i can’t blame you simce you are a Primary School dropout.
Mkuu utahama nje ya mada, point kuu ni hiyo video aliyoleta jamaa ya kusukuma mabehewa kwa injini zaidi ya moja.Engine mbili mbele zikivuta na mbili nyuma zikisukuma sio? Leta ikiwa na engine moja na mabehewa 100!
Daah usiitukane Kabul kaka aisee.Nairobi looks more of Kabul, Afghanistan.
![]()
African countries show mixed progress towards poverty reduction and half of them have an extreme poverty rate above 35%
Extreme poverty will become a predominantly Sub-Saharan African phenomenon in the coming decade and the continent will be home to the lion’s share of the global poor by 2030. The recently published Poverty and Shared Prosperity report 2020 shows...blogs.worldbank.org
View attachment 3403183
View: https://x.com/WorldBank/status/1317435268614492160?t=Et3gkwOjOjcN8rWLmH_tJw&s=19
Ndo tunakuambia hujui hata unachoongelea hata hiyo sgr hakuna kichwa kimoja Cha treni kinachoweza vuta behewa hata 80 zikiwa na mizigo . Nenda Dunia yoyote ukileta treni ya hivyo najitoa hapa.Engine mbili mbele zikivuta na mbili nyuma zikisukuma sio? Leta ikiwa na engine moja na mabehewa 100!
Umesema vizuri, hoja yako kuu ilikuwa kwamba MGR inaweza kuongeza injini. Tayari tumekubaliana kwamba inawezekana kinadharia, lakini utekelezaji wake una mipaka kulingana na miundombinu iliyopo (loops, braking, signaling, curvature nk).Point yangu ilikua hapo tu kwenye kuongeza injini basi.
Ila pia tukija kwa mizigo bado hatuna uhakika wa mizigo Kila siku.
Sidhani kama kutakua Kuna idadi ya mizigo unayoitaja Kila siku.
Upande wa abiria Tanzania Ina wasafiri wengi tu kama watazingatiwa.
Running cost kwenye treni za abiria ukitoa maintenance ya locomotive ni coach attendants na vyakula,sgr ni mwendokasi haihitaji vyakula vizito pia vyakula vyenyewe hivyo hivyo vinauzwa na kuongeza kipato.
Coach attendants wapunguzwe maana ni wengi ndani ya behewa Moja.
Sijaona running cost kubwa kwa sgr pax trains.
Unaposema nadharia inamaana ni imaginary na haiwezi tokea,sema kuwa haiwezekani kulingana na miundombinu iliyokuwepo.Umesema vizuri, hoja yako kuu ilikuwa kwamba MGR inaweza kuongeza injini. Tayari tumekubaliana kwamba inawezekana kinadharia, lakini utekelezaji wake una mipaka kulingana na miundombinu iliyopo (loops, braking, signaling, curvature nk).
"Hatuna uhakika wa mizigo kila siku" – Je ni kweli?
Bandari ya Dar es Salaam, Hub ya mizigo kutoka nchi 6 zisizo na bandari (DRC, Zambia, Rwanda, Burundi, Uganda, Malawi) kuna maelfu ya kontena kila wiki.
Viwanda vya ndani na vya mikoa vinahitaji kusafirisha mizigo mingi (Mfano: Dangote – Mtwara, Mbeya Cement, makaa ya Ruvuma n.k.).
Sio kweli kwamba hatuna uhakika wa mizigo kila siku