ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,426
- 88,514
Mapato ya regions kwa Tanania hayahusishi taxes what municipals and councils collect ni tozo tuu mostly za busiess licence and other services.Utofauti unaonekana hata kwenye mapato yanayotokana na counties ( osr)
Ambayo administration yake ni kama mikoa kwa Tanzania.
Kati counties 47 ,17 ndo zinauwezo wa kukusanya zaid ya ksh 1bil sawa na 20bil tzs huku county 30 makusanyo yake ni chini ya 1 bil , huku the lowest tana river ikiwa na makusanyo ya 92mil sawa na tzs 1.92bil tzs
Yaan county nzima ya tana river Iko katika kundi Moja na bubigwe DC ambayo ndo halmashauri au wilaya yenye makusanyo kidogo nchi nzima.
Inavyoonesha hawa wako busy kupiga porojo badala ya KAZI
Revenue Collection per County in Kenya
Financial Year 2023/2024
During the reporting period, County governments generated a total of KES 58.95 billion from their own source revenue (OSR), which was 72.8 per cent of the annual target of KES 80.94 billion.
The realized OSR is an improvement compared to KES 37.81 billion generated in financial year 2022/23.
County Revenue Target Actual Revenue Percentage (%) Baringo 450,097,396 378,201,635 84 Bomet 332,041,830 238,930,420 72 Bungoma 2,010,419,736 1,120,909,349 55.8 Busia 649,015,633 369,203,975 56.9 Elgeyo Marakwet 271,306,633 258,505,138 95.3 Embu 750,000,000 746,494,074 99.5 Garissa 230,000,000 248,969,049 108.2 Homa Bay 1,392,206,352 1,200,495,831 86.2 Isiolo 356,208,180 285,197,344 80.1 Kajiado 1,868,466,985 1,048,356,435 56.1 Kakamega 2,200,000,000 1,347,833,279 61.3 Kericho 1,066,426,600 841,927,978 78.9 Kiambu 6,995,366,235 4,575,831,607 65.4 Kilifi 1,788,634,222 1,208,619,997 67.6 Kirinyaga 550,000,000 651,105,565 118.4 Kisii 1,843,892,198 1,180,162,037 64 Kisumu 2,282,844,694 1,443,607,988 63.2 Kitui 585,000,000 517,049,816 88.4 Kwale 600,000,000 427,377,928 71.2 Laikipia 1,445,000,000 1,061,020,098 73.4 Lamu 180,000,000 209,102,758 116.2 Machakos 3,332,286,060 1,549,348,477 46.5 Makueni 1,240,000,000 1,044,674,948 84.2 Mandera 330,533,846 168,047,287 50.8 Marsabit 190,000,000 145,092,550 76.4 Meru 1,050,000,000 961,934,279 91.6 Migori 625,474,299 512,566,310 81.9 Mombasa 7,377,933,227 5,585,024,010 75.7 Murang'a 1,115,000,000 1,116,795,730 100.2 Nairobi City 19,689,630,278 12,542,094,418 63.7 Nakuru 4,100,000,000 3,321,300,479 81 Nandi 558,329,869 630,727,156 113 Narok 4,979,073,664 4,753,670,486 95.5 Nyamira 687,000,000 369,796,343 53.8 Nyandarua 1,225,000,000 515,740,772 42.1 Nyeri 1,326,000,000 1,407,546,107 106.1 Samburu 256,027,400 266,583,924 104.1 Siaya 760,000,000 610,737,745 80.4 Taita Taveta 628,667,445 461,186,652 73.4 Tana River 96,630,600 92,568,520 95.8 Tharaka Nithi 450,670,000 417,346,035 92.6 Trans Nzoia 643,700,000 476,638,172 74 Turkana 220,000,000 530,645,056 241.2 Uasin Gishu 1,578,147,614 1,421,327,951 90.1 Vihiga 248,083,481 338,057,178 136.3 Wajir 150,000,000 164,953,671 110 West Pokot 230,000,000 185,294,701 80.6 Total 80,935,114,477 58,948,601,257 72.8
Nilikuwa Nairobi juzi kati hapa. Nami nikisema nifanye kama NairobiWalker miende downtown yao Nipige picha mitaa mibovu. Mbona watakimbia huku.Inawamaga hii. 🤣🤣🤣 hadi picha za kisutu wanasema ni posta. 🤣🤣 na hiyo kisutu enyewe it’s even better than this.
Wewe unataka vitu kwa opinion zako, nikikupa facts unaita ujinga alafu unajiona mwerevu?Nimesema tukiendelea Kubisha kuhusu Population nakuacha na ujinga wako.
hao watumishi wa serikali kwenye halmashauri wanatakiwa wote wawe under performance contract sio kusubiri mshahara tuu mwisho wa mwezi.Pale wawekewe target tu.hii ya sasa hivi forgery nyingi sana , mtu anajaza tu ajuavyo.
Ile inatakiwa letsay afisa mapato wilaya target makusanyo letsay bil 12. Basi wasimamie hapohapo ila hii ya sasa hivi ya pepmis hasa kwa watu kama takukuru SI tutafunga watu wengi kwa kesi za kibambikiziana.
Kwa hivo Kisutu ni mtaa mbovu wa Dar? Wacha mchezo kijana. Huu mji weny, nimeonyesha sehemu za CBD na Kariokoo sijaingia Uswazi alafu unasema nimefocus kwa mitaa mibovu? Kuna sehemu nyingi mbovu Dar zenye sikushughulika nazo hata kidogo. Wewe kwa video yako ya Nairobi CBD Mwanzo ulionyesha downtown areas ambazo hata sio part of CBD Sasa nashangaa ninkusitiri Gani unaongelea.Nilikuwa Nairobi juzi kati hapa. Nami nikisema nifanye kama NairobiWalker miende downtown yao Nipige picha mitaa mibovu. Mbona watakimbia huku.
Nairobi ya sasa ni Kijiji Fulani hiv.
Kuna ile bus terminal yao ukitokea cabanas ni aibu, machokoraa kila Kona, mikojo na vinyesi. Basi tu ninawasitiri tu hapa
Maskini akipata matako hulia mbwata 😁Huwa hamna picha tofauti na hii ya Nairobi Expressway?
Kumbe hii mkebe ilikwama tena jana na hawa wachawi wamenyamaza tu😂😂
View: https://x.com/KenyanSays/status/1927790632078123245
Kuna siku niliona maoni yao kuhusu Uwanja aa Arusha wanasema, mbona unajengwa porini.Mzee umekuja siku mbili Dar ushasema Dar doesn't have more people than Nairobi?
I advise you to comeback and explore dar. If you want to see population BRT bus ichelewe hata 15minutes pale gerezani au fire uone nyomi lake, panda treni za mwakyembe, za TAZARA, Daladala zile kubwa tata, ferry nk
There is no city in Eastern Africa that has population like Dar. Tukiendelea kubisha hapa nitakuacha na ujinga wako.
The issue is. Infrastructures za dar zimesaidia kuserve population ya Dar. Lakin pia It was a nice move kushift capital Dodoma.
Hio point yako ya CBD sio kitu cha kujivunia. Ni kuwa Nairobi imefail kwenye accomodation ya Nairobians vs infrastructure. Mlijenga mji wenu kwa sifa sio kwa needs. Na Bado mnazidi kufanya makosa kwa stadiums, na everything kuwa Nairobi.
Hadi hivyo mnavyoita sijui Districts viko within 5km from CBD yenu. Upper hill, Westlands, Eastlands, Kilimani, nk
Kwa hiyo huo mji wenu umebana sana. Ndo maana mbona uko busy.
Dar ina zones zake ambazo ziko busy example kariakoo, tandika, mbagala, mbezi Luis, kimara, nk.
Basi tu watz sio mouthy. Lakini Dar ina bypasses na Barabara nyingi kuliko Nairobi. So no need to pass through City center.
Video ulikosa?CBD ya Dar ni hapa kwisha, ama Kuna sehemu nyingine ya hiki kiwango ama zaidi? najua hamna!!
View attachment 3350335
Ukubwa wa Dar ni idadi ya watu na uswazi, 80% ya jiji., huku ndio population imetulia👇🤣
View attachment 3350334
Nani kataja X kijana wa Tandale? Mbona unaweweseka? Is it not true your parliament deleted MPs' information from Parliament Portal?Tovuti za bunge kumbe zipo X sikuhizi.? 🤣🤣🤣 mbona wewe ni kilaza sana.?
Wewe Wacha kudanganya watu peupe. Kwamba kutoka hapa mahali picha imepigwa hadi kule TPA ni kilometer moja?🤣🤣 Unatuona sisi mafala?You are always creating your own happiness
Na sisi tunawaignore tu.
Nimeangalia video yako ya YouTube, Kuna comments mbili tu na zote wanakukataa kuwa sio CBD. Lakin ubishi ubishi na sura yako inaonyesha ni mbishi na arrogant.
Mitaa uliyopost hapa ni kata ya kisutu. Na Mimi ninavyojua kata ya kisutu ni maarufu kwa kuwa makazi ya wahindi na unajua wahindi wanavyoishi. Wanaishi juu na floor za chini ni shops. Kutoka hapo hadi posta Kuna kama 1km. Wew na demu wako mlitembea mkachoka hamkufika Posta.
History ya ilo eneo toka zamani lilikuwa la wahindi ambao wamesambaa mpaka upanga, posta ilikuwa ofisi na wajerumani na Kariakoo ilikuwa ya watu weusi.
Next time ukirudi Dar, kwa YouTube yako. Cover these streets ukianza na Azikiwe na Maktaba hata kama ziko under construction. Then zunguka posta yote hadi ocean. Ndo utumie title yako ya Dar es Salaam CBD
Huku zamani lilikuwa Kunajaa vipanya na vihiace na Daladala kama Nairobi. Lakin sasa ni BRT bus tu zitaingia Dar CBD. Something you have failed terrible in Nairobi.
Tuktuks za kivukoni ni suala la muda nazo zitaondolewa
Enjoy Azikiwe na Maktaba streets
View attachment 3350213View attachment 3350215View attachment 3350218View attachment 3350222View attachment 3350226