Kwa hivo wewe umekaa Nairobi miaka mingapi ndio useme Dar Ina watu wengi kuliko Nairobi?
Statement yangu haiko based kwa ziara yangu ya Dar. Iko based on statistics ambayo nimekuwa nikiwaambia Kila siku humu. Population ya Nairobi metro built up area ni kama hivi as per 2019 census.
1. Nairobi County - 4,828,000
2. Ruiru - 490,120
3. Kikuyu - 328,881
4. Thika - 251,407
5. Mavoko - 258, 498
6. Karuri - 194,342
7. Juja - 156,041
8. Kitengela - 154,643
9. Kiambu - 155,896
10. Kiserian - 76,903
11. Ngong - 279,757
Total = 7,174,488
Population growth rate of Kenya = 2%
2025 estimate P =p(1.02)^6
= 7,174,488 x 1.126
= 8,079,838
Sasa niambie kama Dar metro imepita hapo?
Halafu kwa zile video zako niliona pia ulitembea hiyo CBD, Westlands, Upperhill na Kilimani alafu hizo ndio ulitumia kusema Nairobi Kila kitu Kiko place Moja. Hivi umefika Syokimau ukaona ni km ngapi from CBD? Umefika Kenyatta university? Umefika Kitengela?
Alafu uache unafiki. Ukiona watu wengi Nairobi unasema poor planning, ukiona wengi Dar, unasema big city. Hivo ndivo ulivyosema kwa video yako pia.