Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona watilie mkazo zaidi kwenye ule sijui PEPMS... Na hatua zichukuliwe. Waziri anasema watumishi wana under perform wakati mfumo wa kuwafatilia upo.
Pale wawekewe target tu.hii ya sasa hivi forgery nyingi sana , mtu anajaza tu ajuavyo.
Ile inatakiwa letsay afisa mapato wilaya target makusanyo letsay bil 12. Basi wasimamie hapohapo ila hii ya sasa hivi ya pepmis hasa kwa watu kama takukuru SI tutafunga watu wengi kwa kesi za kibambikiziana.
 
Naona watilie mkazo zaidi kwenye ule sijui PEPMS... Na hatua zichukuliwe. Waziri anasema watumishi wana under perform wakati mfumo wa kuwafatilia upo.
Waziri hasemi kweli.

Serikali ina staff haitoshi.

Waliopo wanatakiwa kufanya kazi zote, huwezi kusema wana-underperform.

Kazi za serikali huko chini lina kujitolea sana
 
Drone Show in Kenya.
In Tanzania 2050
20250529_125506.jpg
20250529_125510.jpg

20250529_125516.jpg
20250529_125528.jpg
 
Pale wawekewe target tu.hii ya sasa hivi forgery nyingi sana , mtu anajaza tu ajuavyo.
Ile inatakiwa letsay afisa mapato wilaya target makusanyo letsay bil 12. Basi wasimamie hapohapo ila hii ya sasa hivi ya pepmis hasa kwa watu kama takukuru SI tutafunga watu wengi kwa kesi za kibambikiziana.
Target nyingi za serikali ni makisio tu.

Mfano, mambo ya mapato yanatokana na sheria za bunge au baraza la madiwani.

Na sheria nyingine wanazotunga, field hazitekelezeki, mfano sheria ya kodi za mabango.

Hapo huwezi kumlaumu mtu wa field kwa utekelezaji.

Lakini pia wafanyakazi wengi wa serikali, ukiacha mishahara yao, hawawezeshwi kufanya kazi.

Mfano: Zahanati ina daktari wawili, ina wagonjwa kibao. Huwezi kutegemea mtu hiyo huyo akeshe hapo siku 2, bila motisha yoyote.

Na mostly mtu huyo hiyo serikali haina nyumba amepanga, anadaiwa kodi ya nyumba, baada y kumtoa kwao Kigoma ukampa kazi Kilimanjaro.
 
Target myingi za serikali ni makisio tu.

Mfanp, mambo ya mapato yanatokana na sheria za bunge au baraza la madiwani.

Na sheria nyingine wanazotunga, field hazitekelezeki, mfano sheria ya kodi za mabango.

Hapo huwezi kumlaumu mtu wa field kwa utekelezaji.

Lakini pia wafanyakazi wengi wa wa serikali, ukiacha mishahara yao, hawawezeshwi kufanya kazi.

Mfano: Zahanati ina daktari wawili, watu wagonjwa kibao. Huwezi kutegemea mtu hiyo huyo aleshe hapo siku 2, bila motisha yoyote.

Na mostly mtu huyo hiyo serikali haina nyumba amepanga, anadaiwa kodi ya nyimba, baada y kumtoa kwao Kigoma ukampa kazi Kilimanjaro.
Bado inawezekana ukimpa target lazima hata mkuu wake atapewa target kwa hiyo uwezeshwaji utapatina.
KInachotoekea sasa hivi mabosi hawabanwi na malengo, kwa hiyo hata wanabaki wanafikiria kuchuma badala ya kuwa creative.
Chukulia mfano tu inakuwaje hospitali za serikali pamoja na kuwa na wateja wengi ila zinaendeshwa kwa hasara?
Ili ziweze fanya KAZI Ondo ruzuku wabane kwenye mapato ma moi, mapato lazima yatapatikana maana itabidi watafute hata watu wa kujitolea ili walau kukuza kipato.
Hospitali zote kama za rufaa zilitakiwa ziendeshwe kwa mfumo wa kama halmashauri ila minus madiwani .
 
Target myingi za serikali ni makisio tu.

Mfanp, mambo ya mapato yanatokana na sheria za bunge au baraza la madiwani.

Na sheria nyingine wanazotunga, field hazitekelezeki, mfano sheria ya kodi za mabango.

Hapo huwezi kumlaumu mtu wa field kwa utekelezaji.

Lakini pia wafanyakazi wengi wa wa serikali, ukiacha mishahara yao, hawawezeshwi kufanya kazi.

Mfano: Zahanati ina daktari wawili, watu wagonjwa kibao. Huwezi kutegemea mtu hiyo huyo aleshe hapo siku 2, bila motisha yoyote.

Na mostly mtu huyo hiyo serikali haina nyumba amepanga, anadaiwa kodi ya nyimba, baada y kumtoa kwao Kigoma ukampa kazi Kilimanjaro.
Kodi ya mabango inawezekana na ni rahisi tu wala haihitaji manpower kubwa sana kivile.
Maana mkishafanya sensa ya mabango inabaki ni kusukuma control number kwa wahusika na kuondoa kwa wale wasumbufu tu.
Labda Kodi ya majengo ndo mtihani Ile ingebaki kwenye umeme tu
 
Kodi ya mabango inawezekana na ni rahisi tu wala haihitaji manpower kubwa sana kivile.
Maana mkishafanya sensa ya mabango inabaki ni kusukuma control number kwa wahusika na kuondoa kwa wale wasumbufu tu.
Labda Kodi ya majengo ndo mtihani Ile ingebaki kwenye umeme tu
Changamoto ni uwepo wa kodi na regulatory fees nyingi zinazo-target mtu mmoja.

Issue unaweza kutoa hizo control namba na watu wakafunga biashara, ukabaki unadaiwa wewe, maana zitaonekana kwa CAG.

Pili, wabongo wataondoa tu hayo mabango kuliko kulipia.
 
Bado inawezekana ukimpa target lazima hata mkuu wake atapewa target kwa hiyo uwezeshwaji utapatina.
Siku ukifika field kwenye hizi kazi ndio utajua shughuli zake.
KInachotoekea sasa hivi mabosi hawabanwi na malengo, kwa hiyo hata wanabaki wanafikiria kuchuma badala ya kuwa creative.
Ukimbana boss anafanya nini?

Maana hafiki huko field
Chukulia mfano tu inakuwaje hospitali za serikali pamoja na kuwa na wateja wengi ila zinaendeshwa kwa hasara?
Kwa mujibu wa sera ya afya ya 2007.

  • Wajawazito (Bure)
  • Watoto chini ya miaka 5 (Bure)
  • Chanjo (Bure)
  • Wazee zaidi ya miaka 60 (bure)

Na hao ndio wengi wanaoenda huko Hospitali.

Hizo pesa unategemea ni nani atalipa??
Ili ziweze fanya KAZI Ondo ruzuku wabane kwenye mapato ma moi, mapato lazima yatapatikana maana itabidi watafute hata watu wa kujitolea ili walau kukuza kipato.
Uondoe ruzuku gani??
Hospitali zote kama za rufaa zilitakiwa ziendeshwe kwa mfumo wa kama halmashauri ila minus madiwani .
Hata sasa hospitali zote na zahanati ziko kwa mfumo huo.
 
Changamoto ni uwepo wa kodi na regulatory fees nyingi zinazo-target mtu mmoja.

Issue unaweza kutoa hizo control namba na watu wakafunga biashara, ukabaki unadaiwa wewe, maana zitaonekana kwa CAG.

Pili, wabongo wataondoa tu hayo mabango kuliko kulipia.
LAkin Lile ni tangazo la biashara ni sawa na kupeleka tangazo lako redion ambapo utalipie kwa siku au mwezi kwa gharama kubwa .
Kwa bei ya 10,000 kwa sq/ft mbona sip gharama sana zaid ya kwa redio.
MAkampuni mengi yanalipa na Ni chanzo kikubwa cha mapato.
Mfano Kuna sehemu niliona Airtel kalipia almost 8mil kwa kihalmashauri ambacho hata hakina mabango mengi na bado walikuwa wanaona wamepigwa
 
LAkin Lile ni tangazo la biashara ni sawa na kupeleka tangazo lako redion ambapo utalipie kwa siku au mwezi kwa gharama kubwa .
Kwa bei ya 10,000 kwa sq/ft mbona sip gharama sana zaid ya kwa redio.
MAkampuni mengi yanalipa na Ni chanzo kikubwa cha mapato.
Mfano Kuna sehemu niliona Airtel kalipia almost 8mil kwa kihalmashauri ambacho hata hakina mabango mengi na bado walikuwa wanaona wamepigwa
Ni biashara ngapi zinatangaza huko redioni au kwenye TV?

Mabango yenyewe ya Manispaa huko barabarani huwa yako TUPU.

Nakumbuka mpaka Azam wamewahi kubandua matangazo kwenye magari yao, unafikiri hawawezi kulipia?
 
Nimefanya KAZI hii sana nikiwa kama afisa mapato Tena kwa sehemu ambayo sikufikiria kabisa kama ningeweza fanikiwa ila nilipata bos mwelewa alikuwa ananiwezesha mpaka pesa ya watu wakunifanyia KAZI badala ya kutumia watendaji wa vijiji
Siku ukowa field kwenye hizi kazi ndio utajua shighuli zake.

Ukimbana boss anafanya nini?
Ukimbana letsay bos kama mkurugenzi kuwa kipimo chake ni mapato na ukawapa target lazima watajenga ukaribu na watu wamapato , hivyo lazima uwezeshwaji upo.
Mfano tu mtu kama mchengerwa Kuna siku unashangaa simu hiyo anaulizia kwanini hela ya pos haijapelekwa benki.
Pitia halmashauri yoyote uijuayo uone watu wanavyoziogopa hela za pos sasa hivi na hata mapato yalivyoongezeka.

Maana hafiki huko field

Kwa mujibu wa sera ya afya ya 2007.

  • Wajawazito (Bure)
  • Watoto chini ya miaka 5 (Bure)
  • Chanjo (Bure)
  • Wazee zaidi ya miaka 60 (bure)
Ni Bure sawa lakini Huwa kuna record zake, sasa hivi watu wengi wenye hela wanakimbilia private wakati walipaswa wavutiwe na huduma nzuri kwa hospitali za serikali. Ukienda sehem kama dodoma rufaa na benjamini mkapa hospital, idadi ya wagonjwa wanaofuata huduma benjamini ni kubwa sana wakati dodoma rufaa inanafasi ya kujitanua na kuwabeba hao wagonjwa
Na hao ndio wengi wanaoemda huko Hospitali.

Hizo pesa unategemea ni nani atalipa??

Uondoe ruzuku gani??
Zahanati ziko kwa mfumo huo lakini laiti tukizipa nafasi watu waziendeshe kwa ufanisi kuliko sasa hivi, Zina nafasi ya kuingiza kipato kikubwa sana.
Zahanati nyingi hasa za vijijini bado zinatumia vibuntu kukusanyia mapato , unafikiri tutapata hela hapo
Hata sasa hospitali zote na zahanati ziko kwa mfumo huo.
 
Back
Top Bottom