AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,113
- 2,965
Halafu wakiwa wanaanzisha hii mifumo Huwa ni lazima ni kama walipokuwa wanaintroduce mfumo wa manunuzi ilikuwa ni balaa
Naona watilie mkazo zaidi kwenye ule sijui PEPMS... Na hatua zichukuliwe. Waziri anasema watumishi wana under perform wakati mfumo wa kuwafatilia upo.