Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni biashara ngapi zinatangaza huko redioni au kwenye TV?

Mabango yenyewe ya Manispaa huwa yako TUPU.

Nakumbuka mpaka Azam wamewahi kubandua matangazo kwenye magari yao, unafikiri hawawezi kulipia?
Ni Bora walipie wachache kuliko kuacha uhuru wa manyani , itakuwa ni vurugu labda gharama ipunguzwe
 
Changamoto ni uwepo wa kodi na regulatory fees nyingi zinazo-target mtu mmoja.

Issue unaweza kutoa hizo control namba na watu wakafunga biashara, ukabaki unadaiwa wewe, maana zitaonekana kwa CAG.

Pili, wabongo wataondoa tu hayo mabango kuliko kulipia.
Nadhani regulation tukizisimamia vyema zinaweza kuwa manufaa kwetu kuliko hasara
 
Ni Bora walipie wachache kuliko kuacha uhuru wa manyani , itakuwa ni vurugu labda gharama ipunguzwe
Sijajua unaposema uhuru wa manyani unamaanisha nini?

Maana kodi ndio DAMU ya serikali.

Na ili mfanyabiashara alipe kodi, ni lazima na apate wateja, na ili apate wateja anatakiwa ajitangaze.

Sasa ukibana kila anapojitangaza maana yake gharama za kufanya biashara zinakuwa kubwa.

Hiyo biashara haitapiga hatua hata siku moja.

Au watu wataanza kufanya biashara za BLACK MARKET.

Hata kidogo ambacho serikali ingeweza kupata HAIPATI.
 
Changamoto ni uwepo wa kodi na regulatory fees nyingi zinazo-target mtu mmoja.

Issue unaweza kutoa hizo control namba na watu wakafunga biashara, ukabaki unadaiwa wewe, maana zitaonekana kwa CAG.

Pili, wabongo wataondoa tu hayo mabango kuliko kulipia.
Sometimes regulation zinasaidia , vitu unavyooana haviwezekani Leo bado vinawezekana.
tukiweka Sheria za targets ndo kiwe kipimo cha ufanyakazi wako na kukawa Kuna kipercent inaambulia lazima mabadiliko yataonekna.
Tumetoka mbali sana ambapo watu walikuwa na uwezo wa kupokea hela ya barabara wakapita nayo nzima bila hata kuacha senti
 
Nimefanya KAZI hii sana nikiwa kama afisa mapato Tena kwa sehemu ambayo sikufikiria kabisa kama ningeweza fanikiwa ila nilipata bos mwelewa alikuwa ananiwezesha mpaka pesa ya watu wakunifanyia KAZI badala ya kutumia watendaji wa vijiji
Maana yake wewe ulikuwa unafanya kazi field mbali, na unatumia nguvu.

Watendaji wa vijiji lazima wawe diplomatic kwasababu wanaishi na hao watu.
Ukimbana letsay bos kama mkurugenzi kuwa kipimo chake ni mapato na ukawapa target lazima watajenga ukaribu na watu wamapato , hivyo lazima uwezeshwaji upo.
Ofisi za mapato field wilayani. Ina lazima ofisi hizo zipewe posho, gari na mafuta kwasababu zinaenda field.

Ila nakupa mfano.
Una biashara ya Nyama au Vipodozi👇

Halmashauri inataka:
  • Leseni
  • Service levy
  • Ushuru wa taka
  • Ushuru wa bango.
  • Kama unanunua mnyama unatembeza unapaswa kulipa kibali cha movement
  • Ushuru wa machinjio

FIRE
- Wanataka fees ya ukaguzi na ununue fire equipments

TBS
  • Wanataka usajili wa premises kwa 50,000 -100,000 kwa mwaka.
  • Bodi ya nyama wanataka fees kwa mwaka

Hapa, kila taasisi inakuja kwa wakati wake, bila kujali jana kuna taasisi nyingine ilipita kwako.

Bado baba lao TRA.

Biashara haitaweza kukua hata siku moja. Na possibility ya kufa kama huho mtu analipa kila kitu ni rahisi sana.
Mfano tu mtu kama mchengerwa Kuna siku unashangaa simu hiyo anaulizia kwanini ya posi haijapelekwa benki.
Pitia halmashauri yoyote uijuayo uone watu wanavyoziogopa hela za pos sasa hivi na hata mapato yalivyoongezeka.
Huwezi kula pesa za POS lazima zipote kwenye MFUMO.
Ni Bure sawa lakini Huwa kuna record zake, sasa hivi watu wengi wenye hela wanakimbilia private wakati walipaswa wavutiwe na huduma nzuri kwa hospitali za serikali.
Huduma nzuri zinatokana na uwekezaji.

Huduma afya za serikali hazisaidii Vituo kununua vifaa bora vingi, mpaka vipelekwe na serikali kuu.

Na pia huko private, watu wanaenda kulipa ila wakikosa pesa ndio wanaenda serikalini.
Ukienda sehem kama dodoma rufaa na benjamini mkapa hospital, idadi ya wagonjwa wanaofuata huduma benjamini ni kubwa sana wakati dodoma rufaa inanafasi ya kujitanua na kuwabeba hao wagonjwa
Hilo ni sawa.

Na kwakuwa Wizara ya afya ndio msimamizi, wanaweza kuboresha.

Ingawa Benjamin Mkapa inasimamiwa na Mkapa Foundation.
Zahanati ziko kwa mfumo huo lakini laiti tukizipa nafasi watu waziendeshe kwa ufanisi kuliko sasa hivi, Zina nafasi ya kuingiza kipato kikubwa sana.
Zahanati nyingi hasa za vijijini bado zinatumia vibuntu kukusanyia mapato , unafikiri tutapata hela hapo
Shida siyo kuziendesha.

Shida ni HUDUMA za bure.

Hata ukimpa mtu mwingine, bila mapato hawezi kufanya maajabu.
 
Sijajua unaposema uhuru wa manyani unamaanisha nini?
Uhuru wa manyani ni kuwa ,ukiondoa ushuru wa mabango kesho Kila mtu atataka kuweka bango mwisho wa siku itakuwa ni takataka na mapato hayatapatikan kama ilivyokusudiwa
Maana kodi ndio DAMU ya serikali.
Ushuru wa mabango ni ngazi serikali za mitaa, kumbuka ukiondoa Kodi za tra , halmashauri inapata service levy na leseni ya biashara tuu.
Leseni ni mara moja kwa mwaka
Service levy ni 0.3% ya mauzo .
Na kiuhalisia ni wachache sana wanaolipia hii Kodi ,
Kumbuka halmashauri ndo Kila kitu kwa ngazi ya wilaya. Na kiukweli halmashauri nyingi nje ya zile za mijini hazipati mapato kwenye biashara sanasana mazao. Hakuna effect yoyote kwenye ushukaji wa kipato bali ili tuongeze ni kupunguza gharama au kuwe na bei fixed kwa mwaka
Na ili mfanyabiashara alipe kodi, ni lazima na apate wateja, na ili apate wateja anatakiwa ajitangaze.
Anaweza akatumia hata mdomo kujitangaza , mabango mengine yanaweza kuwa kero kwa watu kwahiyo hapo anakuwa amelipia na gharama ya kero kwa majirani
Sasa ukibana kila anapojitangaza maana yake gharama za kufanya biashara zinakuwa kubwa.

Hiyo biashara haitapiga hatua hata siku moja.

Au watu wataanza kufanya biashara za BLACK MARKET.
Hatapata wateja kama pale atakapokuwa ameweka bango.
Mfano wewe unalodge yako usipoweka bango nani atajua tunauza vyumba , solution ni kuwepo na bei fixed kwenye mabango au ipunguzwe atleast 2000 kwa sq/ft
Hata kidogo ambacho serikali ingeweza kupata HAIPATI.
 
Uhuru wa manyani ni kuwa ,ukiondoa ushuru wa mabango kesho Kila mtu atataka kuweka bango mwisho wa siku itakuwa ni takataka na mapato hayatapatikan kama ilivyokusudiwa
Lazima lengo liwe wazi.

Serikali inataka biashara, ili hizo biashara zilipe mapato.

Sasa mtu akifunga hiyo biashara serikali inanufaika nini?
Ushuru wa mabango ni ngazi serikali za mitaa, kumbuka ukiondoa Kodi za tra , halmashauri inapata service levy na leseni ya biashara tuu.
Leseni ni mara moja kwa mwaka
Service levy ni 0.3% ya mauzo .
Na kiuhalisia ni wachache sana wanaolipia hii Kodi ,
Kumbuka halmashauri ndo Kila kitu kwa ngazi ya wilaya. Na kiukweli halmashauri nyingi nje ya zile za mijini hazipati mapato kwenye biashara sanasana mazao. Hakuna effect yoyote kwenye ushukaji wa kipato bali ili tuongeze ni kupunguza gharama au kuwe na bei fixed kwa mwaka
👇👇
Anaweza akatumia hata mdomo kujitangaza , mabango mengine yanaweza kuwa kero kwa watu kwahiyo hapo anakuwa amelipia na gharama ya kero kwa majirani
Hiyo vita yote ya nini?

Mtu awe huru afanye biashara, na serikali ipate chake, maisha yaendelee.


Hatapata wateja kama pale atakapokuwa ameweka bango.
Asipopata wateja serikali inapata faida gani?
Mfano wewe unalodge yako usipoweka bango nani atajua tunauza vyumba , solution ni kuwepo na bei fixed kwenye mabango au ipunguzwe atleast 2000 kwa sq/ft
 
Maana yake wewe ulikuwa unafanya kazi field mbali, na unatumia nguvu.
Kwenye issue ya mapato ukitaka kufail tumia watendaji , hutafanya maajabu yoyote , ila ukiwa na mgambo wako au kibarua anayelipwa kwa commision
Watendaji wa vijiji lazima wawe diplomatic kwasababu wanaishi na hao watu.
Katika ofisi ambazo ni ngumu kupata mafuta na usafiri ni pamoja na mapato kwa taasisi zote, usione watu wako mtaani , niliwahi koma miaka hiyo nafanya hiyo KAZI, hela rahisi kuipata ni ya kukaa ofisini kuandika vocha
Ofisi za mapato field zipo. INa lazima ofisi hizo zilewe posho, gari na mafuta kwasababu zinaenda field.

Ila nakupa mfano.
Una biashara ya Nyama au Vipodozi👇
Mkuuu Kuna sehemu Kuna Kodi zaid ya hizo ebu tuchambue
Halmashauri inataka:
  • Leseni
Leseni 150,000

  • Service levy
Service levy halmashauri nyingi kwa maduka zimewekwa fixed amount ila ni 0.3% hii bado Iko chini sana hata vat ya tra kwa napojua wengi service levy wanalipa 20,000-200,000 kwa mwaka
  • Ushuru wa taka
Ushuru wa taka , mkuu ipi Bora kuja kukusanyiwa taka au uwe unazipelekwa jalalani mwenyewe , kumbuka ni marufuku kuchimba shimo la taka na miradi ya nyama inaongoza kuongeza uchafu mtaani
  • Ushuru wa bango.
Bango ni wewe tu ukiweka kubwa lenye mwanga lazima likutafune tumia leaflets 🤣🤣🤣🤣
Bango ukiamua hata 30,000 unalipa kwa mwaka
Mengine mkuu haya yanamsaaada mkubwa sana tu kwetu , mfano ukaguzi wa nyama, wakisema Kila mtu atafute mtaalamu wa nyama unadhani nani utamtoa ofisini kwa 20000
Chq maana labda ni kupunguza baadhi ya gharama ila kwenye issue ya chakula duniani kote sio mchezo .
Nenda tu hapo Beira omba kibali cha pharmacy uone shughuli yake
  • Kama unanunua mnyama unatembeza unapaswa kulipa kibali cha movement
  • Ushuru wa machinjio

FIRE
- Wanataka fees ya ukaguzi na ununue fire equipments

TBS
  • Wanataka usajili wa premises kwa 50,000 -100,000 kwa mwaka.
  • Bodi ya nyama wanataka fees kwa mwaka

Hapa, kila taasisi inakuja kwa wakati wake, bila kujali jana kuna taasisi nyingine ilipita kwako.

Bado baba lao TRA.

Biashara haitaweza kukua hata siku moja. Na possibility ya kufa kama huho mtu analipa kila kitu ni rahisi sana.

Huwezi kula pesa za POS lazima zipote kwenye MFUMO.

Huduma nzuri zinatokana na uwekezaji.

Huduma afya za serikali hazisaidii Vituo kununua vifaa bora vingi, mpaka vipelekwe na serikali kuu.

Na pia huko private, watu wanaenda kulipa ila wakikosa pesa ndio wanaenda serikalini.

Hilo ni sawa.

Na kwakuwa Wizara ya afya ndio msimamizi, wanaweza kuboresha.

Ingawa Benjamin Mkapa inasimamiwa na Mkapa Foundation.

Shida siyo kuziendesha.

Shida ni HUDUMA za bure.

Hata ukimpa mtu mwingine, bila mapato hawezi kufanya maajabu.
 
Kwenye issue ya mapato ukitaka kufail tumia watendaji , hutafanya maajabu yoyote , ila ukiwa na mgambo wako au kibarua anayelipwa kwa commision
Watendaji wana mambo mengi.
Katika ofisi ambazo ni ngumu kupata mafuta na usafiri ni pamoja na mapato kwa taasisi zote, usione watu wako mtaani , niliwahi koma miaka hiyo nafanya hiyo KAZI, hela rahisi kuipata ni ya kukaa ofisini kuandika vocha
Sasa kama Wakurugenzi hawatoi pesa za mafuta kwaajili ya watu wa mapato, wanawekeza kwenye nini?
Mkuuu Kuna sehemu Kuna Kodi zaid ya hizo ebu tuchambue
Wapi kuna kodi zaidi ya hizo?

Na lengo siyo kushindana khongeza kodi na tozo.

Lengo ni kuweka mazingira bora ya biashara ili kila mmoja apate, afurahie
Leseni 150,000


Service levy halmashauri nyingi kwa maduka zimewekwa fixed amount ila ni 0.3% hii bado Iko chini sana hata vat ya tra kwa napojua wengi service levy wanalipa 20,000-200,000 kwa mwaka
Sawa.
Ushuru wa taka , mkuu ipi Bora kuja kukusanyiwa taka au uwe unazipelekwa jalalani mwenyewe , kumbuka ni marufuku kuchimba shimo la taka na miradi ya nyama inaongoza kuongeza uchafu mtaani
Hapa nadhani unamaaisha Manispaa.

Halmashauri za wilaya ziko huko vijijini, na watu wana mashamba yao ya taka.

Na Halmashauri inakusanya pesa ya taka kama siurce ya mapato.

Ukisema machinjio, ni halmashauri ngapi zina machinjio?

Watu wanachinia kwao, na serikali bado inachukua ada ya machinjio.
Bango ni wewe tu ukiweka kubwa lenye mwanga lazima likutafune tumia leaflets 🤣🤣🤣🤣
Bango ukiamua hata 30,000 unalipa kwa mwaka
Mengine mkuu haya yanamsaaada mkubwa sana tu kwetu , mfano ukaguzi wa nyama, wakisema Kila mtu atafute mtaalamu wa nyama unadhani nani utamtoa ofisini kwa 20000
Chq maana labda ni kupunguza baadhi ya gharama ila kwenye issue ya chakula duniani kote sio mchezo .
Ndio maana ya KODI na SERIKALI.

Sasa kwanini watu wanalipa kodi na kwanini kuna serikali?

Kusaidia regulation na utaratibu mzuri wa kazi.
Nenda tu hapo Beira omba kibali cha pharmacy uone shughuli yake
Lengo siyo kushindana.

Lengo ni kuboresha mazingira ili kuvutia mitaji.

Hapa hapo Kenya siyo kazi ndogo.

TZ watu wana maduka ya rejareja ila wameweka pombe, dawa, hardware ila Kenya haiwezekani.

Huwezi kuweka mazingira ya biashara ambayo wahusika hawapati faida au wanaamka asubuhi hawajui itakuwaje?


=====

Ukimsikiliza hapa Balozi Mbelwa ndio utajua nazungumza nini.


View: https://x.com/Tanganyikan/status/1901850650289270993/video/1
 
Hii kampuni ya Kitanzania (Estim) ili sanifu vizuri hii barabara kwa kiwango cha kimataifa. Mfano ramps (viingilio vya barabara) zake zinampa dereva muda wa kupata mwendo kabla ya kuingia kwenye highway.

Ni tofauti na zile barabara za Kenya, ambapo ramp ni fupi, hivyo inaingia ghafla kwenye highway na kuweza sabsbisha ajali kutokea kirahisi.

NairobiWalker Teargas
If it was designed well,
Izo zebra crossings zimetapaka ni za kazi gani ndani ya highway?
Ingekuwa na a smooth traffic from mwanzo Hadi mwisho ndio ungekuja kubrag hapa.
That's a poor cheap highway.
 
Hii kampuni ya Kitanzania (Estim) ili sanifu vizuri hii barabara kwa kiwango cha kimataifa. Mfano ramps (viingilio vya barabara) zake zinampa dereva muda wa kupata mwendo kabla ya kuingia kwenye highway.

Ni tofauti na zile barabara za Kenya, ambapo ramp ni fupi, hivyo inaingia ghafla kwenye highway na kuweza sabsbisha ajali kutokea kirahisi.

NairobiWalker Teargas
Kwa hivo hizo ramps ni bora kuliko za Thika Road na Nairobi Expressway?
 
Kumbe Kunyaland ndio first time as always mpo matakoni

tanzania_fin2.00_00_36_10.still002.png
tanzania_fin2.00_00_43_09.still003.png
tanzania_fin2.00_01_08_10.still008.png
 
Hii kampuni ya Kitanzania (Estim) ili sanifu vizuri hii barabara kwa kiwango cha kimataifa. Mfano ramps (viingilio vya barabara) zake zinampa dereva muda wa kupata mwendo kabla ya kuingia kwenye highway.

Ni tofauti na zile barabara za Kenya, ambapo ramp ni fupi, hivyo inaingia ghafla kwenye highway na kuweza sabsbisha ajali kutokea kirahisi.

NairobiWalker Teargas
Hii barabara hata haina service lanes na uko hapa unaongelea ramps. Wewe una wazimu.
 
Hii kampuni ya Kitanzania (Estim) ili sanifu vizuri hii barabara kwa kiwango cha kimataifa. Mfano ramps (viingilio vya barabara) zake zinampa dereva muda wa kupata mwendo kabla ya kuingia kwenye highway.

Ni tofauti na zile barabara za Kenya, ambapo ramp ni fupi, hivyo inaingia ghafla kwenye highway na kuweza sabsbisha ajali kutokea kirahisi.

NairobiWalker Teargas
The only thing this Kibaka Road inashindia Thika Road, Expressway, Outering, Southern bypass, Northern Bypass and Eastern Bypass are the number of bumps and zebra crossings. Barabara enyewe hata haina lights.
 
Back
Top Bottom