Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GEPG ni balaa na unaambiwa watengenezaji ni sisi Watanzania wenyewe.
Nchi nyingi zinakuja kujifunza mnoo lakini hawaendi kufanyia kazi maana mfumo una uwazi kiasi kwamba ukipiga pesa lazima ijulikane.
Muse, tausi, salary portal zote hizi wabongo, yaan ma it waliotengeneza hizi walongwe walipo🤣🤣🤣🤣
 
Hizo video ulizopost zote ni za Wakenya wakiwajibu wabunge wa bongolala. That tells you something. Kubali wabunge wenu walichoma.

Anyway, that was not the point of the video I posted bongolala, I posted to show you how level minded Tanzanians feel about what your stupid parliamentarians did. But what do I expect from a bongolala like you?
Endeleeni kuifuatilia Tanzania.
Kwahiyo hawa walikuwa wanajibu wabunge?
Akili yako fupi kama hawa wa hii radio.

View: https://www.instagram.com/reel/DKM-8fmOL4I/?igsh=ZTlva3dpOHprYzJt
 
Muse, tausi, salary portal zote hizi wabongo, yaan ma it waliotengeneza hizi walongwe walipo🤣🤣🤣🤣
Kuna Hii E-mkutano kwa ajili ya online meeting ya taasisi za serikali wakati nchi zingine wanatumia zoom meeting, Teams.
 
Ila hapo sio bungeni. Nyinyi mnatufuatilia bungeni, social media, radio station, yaani kila mahali.
So after kupewa videos za wakunya wakiijadili Tanzania now unasema ila hapo sio bungeni.
Mbona mitandao yenu yote ni Tanzania tu, radio station zote ni Tanzania yaani kila mahali!
Ni wapi utakuta Watanzania wakifanya kitu kama hiki mitaani!

View: https://www.facebook.com/share/v/19KCd6DHGZ/?mibextid=wwXIfr


View: https://www.facebook.com/share/v/19Ax8SMaLR/?mibextid=wwXIfr
 
Kuna Hii E-mkutano kwa ajili ya online meeting ya taasisi za serikali wakati nchi zingine wanatumia zoom meeting, Teams.
Halafu wakiwa wanaanzisha hii mifumo Huwa ni lazima ni kama walipokuwa wanaintroduce mfumo wa manunuzi ilikuwa ni balaa
 
Plan ni kuwa mpaka 2030 tuondokane na paper work
Huu mfumo tayari umeshinda tuzo Africa.
 
New buildings coming up/ under construction at Upanga Dasilinga. Waterfront apartments
IMG_8006.jpeg
Richmond tower šŸ‘‡šŸ¾
IMG_8009.jpeg
new madina residency. 17 floors šŸ‘‡šŸ¾
IMG_8004.jpeg
new crystal tower šŸ‘‡šŸ¾
IMG_8008.jpeg
 
Kwa ground ni Watanzania wengi hawana muda wala kujua kinachoendelea kunyalan
Utofauti unaonekana hata kwenye mapato yanayotokana na counties ( osr)
Ambayo administration yake ni kama mikoa kwa Tanzania.
Kati counties 47 ,17 ndo zinauwezo wa kukusanya zaid ya ksh 1bil sawa na 20bil tzs huku county 30 makusanyo yake ni chini ya 1 bil , huku the lowest tana river ikiwa na makusanyo ya 92mil sawa na tzs 1.92bil tzs
Yaan county nzima ya tana river Iko katika kundi Moja na bubigwe DC ambayo ndo halmashauri au wilaya yenye makusanyo kidogo nchi nzima.
Inavyoonesha hawa wako busy kupiga porojo badala ya KAZI

Revenue Collection per County in Kenya​

Financial Year 2023/2024​

During the reporting period, County governments generated a total of KES 58.95 billion from their own source revenue (OSR), which was 72.8 per cent of the annual target of KES 80.94 billion.

The realized OSR is an improvement compared to KES 37.81 billion generated in financial year 2022/23.

CountyRevenue TargetActual RevenuePercentage (%)
Baringo450,097,396378,201,63584
Bomet332,041,830238,930,42072
Bungoma2,010,419,7361,120,909,34955.8
Busia649,015,633369,203,97556.9
Elgeyo Marakwet271,306,633258,505,13895.3
Embu750,000,000746,494,07499.5
Garissa230,000,000248,969,049108.2
Homa Bay1,392,206,3521,200,495,83186.2
Isiolo356,208,180285,197,34480.1
Kajiado1,868,466,9851,048,356,43556.1
Kakamega2,200,000,0001,347,833,27961.3
Kericho1,066,426,600841,927,97878.9
Kiambu6,995,366,2354,575,831,60765.4
Kilifi1,788,634,2221,208,619,99767.6
Kirinyaga550,000,000651,105,565118.4
Kisii1,843,892,1981,180,162,03764
Kisumu2,282,844,6941,443,607,98863.2
Kitui585,000,000517,049,81688.4
Kwale600,000,000427,377,92871.2
Laikipia1,445,000,0001,061,020,09873.4
Lamu180,000,000209,102,758116.2
Machakos3,332,286,0601,549,348,47746.5
Makueni1,240,000,0001,044,674,94884.2
Mandera330,533,846168,047,28750.8
Marsabit190,000,000145,092,55076.4
Meru1,050,000,000961,934,27991.6
Migori625,474,299512,566,31081.9
Mombasa7,377,933,2275,585,024,01075.7
Murang'a1,115,000,0001,116,795,730100.2
Nairobi City19,689,630,27812,542,094,41863.7
Nakuru4,100,000,0003,321,300,47981
Nandi558,329,869630,727,156113
Narok4,979,073,6644,753,670,48695.5
Nyamira687,000,000369,796,34353.8
Nyandarua1,225,000,000515,740,77242.1
Nyeri1,326,000,0001,407,546,107106.1
Samburu256,027,400266,583,924104.1
Siaya760,000,000610,737,74580.4
Taita Taveta628,667,445461,186,65273.4
Tana River96,630,60092,568,52095.8
Tharaka Nithi450,670,000417,346,03592.6
Trans Nzoia643,700,000476,638,17274
Turkana220,000,000530,645,056241.2
Uasin Gishu1,578,147,6141,421,327,95190.1
Vihiga248,083,481338,057,178136.3
Wajir150,000,000164,953,671110
West Pokot230,000,000185,294,70180.6
Total80,935,114,47758,948,601,25772.8
 
Back
Top Bottom