Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You are always creating your own happiness
Na sisi tunawaignore tu.

Nimeangalia video yako ya YouTube, Kuna comments mbili tu na zote wanakukataa kuwa sio CBD. Lakin ubishi ubishi na sura yako inaonyesha ni mbishi na arrogant.

Mitaa uliyopost hapa ni kata ya kisutu. Na Mimi ninavyojua kata ya kisutu ni maarufu kwa kuwa makazi ya wahindi na unajua wahindi wanavyoishi. Wanaishi juu na floor za chini ni shops. Kutoka hapo hadi posta Kuna kama 1km. Wew na demu wako mlitembea mkachoka hamkufika Posta.

History ya ilo eneo toka zamani lilikuwa la wahindi ambao wamesambaa mpaka upanga, posta ilikuwa ofisi na wajerumani na Kariakoo ilikuwa ya watu weusi.


Next time ukirudi Dar, kwa YouTube yako. Cover these streets ukianza na Azikiwe na Maktaba hata kama ziko under construction. Then zunguka posta yote hadi ocean. Ndo utumie title yako ya Dar es Salaam CBD
Huku zamani lilikuwa Kunajaa vipanya na vihiace na Daladala kama Nairobi. Lakin sasa ni BRT bus tu zitaingia Dar CBD. Something you have failed terrible in Nairobi.
Tuktuks za kivukoni ni suala la muda nazo zitaondolewa

Enjoy Azikiwe na Maktaba streets



View attachment 3350213View attachment 3350215View attachment 3350218View attachment 3350222View attachment 3350226
Wewe Wacha kudanganya watu peupe. Kwamba kutoka hapa mahali picha imepigwa hadi kule TPA ni kilometer moja?🤣🤣 Unatuona sisi mafala?
Untitled_1.1.1.jpg

Alafu wadau angalieni hizo sehemu nime circle in red (you can zoom in). Manguo kwenye balcony na hapo ni city center kabisa! TPA yao pendwa ndio ile palee inaonekana vizuri sana so it's clearly CBD. Yani this level of disorganization you can't find in Nairobi cbd hata utembee hadi wapi. A glorified fishing village kabisa this one is
Dofoto_20250530_082207364.jpg
 
Wewe Wacha kudanganya watu peupe. Kwamba kutoka hapa mahali picha imepigwa hadi kule TPA ni kilometer moja?🤣🤣 Unatuona sisi mafala?
View attachment 3350502
Alafu wadau angalieni hizo sehemu nime circle in red (you can zoom in). Manguo kwenye balcony na hapo ni city center kabisa! TPA yao pendwa ndio ile palee inaonekana vizuri sana so it's clearly CBD. Yani this level of disorganization you can't find in Nairobi cbd hata utembee hadi wapi. A glorified fishing village kabisa this one is
View attachment 3350503
So TPA ilipo ndo main City Center?
Muulize NairobiWalker alitembea umbali gani na demu wake kufika hiyo TPA tower.

Hata ukiwa Kariakoo ilo jengo unaliona because ni tall. But kariakoo hadi hapo ni more than 2km
 
Wewe Wacha kudanganya watu peupe. Kwamba kutoka hapa mahali picha imepigwa hadi kule TPA ni kilometer moja?🤣🤣 Unatuona sisi mafala?
View attachment 3350502
Alafu wadau angalieni hizo sehemu nime circle in red (you can zoom in). Manguo kwenye balcony na hapo ni city center kabisa! TPA yao pendwa ndio ile palee inaonekana vizuri sana so it's clearly CBD. Yani this level of disorganization you can't find in Nairobi cbd hata utembee hadi wapi. A glorified fishing village kabisa this one is
View attachment 3350503
Acha ubishi matako wewe.
Kutoka hapo hadi TPA ni 1km plus.
Parefu sana hapo pana hatua.
Na hayo ni makazi ya wahindi sio CBD kama unavyokusudia kusema.
Hiyo mitaa ya kisutu.
 
Tukiwaambia naislums is surrounding with slums uwa wanabisha,hii ni sehemu ndogo tu ya naislums ni full uswazi,binafsi ningekua mkunya huu uzi nisingetia neno ila hawa vichaa kwao uchafu kama huu kwao ni kawaida🤮
😍😍😍😍😍
 
Tukiwaambia naislums is surrounding with slums uwa wanabisha,hii ni sehemu ndogo tu ya naislums ni full uswazi,binafsi ningekua mkunya huu uzi nisingetia neno ila hawa vichaa kwao uchafu kama huu kwao ni kawaida🤮
Imagine, investing EVERYTHING in Nairobi, but Nairobi still looks like that.
 
Inabidi nikupeleke darasa la kiswahili wewe mbuzi. 🤣🤣🤣🤣

Hebu tueleze matumizi ya huna kuelezea negativity kwenye hiyo sentence uliyoandika . 🤣🤣🤣🤣

Wewe uliibiwa pesa darasa la kiswahili punda wewe. Enda uombe Ada uliyotoa.
No wonder you are a Primary School dropout, bure kabisa.
 
Hizo nyumba zako hazina shida yoyote. Ni rusting ya Iron sheets because of humidity ya Dar nothing else. Wakipiga Rangi hayo mabati hio sehemu iko poa tu.
Huwezi linganisha na slums za Nairobi let's Kawangware
Stop comparing Kawangware na hiyo jehanamu. Kawangware is a slum but just like most slums in Nairobi, more than half of houses there are apartment blocks. Yani nyumba ziko na choo na bafu ndani yet it's still considered a slum
images - 2025-05-30T111830.598.jpeg
images - 2025-05-30T111812.533.jpeg
images - 2025-05-30T111745.389.jpeg
images - 2025-05-30T111720.009.jpeg
images - 2025-05-30T111647.728.jpeg


Sasa linganisha hiyo Kawangware slum ni hizi hapa that dot your entire city
images - 2025-04-12T083800.116.jpeg
images - 2025-05-30T112945.424.jpeg
images - 2025-05-30T112924.744.jpeg
images - 2025-05-30T112909.213.jpeg
 
Stop comparing Kawangware na hiyo jehanamu. Kawangware is a slum but just like most slums in Nairobi, more than half of houses there are apartment blocks. Yani nyumba ziko na choo na bafu ndani yet it's still considered a slum
View attachment 3350637View attachment 3350638View attachment 3350639View attachment 3350640View attachment 3350642

Sasa linganisha hiyo Kawangware slum ni hizi hapa that dot your entire city View attachment 3350643View attachment 3350644View attachment 3350645View attachment 3350647
Inaonekana Somali wameshavamia huko Kawangare.

Waondoe basi hizo nyumba za Mabati.


View: https://youtu.be/JwQrOKSdXpU?si=JePtUYvR9h4Oe6ci
 
Heb ngoja kwanza. 🤣🤣🤣.. kuna yule fala mwenzako Alieomba picha za Dasilinga Akawa ana circle maeneo. Muite aje utueleze hii. 👇🏾View attachment 3349965
Aeleze nini? Hii unatuonyesha is just a small part of downtown Nairobi. The biggest and busiest commercial hub in East Africa. Hapo kunauzwa kila kitu na hakuna residential area kama Kariakoo.
 
Tukiwaambia naislums is surrounding with slums uwa wanabisha,hii ni sehemu ndogo tu ya naislums ni full uswazi,binafsi ningekua mkunya huu uzi nisingetia neno ila hawa vichaa kwao uchafu kama huu kwao ni kawaida🤮
That is Kibera bongolala, an area measuring just 2.5 sqauare kilometers and the biggest slum in Nairobi. Nairobi is more than 1,500 square kilometers. Yani ukitoka tu hapo Kibera hivi, next step unaingia Lang'ata
images - 2025-05-28T205634.119.jpeg
images - 2025-05-28T210136.514.jpeg
images - 2025-05-28T210116.032.jpeg
images - 2025-05-28T195741.670.jpeg
images - 2025-05-28T195509.396.jpeg
images - 2025-05-28T200339.586.jpeg
images - 2025-05-28T205539.980.jpeg


Now tell me, ukitoka Tandale ama Keko uswazini unaingia mtaa upi next door wa maana if not another uswazi hovel followed by another which is also followed by another?

Nairobi is surrounded by slums? Really? This is part of eastlands (parts of Umoja, Donholm and Buru Buru) show me anything that looks like a slum here
images - 2025-05-30T115235.810.jpeg
images - 2025-05-30T115217.478.jpeg
images - 2025-05-30T115157.767.jpeg


And these ones here are parts of Nairobi north( Ruaraka, Zimmerman, Roysambu and Kasarani). Tell me, do you get any vibes of slums in the images?
Screenshot_20250117-175402.png
Screenshot_20250116-130143.png
Screenshot_20250116-104949.png
Screenshot_20250116-105035.png


Zoea maisha ya uswazini polepole
images - 2025-01-24T122612.220.jpeg
images (73).jpeg
 
Back
Top Bottom