Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Wewe Wacha kudanganya watu peupe. Kwamba kutoka hapa mahali picha imepigwa hadi kule TPA ni kilometer moja?🤣🤣 Unatuona sisi mafala?You are always creating your own happiness
Na sisi tunawaignore tu.
Nimeangalia video yako ya YouTube, Kuna comments mbili tu na zote wanakukataa kuwa sio CBD. Lakin ubishi ubishi na sura yako inaonyesha ni mbishi na arrogant.
Mitaa uliyopost hapa ni kata ya kisutu. Na Mimi ninavyojua kata ya kisutu ni maarufu kwa kuwa makazi ya wahindi na unajua wahindi wanavyoishi. Wanaishi juu na floor za chini ni shops. Kutoka hapo hadi posta Kuna kama 1km. Wew na demu wako mlitembea mkachoka hamkufika Posta.
History ya ilo eneo toka zamani lilikuwa la wahindi ambao wamesambaa mpaka upanga, posta ilikuwa ofisi na wajerumani na Kariakoo ilikuwa ya watu weusi.
Next time ukirudi Dar, kwa YouTube yako. Cover these streets ukianza na Azikiwe na Maktaba hata kama ziko under construction. Then zunguka posta yote hadi ocean. Ndo utumie title yako ya Dar es Salaam CBD
Huku zamani lilikuwa Kunajaa vipanya na vihiace na Daladala kama Nairobi. Lakin sasa ni BRT bus tu zitaingia Dar CBD. Something you have failed terrible in Nairobi.
Tuktuks za kivukoni ni suala la muda nazo zitaondolewa
Enjoy Azikiwe na Maktaba streets
View attachment 3350213View attachment 3350215View attachment 3350218View attachment 3350222View attachment 3350226
Alafu wadau angalieni hizo sehemu nime circle in red (you can zoom in). Manguo kwenye balcony na hapo ni city center kabisa! TPA yao pendwa ndio ile palee inaonekana vizuri sana so it's clearly CBD. Yani this level of disorganization you can't find in Nairobi cbd hata utembee hadi wapi. A glorified fishing village kabisa this one is