President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
KIla mtu anajua, kenya ilishakufa baada ya Mwai kibakiKujifariji rukhsa
KIla mtu anajua, kenya ilishakufa baada ya Mwai kibakiKujifariji rukhsa
Unatumia nguvu kubwa sana. Ukiona unatumia nguvu kubwa sana ujue wewe ni failed state. KwikwikwikwikwiNakuuliza tena instanbul, nichoree CBD ya Dar kwa hii map.
View attachment 3350696
Atakuletea Nairobi metropolitan 🤣🤣🤣🤣Unatumia nguvu kubwa sana. Ukiona unatumia nguvu kubwa sana ujue wewe ni failed state. Kwikwikwikwikwi
Mkumbushe pia kwamba hiyo ndio mitaa za wale ndugu zao ombaomba. They are found on virtually every street in downtown Nairobi 🤣🤣🤣Aeleze nini? Hii unatuonyesha is just a small part of downtown Nairobi. The biggest and busiest commercial hub in East Africa. Hapo kunauzwa kila kitu na hakuna residential area kama Kariakoo.
Yenu ilikuwa kabla hata ya NyerereKIla mtu anajua, kenya ilishakufa baada ya Mwai kibaki
Maendeleo ya Tanzania yanaonekana kwa Necked eyes, But Kenya's progress is not visible even through a microscopeYenu ilikuwa kabla hata ya Nyerere
Wala haungeshinda humu ukitoa povu usiku na mchanaMaendeleo ya Tanzania yanaonekana kwa Necked eyes, But Kenya's progress is not visible even through a microscope
Kwikwikwikwi
Enjoy the show...Mmetuweka wapii baada ya kumfira activist wenu?
Nipo humu kutoa elimu kwa watu wajinga kama wewe.Wala haungeshinda humu ukitoa povu usiku na mchana
Hiyo elimu wape wabunge wenu primary dropouts kwanzaNipo humu kutoa elimu kwa watu wajinga kama wewe.
Primary dropouts wa Tanzania ni zaidi ya Professors wa Kenya ambao wameshindwa kuondoa njaa.Hiyo elimu wape wabunge wenu primary dropouts kwanza
Kwikwikwikwi wakenya mnahangaika sana. Njaa inawamaliza.Banangeeee 🤣🤣🤣🤣
Eti Ugandans left!😂😂 They don't want problems with kenyans 😆😆😆
I saw another clip of Nigerians wondering if Tanzanians really know the problem they are putting themselves into. They fear we Kenyans have instilled in social media is unmatched!
Shida ya Wakenya mnafikiri CBD ya Nairobi ni sawa na Dar es Salaam.
Hivi huwa hamjiulizi kwanini Dar ina watu wengi kuliko Nairobi, lakini ukifika Dar unahisi kama hakuna watu??
Licha Dar kuwa na watu wengi zaidi ya Nairobi, lakini huwezi kukuta watu wamerundikana hivi kama Omena, eti manita CBD.
View: https://youtu.be/CNSAQWN6Lyw?si=_2neYCKvG1EvCIsF
lakini nikuulize mbona mkubaliwe mtawaliwe na wabunge wenye ni primary and high school drop out?ushwai kaa chini na mtu mwenye elimu ya kiwango cha chini ukasikia venye hufikiria na mwenye elimu ya juu ukaona tofauti? wacha tutoe tu siasa apa? nipe jibu mwafaka..Ukiishi kwenye nchi ya watu wenye njaa kali lazima ujifiche.