Jibu kama msomi, Wacha kujibu kishabiki just to soothe yourself with skewed reasoning, numbers never lie, kelele mtawacha, ukweli umebainika wazi wazi🤣🤣
Yaani unajaribu kujiliwaza with a skewed analysis or reasoning? Fanya comparison analysis moja baada ya nyingine, Kisha leta GDP per Capita ya kila eneo ukilinganisha ndio utaelewa mbona omba omba wenu, wauza kahawa na mandazi, wauza mitumba, boda boda riders, vinyozi na wajakazi wa nyumbani wengi wanatokea Tanzania na nchi zingine East Africa, including Ethiopia kuja kuzurura vijijini ni mijini Kenya kutafuta riziki, na ujiulize ni kwa nini hawaendi kwenu ama nchi nyingine EAC kwa wingi kufanya kazi za chini kama mnavyo kuja Kenya., this fact can be used as a scientific tool, and can be included as an indicator to measure strength of a GDP..,
GDP per Capita uliyo post mwenyewe ina onyesha wazi mlivyo mafukara wa kutupwa on average,
Tazama GDP Per Capita ya Dar es Salaam is approximately $2,300(Tsh 5,743,367) with population ya 6 million na hapa Kenya county ya kumi kwa ranking by GDP per Capita ni Embu is $3,662 population of 609,000!..,
yaani na Kiambu ni matajiri zaidi ya Dar mara tatu Kiambu county GDP Per Capita $6,955(Tsh. 18,000,000 plus), Nairobi pia is Tshs 18,000,000 na zaidi)., population 5 million plus..,
Just look at ranking ya GDP per Capita top 10 vs hiyo yenu..,
Tanzania.,
View attachment 3350332
Kenya
View attachment 3350333
Ukitaka kuelewa nguvu ya uchumi ya eneo, tazama GDP per Capita, utaelewa level ya ufukara na utajiri wenu kilaza.., sio tu revenue collection.., wanyonge 🤣🤣
Yaani Dar es Salaam ikija Kenya top 10 haigusi🤣🤣🤣, Mombasa imeizidi Dar kwa mbali huwa nawaanbia humu., Dar ni CBD moja tu.., na port🤣🤣🤣