Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

picha zikiwasili unitag
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
C7F60A5C-DDC7-4F15-AC7D-ACB6F26D37B2.jpeg
F78D190D-A516-4321-A151-228DFCC9E532.jpeg
FC9DAF3B-AE24-4103-A300-0D94416E2CF8.jpeg
 
Natembea Tz very soon specifically Dar es salaam with my Nikon D3300 Camera na nitakuwa hapa JF kila siku posting the good and the bad. Kaka omba sana zile picha unapost hapa si za kuchagua coz will be there for 17days...🙂

Unachekesha
uje ujionee
wenzie tulisha kujanao huko toka Mobasa
Niliwatembeza kwa muda wa siku 4 tu hoi hawana hamu
Niliwaambia Chukua Nairobi+Mombasa+Kisumu+Nakuru
bado Dar kubwa
pole sana kwa siku hizo 17
labda utaishia Kariakoo
 
Mzee KichwaNgumu254 your so wrong, antonov hizi ndogo ndogo zatua sana JNIA kwa mission za UN as you know TZ inavyoshiriki missions za UN, ila mwaka 2011 tulitembelewa na the beast, ndege kubwa zaidi ya mizigo Antonov 225 ilikuwa yaleta zile jenereta za umeme za Richmond, so kusema eti hivyo vi antonov vilivyotua hapo JKIA kuwa haviwezi tua popote endeleeni kujidanganya

Antonov-225

If you're conversant with matters aviation,you must be knowing that very few Russian made aircraft are compatible with many conventional facilities/technical backups/serviceability in most airports save for the Tupolevs that are for commercial pax. Beasts like Antonovs and Ilyushins that are predominantly freighters are hard nuts to crack at most airports that stick to quick-turn-arounds due to slot scheduling especially fueling by use of hydrants. As such, when coming to airlift heavy stuff,they need max fuel capacity unlike when only coming to offload hence the need to have an airport that can handle their peculiarity. The case of JKIA (airlift) and JNIA (offload) points to that.
 
Yea you are correct,it was a Russian made Antonov An-124-100 Ruslan in 2012. Flying UN/Red Cross Trucks/Relief to DRC

1341887-large.jpg



Antonov An-124-100 Ruslan · Polet Cargo Airlines (POT) · Nairobi - Jomo Kenyatta International (NBO / HKJK), Kenya · David Reeves - 11/04/2012


an-international-committee-of-the-red-cross-truck-is-loaded-onto-an-picture-id185829715

Mbona antonov an124 100 ishashuka mwanza tanzania ..alfu mnasema haiwez tua sehemu yoyote zaid ya JKiA [emoji23][emoji23][emoji23]..hiv huwa mnahisi hatuna data au
a518fbabc73402da161e5ecd7906e413.jpg
 
Kuna time ndege flani iiland Kenya na trucks za UN za huko DRC na ati Hii ndege hakuna place ingine ingeland in East and Central Africa ispokua JKIA...unakumbuka kitu na hiyo?

Hio antonov an 124 100 ishashuka mwanza kuleta power equipments ..ety inaweza kutua JKiA peke yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
769ab7415aa59ff38d2a755894e0fc7f.jpg
 
Back
Top Bottom