Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wadanganyika wako na shida tupu kweli..... kama waliosoma ndio wanajiabisha huku JF.... jee wanaokufa na umaskini wa ujamaa mashinani... Jesus just come down and listen to these voices.
Shida ipo kwenu kenya.ambako msomi hawezo ongea na asiye msomi ati ni kujiabisha.

Eti wanaokufa na umasikini!!!!wapi tz???
Achia miraa sungura buda.jesus is in tz longtime ago,thats why we have peace.
 
Hawa mungiki tunabishana humu ila rohoni wana ukweli wote.tz ni zaidi ya nchi ya mfano.
Sio wakenya pekee, DRC ni zaidi wakifuatiwa na Malawi, Mozambique japo lugha ni shida, ila wakimuona mtanzania wanatamani sana uje nao Bongo
Ni kweli wakenya hawapo proud na nchi is yao wengi wanapenda Tanzania ndio maana wakija Tanzania hawaondoki tena na wanang'ang'ania sana kuja Tanzania.

Hivi kwanini wakenya wanaizimikia Tanzania hivi View attachment 656298 View attachment 656299
 
Hawa mungiki tunabishana humu ila rohoni wana ukweli wote.tz ni zaidi ya nchi ya mfano.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
mtu mwenye akili zake timam atoke Kenya aende LDC?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Shida ipo kwenu kenya.ambako msomi hawezo ongea na asiye msomi ati ni kujiabisha.

Eti wanaokufa na umasikini!!!!wapi tz???
Achia miraa sungura buda.jesus is in tz longtime ago,thats why we have peace.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Ni kweli wakenya hawapo proud na nchi is yao wengi wanapenda Tanzania ndio maana wakija Tanzania hawaondoki tena na wanang'ang'ania sana kuja Tanzania.
unazungumzia nani?
emoji23.png
emoji23.png
wakenya hawaipendi tz...wanaidharau tz
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Unachekesha
uje ujionee
wenzie tulisha kujanao huko toka Mobasa
Niliwatembeza kwa muda wa siku 4 tu hoi hawana hamu
Niliwaambia Chukua Nairobi+Mombasa+Kisumu+Nakuru
bado Dar kubwa
pole sana kwa siku hizo 17
labda utaishia Kariakoo
Mimi nataka kufika Mbagala na manzese! Get that into your thick skull halafu nichukue picha kadhaa niweke JF nzuri na mbaya.
 
Back
Top Bottom