Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

electric train nayo ni render😀😀😀😀
yenu ndio reality?? haya basi lta picha za SGR tanzania electric train
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ukileta nitag bro
emoji23.png
emoji23.png
 
Wivu unakutafuna bro[emoji23][emoji23] ikikuingia sana niambie nipunguze usije ukachafua mazingira[emoji23][emoji23] Ushaambiwa ndio inajengwa.. Yani wale ma constructor wanajuta kuja kufanya kazi Tz[emoji23][emoji23] kila saa waziri yuko nyuma kazi masaa 24 wanafanya kwa shift
ukileta picha za reli nitag
emoji23.png
emoji23.png
upuuzi wa rais kajengewa reli mita mbili ili apigwe picha wakati wa uzinduzi sitaki
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
utalii wa mitungi ya chang'aa?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hio sijawahi skia bro
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Dar kuna usafiri wa kila namna. Tunavutia utalii huku tunapiga pesa. Mtabaki kukodoa macho tu tunawaacha kirahisi.
 
Back
Top Bottom