Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ningeomba mtu mwenye muda apitie site za kariakoo apige picha za renders kwenye billboard za majengo ya kariakoo yanayojengwa. Naona kuna mkunya anajitekenya ovyo eti akuna majengo yenye 15 floors and above yanayojengwa Dar...
Huu mzigo unashushwa na bigbog kariakoo. Kwa sasa ni sheria kuweka renders kwenye majengo yote ya kariakoo yanayojengwa. Wasije baadae kulalamika wakishaona Dar imebadilika....Au tuwaache waendelee na ujinga wao,,😜😜😜View attachment 3161651
Luckin Ivy Residence Westlands, 25 floors.

1732577149126.jpeg

1732577171196.jpeg
 
Wakati Nairobi tushachoka na kuona majengo ya 30 floors, nyinyi bado mnaitana kutafuta majengo ya 15 floors kwa torch nchi nzima, kuwa na aibu kijana.

Marble West 31 Floors, Westlands.

View attachment 3161662

View attachment 3161663
Kwenye ku launch skyscrapers tulishatoka...Dar Kila siku watu wanaomba vibali vya kushusha majumba na kupandisha skyscraper... Kariakoo inafumulia Kila Kona....
 
Luckin Ivy Residence Westlands, 25 floors.

View attachment 3161686
View attachment 3161687
Majengo yanayojengwa na Tanzania upanga Bado mnajengewa na wachina?🤷🤷🤷 Tulia nipate nipate muda vizuri nikupigie picha za ujenzi na render zake kwenye sign boards za ujenzi... Naona Kwa kuwa mko jobless kila mtu ana huo jobless wa kwenda skyscraper city...
 
So Machinga wamehamia darajani? Kwani Upuuzi wa Magufuli bado Unaendelea? Juzi ajali ya kuporomoka jengo kariakoo waokoaji wameshindwa kupita!
We vipi? Unaishi nje ya Dar?
Machinga wapo everywhere na wanazidi kupata nguvu kadiri siku zinaenda.

NB: Sijawahi Wakubali machinga hata kipindi cha mzee na ni wengi humu hatukuwakubali kabisa.

It was stupid decision maana hata battle ilianza kuwa ngumu kuweka picha za kueleweka humu.
 
Back
Top Bottom