ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Your country can’t even pave 15,000km of roads.😂😂Sasa nimekuwekea kila kitu halafu unataka nikutafunie. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tanzania is very organized nation. Mama Ngina Propaganda zinafaa huko kwenu tu. Not Tanzania.
Embu acha utani kijana unaleta data za wakati wa COVID ili ujifurahishe. Tourism is booming in Tanzania.According to you, sindio?😂😂😂
Your government says otherwise, Kilimanjaro imeshindwa hadi na Kisumu airport with domestic travelers alone😂😂
Zanzibar 1.9M
Kilimanjaro 787k
View attachment 3157667
Umeishiwa hoja. Umeanza kutoa vioja sasa. Leo tu umepata bahati ni po free. Hiyo M1 nani alikupatia msaada 🤣🤣🤣🤣Trains za kukwama msituni?😂😂
Burundi is important than Uganda? Burundi with a Cargo volume of 500k tonnes ? You must be jocking😂😂😂
Hayo ni mawazo yako na wakenya wenzako. Has nothing to do with The United Republic of Tanzania.Your country can’t even pave 15,000km of roads.😂😂
So 2023 ilikuwa wakati wa CoVID. Kwani ni lazima tu mpinge kila kitu?😂😂😂Embu acha utani kijana unaketa data za wakati wa COVID ili ujifurahishe. Tourism is booming in Tanzania.
Umekula lakini 🤣 🤣 🤣 🤣 Maana umeingia JF alfajiriSo 2023 ilikuwa wakati wa CoVID. Kwani ni lazima tu mpinge kila kitu?😂😂😂
Hizo Arrows huoni zimepoint 2023?😂😂😂👇👇
View attachment 3157881
I’m really happy for Uganda. They have adopted all the features of Kenyan SGR.
View: https://x.com/RailwaysUganda/status/1859527646159212998
Take all the Burundian Cargo that passed through Kenya and Tazania alafu uniambia jumla ni ngapi, ikifika 610k tonnes uniambie😂😂😂👇👇👇Day dreaming Girl
Yes, our SGR had provision for electrification.Hadi electrification sio 🤣🤣🤣🤣
I’m really happy for Uganda. They have adopted all the features of Kenyan SGR.
View: https://x.com/RailwaysUganda/status/1859527646159212998
According to you, sindio? 😂😂😂Hizo ni feature za Malaba to Kampala tuu the rest will be 35 tons per axle.
Tunajua namna mlivyo na maisha duni 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Mnatafuta justification kwa nguvu muonekane mko poa. But reality ni hiiAccording to you, sindio? 😂😂😂
Bro, sio lazima upinge what you don’t know😂😂
Kipande cha Malaba to Kampala Uganda hana ujanja zaidi ya ku match specs za Kenya in terms of axle load. But other sections of Uganda rail will be of different specs.Na kama kweli Uganda atajenga reli yake ya umeme kuunganisha na reli ya makaa ya mawe ya kule North basi nitaamini kama sio JPM basi hata bomba la mafuta lingepita Kenya, hii iwape ufahamu wale jamaa zetu wa kusifusifu ujinga kwamba vitu havitokei kwa huruma na kujuana inatakiwa vipambaniwe, muwe na ushawishi na maarifa kama ya JPM. Na hiyo ndiyo sababu wakenya wengi hawataki hata kumsikia JPM coz kawaharibia future.
Just imagine reli aliyobuni yeye for a short period of time imesafirisha abiria inayokaribia idadi ya abiria waliosafirishwa na reli ya makaa ya mawe kwa miaka 8.
Zinaendelea kuongezeka na kufika 2,000 tena 🤣🤣🤣🤣from 1000.TARURA only have 2,000km of completed paved roads and planning to achieve 3,000km by this year😂😂👇👇
View attachment 3157886
Wakati wewe ulidownload passport ya wenyewe ukitudanganya ni yako😂😂