Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatari sana yani..

Ingekuwa mambo yako hivyo Tanzania ingepotea sasa kipindi muasisi Baba wa Taifa alipotutoka na mambo yangeharibika.

Lakini Taifa bado lipo na litaendelea kuwepo no matter ni Kiongozi gani au yupi... 😂😂
Vijana wanapenda wanasiasa/viongozi kuliko nchi yao. 😂😂😂
 
sababu moja wapo ilikua kupunguza kodi na kukubali kununua share ya asilimia 15 ndio hzo hzo sababu zilitumika kama fitna ili mradi uje kwetu usiwe kama mtoto wa miaka miwili 😂😂😂😂

kama vita baridi haviwezi kuisha na huna silaha jiandae kushindwa just simple and clear, ile keki tulisema hawawezi kula kisa mseven ni mtanzania ndio wanakula sasa na sisi tupo tunasifiana ujinga 😂😂😂
Mkuu pamoja na fitna huwez linganisha mradi wa bomba mafuta na reli.
Bomba tayari mzigo wa uhakika upo huku kwenye reli mzigo bado ni wa kugombania , kwahiyo hata uhakika wa kulipa bomba litalipa mapema kuliko hata hiyo reli.
Pili hata kuangalia mfano wa sgr kenya , hakujawa na mzigo wa kuweza kulipa gharama za ujenzi kwa mzigo kutoka isaka kwenda Kampala.
Sidhan kama Kuna umuhimu sana wa sgr kwenda Kampala kuliko kwenda burundi
 
Umeamua tu kuwa pinga pinga kisa una mahaba na utawala uliopita.

Huwezi kulinganisha old fashioned chines class one railway na AREMA railway hata kidogo. Bado Tanzania ina nafasi kubwa zaidi ya kushindaa hii game.

Kwa rail yetu mzigo unaweza kutoka Dar port na kufika portbell mapema zaidi kuliko mzigo kutoka mombasa kufika malaba. Kwa sababu jointed rail ya kenya speed ndogo, pili inabeba mzigo kidogo na tatu ina high maintenance cost kuliko rail track za umeme. Na hapo bado hatujaangalia ishu ya freight cost.. Hiyo ya diesel inakuwa na gharama zaidi.

Kwa rail yetu kuwa na same standards kati ya Burundi, Rwanda na Congo ni obvious Uganda ata join tu kupitia either Congo au Rwanda... Na kwa efficiency lazima atarudi Central corridors kwa ajili ya ku save time na cost ambavyo ndio vitu muhimu kabisa vya kuangalia katika logistics.

Bado ni ushindi mkubwa kwa Tanzania pale Uganda napo walipo amua kujiunga na AREMA standards. Na jambo muhimu zaid, mzigo wote wa SGR Uganda utapita Tanzania. Ni faida mara dufu.

Let's move on.. What happened already happens.
naona unanitafsiri vibaya, ila ukitulia vzr unaeza nielewa nn hoja yangu

tunakubaliana wao wana treni za kizamani swali langu mm tunaeza shindana nao kwenye time? je tutawajibika ipasavyo je hakutakua na urasimu? kaka hvi vita baridi vina mambo mengi sana ndani yake, mm sipingi bali natoa hoja, ikiwa kulinda miradi yetu ya thamani inatushinda wenyewe hakuna uwajibikaji hakuna ufatiliaji kabisa kila kitu kinajiendea tu

kaka mm wakenya nina wafahamu vzr kuliko wewe hawa jamaa waone na ukabila ila linapokuja suala la kenya kwa ajili ya kenya waogope, even ATCL ilikufa kwasababu ya fitna za KQ mpaka wakanunua shares precesion kwa ajili ya kuiua ATCL na walifanikiwa je sisi tunaweza kuwajibika na kuwajibishana hapa ndipo hoja yangu inasimama
 
Hakuna kinacho endelea Addis, the boom is over for them,wanamalizia tu za kitambo, Hamna projects mpya.
You should be concerned with your dead country which doesn’t have any building above 15 floors coming up.

A 40 floor Oramia Insurance Tower in Addis Ababa.
IMG_0794.jpeg
IMG_0793.jpeg
 
You should be concerned with your dead country which doesn’t have any building above 15 floors coming up.

A 40 floor Oramia Insurance Tower in Addis Ababa.
View attachment 3161488View attachment 3161489
This one has been under construction for the last ten years, mwendo ni wa konokono.

Uhabesh hawana fedha za kigeni za kuagiza bidhaa mbadala za ujenzi kutoka nje ya nchi.projects mingi zipo slow na ni za kitambo wakati wa boom.
 
naona unanitafsiri vibaya, ila ukitulia vzr unaeza nielewa nn hoja yangu

tunakubaliana wao wana treni za kizamani swali langu mm tunaeza shindana nao kwenye time? je tutawajibika ipasavyo je hakutakua na urasimu? kaka hvi vita baridi vina mambo mengi sana ndani yake, mm sipingi bali natoa hoja, ikiwa kulinda miradi yetu ya thamani inatushinda wenyewe hakuna uwajibikaji hakuna ufatiliaji kabisa kila kitu kinajiendea tu

kaka mm wakenya nina wafahamu vzr kuliko wewe hawa jamaa waone na ukabila ila linapokuja suala la kenya kwa ajili ya kenya waogope, even ATCL ilikufa kwasababu ya fitna za KQ mpaka wakanunua shares precesion kwa ajili ya kuiua ATCL na walifanikiwa je sisi tunaweza kuwajibika na kuwajibishana hapa ndipo hoja yangu inasimama

Incompetence katika uongozi kwa Nchi hizi za kiafrika sio suala la Nchi moja tu. Yapo matatizo kila Nchi.

Kusema labda unawafahamu Wakenya zaidi yangu hapo no comment... Ila mimi nimeanza kutumia bidhaa za Tanzania baada ya kufika Dar. Kuanzia bidhaa za viwanda hadi radio na television... Zilikuwa zinakamata nje huko... Za ndani zimeanza kutufikia juzi juzi tu late 90s

Uzuri umejua hao jamaa ni wakabila sana lakini inapokuja kwenye suala la utaifa wanakuwa wamoja. Bhas jambo hilo na wewe ulichukue kaka.. Tuishi humoo..

Kuna mambo ambayo yanahitaji utashi tu binafsi wa mtu. Sio mpaka upelekeshwa kama nyapara na wafungwa... Uwajibikaji bado ni somo gumu kwa waAfrika.
 
Umeamua tu kuwa pinga pinga kisa una mahaba na utawala uliopita.

Huwezi kulinganisha old fashioned chines class one railway na AREMA railway hata kidogo. Bado Tanzania ina nafasi kubwa zaidi ya kushindaa hii game.

Kwa rail yetu mzigo unaweza kutoka Dar port na kufika portbell mapema zaidi kuliko mzigo kutoka mombasa kufika malaba. Kwa sababu jointed rail ya kenya speed ndogo, pili inabeba mzigo kidogo na tatu ina high maintenance cost kuliko rail track za umeme. Na hapo bado hatujaangalia ishu ya freight cost.. Hiyo ya diesel inakuwa na gharama zaidi.

Kwa rail yetu kuwa na same standards kati ya Burundi, Rwanda na Congo ni obvious Uganda ata join tu kupitia either Congo au Rwanda... Na kwa efficiency lazima atarudi Central corridors kwa ajili ya ku save time na cost ambavyo ndio vitu muhimu kabisa vya kuangalia katika logistics.

Bado ni ushindi mkubwa kwa Tanzania pale Uganda napo walipo amua kujiunga na AREMA standards. Na jambo muhimu zaid, mzigo wote wa SGR Uganda utapita Tanzania. Ni faida mara dufu.

Let's move on.. What happened already happens.
Huyo ni mpuuzi tuu hanaga hoja ila chuki binafsi.

Ruksa kumchukia SSH lakini hutakiwi kupinga maendeleo ambayo wewe mwenyewe unanufaika nayo japo una Haki ya kutoa maoni Chanya au otherwise
 
sababu moja wapo ilikua kupunguza kodi na kukubali kununua share ya asilimia 15 ndio hzo hzo sababu zilitumika kama fitna ili mradi uje kwetu usiwe kama mtoto wa miaka miwili 😂😂😂😂

kama vita baridi haviwezi kuisha na huna silaha jiandae kushindwa just simple and clear, ile keki tulisema hawawezi kula kisa mseven ni mtanzania ndio wanakula sasa na sisi tupo tunasifiana ujinga 😂😂😂
Pinga Pinga 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCyMWMMK1bJ/?igsh=MzdocWVrcTE3ZjM4
 
I’m talking about height, let’s say a height of 300M. Distribute it on a 56 floor building with a mezzanine floor. I usually see most buildings with ground floors taller/longer than the upper floors.
Of course not all floors are the same. The average might be 5.5 but the highest will be 10m (with multiple mezzanine floors) and the shortest could be 3m.
 
Back
Top Bottom