Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani hajui Burundi? The poorest country in the world nani akose kujua?😂😂
Tatizo elimu kijana inakusumbua. Somo la Geograph hujui.

Nakufumbua macho kidogo tu. Burundi is the extention of Congo DR. East Africa German ilikuwa inatwala mpaka Burundi na Rwanda. Baada ya German kushindwa kwenye WW1 Tanganyika ilikuwa chini ya uangalizi wa UK halafu Burundi na Rwanda zikaangukia Belgium aliyekuwa anatawala Congo DR. Hii ni kutokana Belgium alikuwa weak France aweze kuchukua madini ya Burundi.


Soma Geography achana na propaganda za Mama Ngina

Burundi has resources of copper, cobalt, nickel, feldspar, phosphate rock, quartzite, and rare reserves of uranium, and vanadium.
 
Tatizo elimu kijana inakusumbua. Somo la Geograph hujui.

Nakufumbua macho kidogo tu. Burundi is the extention of Congo DR. East Africa German ilikuwa inatwala mpaka Burundi na Rwanda. Baada ya German kushindwa kwenye WW1 Tanganyika ilikuwa chini ya uangalizi wa UK halafu Burundi na Rwanda zikaangukia Belgium aliyekuwa anatawala Congo DR. Hii ni kutokana Belgium alikuwa weak France aweze kuchukua madini ya Burundi.


Soma Geography achana na propaganda za Mama Ngina

Burundi has resources of copper, cobalt, nickel, feldspar, phosphate rock, quartzite, and rare reserves of uranium, and vanadium.
Yet their entire Cargo volume in a year is still 500k tonnes😂😂😂
 
Hizo ni za TARURA, look at the part circled in yellow😂😂😂.

And the 3,000km involve both urban and Rural roads😂😂

View attachment 3157855
Ndio nani anakataa. Hizo ni District roads. Maana yake District to district. TARURA means all Rural area. Nimekuambia leta report ya TARURA network. Wewe unaleta District Roads 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
SGR itatoka hapo Tororo hadi Port bell...

Na SGR ya Tanzania itapeleka mizigo West kunyaland via Uganda. Hakuna mtu atatumia your snail locos. Hivyo Uganda anawazunguka kimkakati, anakata connection ya kunyaland na nchi zote za EA.
Mbona hiyo haziko kwa plan yao? Ama wewe uko na plan yako yenye unajua pekee yako?😂😂😂😂


View: https://x.com/InfraUganda/status/1859561159004708873
 
Ingekuwa ni Kundustan wangeita 4 Star Hotel 😂😂

Kwa 🇹🇿 ni ofisi ya DED 👇👇

View: https://x.com/AnnaSarungi/status/1859487151030686117?t=3Me1eAon4NPSudaOKN8uhQ&s=19
20241121_153920.jpg
20241121_153926.jpg
 
Screenshort the number alafu ulete hapa. No wonder your country only have 10,000km of pved roads😂😂
Sasa nimekuwekea kila kitu halafu unataka nikutafunie. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tanzania is very organized nation. Mama Ngina Propaganda zinafaa huko kwenu tu. Not Tanzania.
 
Back
Top Bottom