Umeamua tu kuwa pinga pinga kisa una mahaba na utawala uliopita.
Huwezi kulinganisha old fashioned chines class one railway na AREMA railway hata kidogo. Bado Tanzania ina nafasi kubwa zaidi ya kushindaa hii game.
Kwa rail yetu mzigo unaweza kutoka Dar port na kufika portbell mapema zaidi kuliko mzigo kutoka mombasa kufika malaba. Kwa sababu jointed rail ya kenya speed ndogo, pili inabeba mzigo kidogo na tatu ina high maintenance cost kuliko rail track za umeme. Na hapo bado hatujaangalia ishu ya freight cost.. Hiyo ya diesel inakuwa na gharama zaidi.
Kwa rail yetu kuwa na same standards kati ya Burundi, Rwanda na Congo ni obvious Uganda ata join tu kupitia either Congo au Rwanda... Na kwa efficiency lazima atarudi Central corridors kwa ajili ya ku save time na cost ambavyo ndio vitu muhimu kabisa vya kuangalia katika logistics.
Bado ni ushindi mkubwa kwa Tanzania pale Uganda napo walipo amua kujiunga na AREMA standards. Na jambo muhimu zaid, mzigo wote wa SGR Uganda utapita Tanzania. Ni faida mara dufu.
Let's move on.. What happened already happens.