Naona kuna watu wanajaribu kujustify madeni, wanasahau huwa wanajitapa na domestic revenue ya 2trl kila mwezi.
Wakati tunapigwa tozo mbona excuse ilikua ile ile kujenga miundombinu, tena hiyo hiyo miundombinu mnaileta kujustify deni lenu la 50 Trilion?
Muda huo huo Kuna mtu atakwambia ni miradi ya lipstick anasema Magufuli aliharibu kupeleka pesa miradi ya lipstick. Akihojiwa kuhusu deni anaisukumiza miradi aliyokua anainaga eti haifai.
Mshajikanyaga sana.
And nimekuona mpaka mnaleta BOT kununua Dhahabu inamaana Domestic revenue haipo hata ya 1 Trilion kununua Dhahabu mpaka tukope?