Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimemaliza Michezo na Kilimo,nihamie wapi?

Nawakumbusha tulikuwa na Rais anadai sekta zingine zisimane yehe anajenga Sgr 5 year Yuko below 40% na Uchumi umepadalyse 😁😁😁😁😁😁😁
 
so tuendelee kushangilia kua tumekopa 50 trillion in just 3 good yrs 😂😂😂😂😂
Ndio,mbona unataka kuhamisha magoli? Au tuendelee kuparalyse sekta zingine Kwa kuwa tunajenga Sgr in Mwendazake 's voice? 🤣🤣

Nyie Wafuasi wa Mwendazake mnapoteza mda,Kwa mama miradi hatuokotezi ni utitiri tena Kila sekta Kila Mkoa Kila Kijiji na mtaa.
 
KTX ni Hyundai
Muwe na usiku mwema
KTX Korea Train eXpress kama TRC hapa Tanzania
Uwe unafanya kwanza research kabla ya kujibu comments zangu. Utaonekana mpumbavu



 
Kilimo tena,hapa ndio nyumbani Kwa Samia.
-Kuna hactares 500k za irrigation zinaendelea na ujenzi ,zaidi ya 300bln
-Tumeanzisha Mnada wa chai,hatuendi Mombasa tena
-Serikali imeajiri zaidi ya wahandiai wa Kilimo 1,000
-Imenunua Pikipiki zaidi ya 3,000 na kugawa Kwa maaagisa ugani Nchi nzima
-Imenunua vishkwambi na vipima Ardhi na kugawa Kwa maafisa ugani Nchi nzima
-Imenunua magari ya wahandisi wa Umwagiliaji na kuyagawa Kila Mkoa ,mengine Hadi Wilayani ziadi ya gari 100
-Imefufua mashamba ya ASA na kufunga mifumo ya Kisasa ya irrigation
-Imeomgeza Bajeti ya Utafiti kwenye taarifa za Utafiti eg TARI
-Imeanzisha Kilimo Cha mazao ya biashara Mapya kwenye Baadhi ya Mikoa mfano Kakao Morogoro,Korosho Singida,Katavi Pamba,
-Inatoa ruzuku ya pembejeo, matumizi ya mbolea yameongezeka na kuvua tan 800 Kwa mara ya kwanza
-Uzalishaji wa Korosho umekwenda mara 4,,kutoka korosho kusombwa na malori ya jeshi mpaka kujaa pomoni kwenye maghala ya serikali
-Inajenga kongani ya viwanda vya Korosho Mtwara,zaidi ya Bilioni 300 achilia mbali viwanda vya kubangua koroshi vilivyoanzishwa eg Mkuranga na Kisarawe
-Imeanzisha viwanda vipya vya kuongeza thamani mazao hasa Pamba Katavi,Kigoma na Shinyanga
-Imeanzisha Jiji la Kilimo Mkulazi
-Imejenga na inajenga zaidi ya mabwawa 100 ya irrigation Nchi nzima
-Imewekeza zaidi ya Bilioni 300 kwenye viwanda vipya na vya zamani vya Sukari eg Mkulazi
-Imewezesha Upanuzi wa viwanda vipya vya mazao ya Tumbaku eg Mkwawa Leaf ,Rais alizindua juzi Morogoro
-Tanzania imekuwa namba 2 Kuzalisha Tumbaku Afrika
-Mazao ya Kilimo Sasa yanashindana na Madini,Utalii kuingiza pesa za Kigeni.

Mwisho hiyo ni summary tuu ya kilichofanywa kwenye Kilimo 👇👇View attachment 3142854

View: https://youtu.be/1wtGc5Co7LI?si=Xmae2pFVweso81TY

View: https://youtu.be/jryeHwp8RGY?si=g8suVEsKWbeViFcJ

Nyie Wafuasi wa Mwendazake,hapo Kwenye Kilimo sijamaliza
-Mama anajenga Maabara ya Taifa ya Kilimo
-Mama anajenga Viwanja vya Kisasa vya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo 8/8 pale Dodoma na Mbeya
-Anajenga Vihenge vya kuhifadhia mazao Mikoa mikuu ya uzalishaji lengo ni kuhifadhia tani mil.3 by 2030
-Mama amewezeha ujenzi wa viwanda vya mbolea Dodoma na Sasa kingine kinaendelea Mtwara
-Mama amewezesha ujenzi wa ofisi za Kilimo Cha Kila Mkoa na kuwezesha Tume
 
Kwani kuna kiongozi aliyeharibu jina la Nchi hii kimataifa zaidi ya Magufuli!? Yani huyo jamaa ametufanya Leo ukienda Nchi jirani wanakuona Kama Mrundi,Mnyarwanda au Mcongo tu

JIWE anapaswa kusomewa makosa yake ata akiwa wapi

KAMA HUWEZI KUSAMEHE BASI LIPA KISASI
Nchi jirani gani?
 
51143acde53e94528871c69009656642.jpg



Leo, tumetolewa wote CHAN na watu wa SUDAN🙊
Screenshot_20241103-231501_Flashscore.jpg
Screenshot_20241103-231518_Flashscore.jpg
 
kwani zilinunuliwa kwa loan?? 😅😅😅

si tumeambiwa ni cash deal ama mm sijui
Hizi hapa pesa unafurahia kuziona zimeandikwa moja moja kwenye mitandao. Zikiunganishwa kwa pamoja unapiga kelele. STUPI

African Development Bank approves $696.41 million of financing for Burundi and Tanzania to build 650 kilometers of rail infrastructure to develop the Central Corridor network​


 
Back
Top Bottom