ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Tuache uzwazwa,magu na mama wote ni binadamu wana mazuri na mabaya yao,acheni ujingaKuna ule mradi wa aliyekuwa Waziri wa Nishati kujichotea mabilioni Kila siku Kwa mgongo wa kuweka pigment kwenye Mafuta,Samia alifutilia mbali huo upuuzi sema kawastahi tuu.Happ watapitia kimya kimya 🤣🤣 Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi
Hapo sijagusia malipo hewa ya hela za 10% za Halmashauri Hadi Mama aliagisa kusimamishwa huo utaratibu Hadi kanuni Mpya ziwekwe.
Kuna watu wanatulazimishia Umalaika wake!Tuache uzwazwa,magu na mama wote ni binadamu wana mazuri na mabaya yao,acheni ujinga
😂😂😂😂😂 Hapana kuna mmja ni Malaika hapoTuache uzwazwa,magu na mama wote ni binadamu wana mazuri na mabaya yao,acheni ujinga
Mmmh fuel pigment? Hakuna waziri bongo anaweza kupambana na SICPA. Ofcourse sio mradi bali ni utaratibu wa lazima kufanya fuel marking(adulteration)Kuna ule mradi wa aliyekuwa Waziri wa Nishati kujichotea mabilioni Kila siku Kwa mgongo wa kuweka pigment kwenye Mafuta,Samia alifutilia mbali huo upuuzi sema kawastahi tuu.Happ watapitia kimya kimya 🤣🤣 Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi
Hapo sijagusia malipo hewa ya hela za 10% za Halmashauri Hadi Mama aliagisa kusimamishwa huo utaratibu Hadi kanuni Mpya ziwekwe.
kitu gani cha maana wakati picha real zinajulikana na computer generated images zinajulikana!Ruaraka also known as Garden Estate, is a suburb located 13km from Nairobi CBD along the Thika Superhighway.
There is another suburb that is called RUAKA that sometimes people confuse with RUARAKA because they are both named after the same river. Next, I will bring photos of Ruaka.
Kasarani Stadium is visible in the background of one of the photos. The mall in the last 3 photos is GARDEN CITY MALL.
Watanzania itaichukua Dar slums miaka 60 kufika level za Nairobi.
View attachment 3143349
View attachment 3143326View attachment 3143327View attachment 3143328View attachment 3143329View attachment 3143330View attachment 3143331View attachment 3143332View attachment 3143334View attachment 3143352
View attachment 3143364View attachment 3143365
View attachment 3143353
Hamna mkuu ichoboy01 yupo humu mda mrefu, anakuzidi wewe kuwa humu, sema hujamuelewa, anapambana na huyo choko anayeitwa choicevariable, huyu ChoiceVariable haeleweki anataka nn, anaponda miradi yote ya Magufuli lkn kuna wakati anasifia, sasa unamchukuliaje mtu kama huyo? Yeye yupo humu kwa ajili ya kumponda Magufuli tu na sio kitu kingine.Nadhani umeanza kuwa adui wetu. Umegeuka ugeukia upande wa wakenya. Nitakupiga sindano mpaka unyooke. Sipendi upumbavu kwenye battle mimi.
Nenda kajadiliane haya mambo yako ya kipumbavu kwenye majukwaa yanayohusika. Hapa tupo kwenye battle.
Ondoa upumbavu Tunapokuwa kwenye vita askari akigeuka anakula shaba chap.
Wacha ujinga na wewe jitahidi kuwa muelewa.Tayari wewe ni adui yangu. I am here to protect national interest siyo upumbavu wako.
Wewe ni mpumbavu sn kumanina, hiyo Ben mkapa stadium imekarabatiwa lini? Kila siku ipo vilevile, hakuna seat mpya vyoo vichafu yani kwa kifupi hakuna jipya, tuache huko turudi kwenye barabara, roads mnajenga nyembamba mnoo mpaka aibu, yani road inapita airport alafu nyembamba, aibu gani hii? Yani mkiwa wajinga kama hivi hatujengi bali tunabomoa, na nikipata watu watatu tu wanasapoti huu upumbavu wako basi nitabadilika na hamtaamini kama ni mm napambana na hawa wakenya miaka yote hii.Tunaanza na sekta ya Michezo
-Benjamin Mkapa imekarabatiwa mara 2,wakati wa uzinduzi wa AFL na Sasa wakati wa maandilozi ya Afcon 2027,in both cases ni billions of money
-Serikali imeweka nyasi bandia viwanja vyote vikubwa na kufunga taa kuanzia CCM kirumba Hadi Dodoma
-Serikali inajenga Sports Complex ya Malya
-Serikali imetoa mikopo Kwa wasanii
-Serikali inajenga Uwanja wa Afcon Arusha,inakarabati viwanja vya mazoezi Mikoa mbalimbali juzi tuu hapo wameingia mkataba na Suma JKT
-Serikali inajenga Uwanja wa Mpira Dodoma,na inajenga Uwanja Cha gamani wa Michezo huko huko Dom.
-Serikali imejenga uwanja wa Kinondoni,Manyara,na inajenga viwanja vingine Maeneo mbalimbali eg Sengerema,Chunya,Tunduma,Moshi nk nk
-Imejenga viwanja vya Golf Dodoma, Serengeti nk
-Imejemga uwanja wa mashujaa Dodoma
Hiyo ni Baadhi tuu,nikikumbuka vinginevyo nitaongezea.
Tuje sekta gani nyingine?
Hakuna haja ya kupandishiana mbona vitu vya kawaida uadui wanini tena bossWacha ujinga na wewe jitahidi kuwa muelewa.
Mkuu sio Kila mtu anayepingana n mawazo ya magu ni mtu wa Samia . Kitu kinachopingwa hapa ni Ile kasumba kwamba alifanya makubwa kuliko mwingine yoyote, kuna madhaifu kibao ambayo yalifanyika ambayo wengi wetu hatuwezi kukuballi. Jaribu pitia ripoti ya Cag ya 2020/2021 na 2021/ 2022 .Nshakwambia hayo ni masenge ya mama achana nayo.
Hakika.Hivi Ni Rais Gani Kutoka Nchi ya Ahadi Aliwahisema Viatu vya Magufuli nivikubwa kwake?
Kifupi Tuache Kumlinganisha Magufuli na Vitu vya Ajabu
Hajatokea Hata 1/4 wakulingana na Magufuli Tuishi tu humo humo hakuna Namna
Ila Nchi inapitia Wakati Mbaya na Hovyo japo Tutafika hivyo hivyo
Upumbavu sitaki. Unaleta siasa za kijinga siyo. Usilazimishe niwe wewe.Wacha ujinga na wewe jitahidi kuwa muelewa.