Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sometimes naona awa wakenya Kuna wakati wanawafinya Kwa ufinyu wenu wa kifikili limtu lilikuwa hapa siku nzima linasifia magufuli Leo hii leyenye ndio linakuja kukataa
Last time mlitamba hapa nà daraja la kijazi wakiti mzee anazindua na kulipa jina flyover ya buguruni hivyo hivyo Leo vichwa maji imesahaumbwa nyingi mkiwa mnashadadia vitu muwe na kumbukumbu.
 
Sometimes naona awa wakenya Kuna wakati wanawafinya Kwa ufinyu wenu wa kifikili limtu lilikuwa hapa siku nzima linasifia magufuli Leo hii leyenye ndio linakuja kukataa
Last time mlitamba hapa nà daraja la kijazi wakiti mzee anazindua na kulipa jina flyover ya buguruni hivyo hivyo Leo vichwa maji imesahaumbwa nyingi mkiwa mnashadadia vitu muwe na kumbukumbu.
Huo Ndio uwerevu ukigundua uongo unaukataa! Kumbuka msema kweli mpenzi wa Mungu alikuwa Muango! Miradi alikamilisha ni ile ya Chato tu!
 
Alikuwa anaanzisha miradi halafu Hana pesa! Matokeo yake akabakisha propaganda!
Leo tuna mpaka umeme wa ziada, ukiachilia mbali kujitoa kwenye makali ya mgao. Leo tuna high speed trains, Kikwete na genge lake, kwa sababu ya low IQ, walitaka kujenga ya diesel.

Umesahau familia yao walijimilikisha stendi ya Ubungo, na hata choo hawakujenga?
 
Alivyokuwa mbinafsi badala ya kuendelea na ujenzi kuanzia makutubora - tabora akaruka mwanza kwenda isaka Sasa sijui alijua tren zitaruka juu, kipande Cha mwanza isaka kitaisha na kukaa almost miaka 4 wakati kikisuburia makutupora- isaka bonge Moja la hasara
Issue ya Balali iliwaacha watu hoi sana. Kifo chake kiliwaduwaza watanzania wengi. Ni wachache sana walioenda kwenye mazishi yake. Watu wengi walihoji.

Balali alikuwa Gavana wa BOT.
For National Security kuna watu wanakufa kwelikweli lakini kuna wakati mwingine kuna kitu kinatengenezwa.

Unaulizwa ufe kabisa ukiwa hai na uendelee kula maisha ukiwa hai na jina lako lipotee? Au ufe watu wakuzike?

Katika point of no return of National Interest ni lazima uchague jibu moja.
This country is not for just one person.
Je, tuwe na maendeleo halafu kuwepo na ugomvi kila kona? Dunia inaendeshwa kama kijiji ni muihimu kwenda kwa namna ya mfumo.

Tunaweza kuwa na agenda kama taifa ya watumishi wa umma kuheshimu kazi, na ikapita watumishi wakawa wanaheshimu kazi, lakini tukakosa mahusiano mazuri na mataifa mengine. Ni muhimu ku reconstruct our policies.

Ni kama yale ya Balali. Kutakuwa na simanzi ya nchi kwa miaka miwili au mitatu, lakini kutakuwa na mwendelezo mzuri kwa miaka zaidi ya 50.

So tuambie sasa: Kwa maslahi ya taifa na kwa namna dunia ilivyokuwa inaendelea tulikuwa tunatakiwa tuendelee na msimamo wetu wa kabla ya uchaguzi? Tungeweza kutoboa kwa miaka mitano mengine?

Baada ya uchaguzi lazima kanuni hii itumike: Unaulizwa ufe kabisa ukiwa hai na uendelee kula maisha ukiwa hai na jina lako lipotee? Au ufe watu wakuzike?
 
Magufuli uyu ndio alizindua hospital ya uhuru
Magufuli uyu SI ndio aliyeleta kivuko Cha mv kazi

Hata reli iliisha wakati wake wa kipande Cha moro zaidi ilikuwa kwenye majaribio na baadhi ya vitu

Hospital hizi mnazotamba nazo ni kipindi chake na mama kaja kuongeza Kwa nafasi yake

Kila mtu atasimama na nafasi yake na kipaumbele chake
 
Leo tuna mpaka umeme wa ziada, ukiachilia mbali kujitoa kwenye makali ya mgao. Leo tuna high speed trains, Kikwete na genge lake, kwa sababu ya low IQ, walitaka kujenga ya diesel.

Umesahau familia yao walijimilikisha stendi ya Ubungo, na hata choo hawakujenga?
Kaacha mradi Upo chini ya 40% japokuwa Kalemani alikuwa anatupiga songs kila siku!
 
Kata mradi Upo chini ya 40% japokuwa Kalemani alikuw

Huo Ndio uwerevu ukigundua uongo unaukataa! Kumbuka msema kweli mpenzi wa Mungu alikuwa Muango! Miradi alikamilisha ni ile ya Chato tu!
Wewe sindio unaongoza Kwa kuweka video za miradi humu mpaka link za live au wewe mwenyewe upitiagi kablà ujatuma.
 
Magufuli uyu ndio alizindua hospital ya uhuru
Magufuli uyu SI ndio aliyeleta kivuko Cha mv kazi

Hata reli iliisha wakati wake wa kipande Cha moro zaidi ilikuwa kwenye majaribio na baadhi ya vitu

Hospital hizi mnazotamba nazo ni kipindi chake na mama kaja kuongeza Kwa nafasi yake

Kila mtu atasimama na nafasi yake na kipaumbele chake
Kwanini watu mnaendelea kujadili habari za mtu ambaye ni marehemu. Kwanini hamtaki kumuacha apumzike kwa amani? Miaka zaidi ya 4 imepita. Mnatakiwa kusahahu na muendelee na maisha. Life have changed don't live in the past. Ishi kama maisha ya sasa yalivyo. Utakufa kwa stress siku zi zako.


TUENDELEE NA BATTLE
 
Huyo Magu aliwadanganya sana nyie baadhi ya Watanzania ambao ni wajinga kama nyie

KAMA ANGEWEZA KUANZISHA DINI YAKE BASI LEO ANGEKUWA NA WAFUASI WENGI MATAHIRA KAMA NYIE NA MNGEMUITA MUNGU
Sisi darasani tulikua watu 12 tu tangu form one na darasa ni moja, na darasa la mbele yetu walikuwa watu 8. Jifunze nini maana ya hili.

Si wewe si ulikuwa Mungu stendi ya mabasi Ubungo?
 
Ikiwa kama miaka mitatu imekata miradi aliyoiacha msukuma bado aijaisha nadhani wenye akili timamu watanielewa miradi inahitaji muda hata yeye angekuwepo ingekamilika kulingana na muda husika wa miradi.
 
Mkuu miradi mingi inakamilika Sasa hivi sababu Samia ameamua kukamilisha ila magu alianzisha miradi mingi ili apige na ndio maana karibia miradi ya ujenzi ununuzi wa ndege vyote vilikuwa chini ya ofisi yake ili iwe rahisi kupiga.
Reli imeisha ila kwanini toka 2022 tulishindwa kuanza dalili ni kuwa alikuwa hajamlipa mkandarasi
Bro embu acha mihemko
 

View: https://youtu.be/CAe_1eN8VAM?si=4w5WYuAZZ-d2JFPZ
Na itambulike hata kikwete angekuwepo madarakani ingejengwa tu

Kama ingejengwa ingekua ni jointed rail na ya diesel locomotives kams Kenya.
Maana mpango wa SGR ulikua wa East Africa na ilikua ijengwe kote kama iliyojengwa Kenya.
Ila Magufuli ameleta utofauti anafaa apongezwe.
Samia ni kama Kikwete huwa hawajui kitu kinaitwa ufanisi.
Ona hata viti vya EMU vilivyowekwa ushuzi mtupu.
 
Kama ingejengwa ingekua ni jointed rail na ya diesel locomotives kams Kenya.
Maana mpango wa SGR ulikua wa East Africa na ilikua ijengwe kote kama iliyojengwa Kenya.
Ila Magufuli ameleta utofauti anafaa apongezwe.
Samia ni kama Kikwete huwa hawajui kitu kinaitwa ufanisi.
Ona hata viti vya EMU vilivyowekwa ushuzi mtupu.
Kwenye ufanisi tueleze barabara unayoijua weye aliyojenga magu akiwa raisi ambayo Iko katika standard za kimataifa Mimi nakupa ya kikwete iyovi- mafinga miaka zaid ya 10 Bado Haina mashimo
 
Back
Top Bottom