Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,993
Kipindi brt inatengenezwa kivukoni ziliruhusiwa bus za uda tu na route ilikua kivukoni mnazi mmoja,chini ya kisena na inavyodaiwa na mtoto wa kigogo mmoja,aisee kinamama wauza samaki na wakazi wa kigamboni kipindi kile waliteseka sana,jamaa walipiga hela ile route balaaLeo tuna mpaka umeme wa ziada, ukiachilia mbali kujitoa kwenye makali ya mgao. Leo tuna high speed trains, Kikwete na genge lake, kwa sababu ya low IQ, walitaka kujenga ya diesel.
Umesahau familia yao walijimilikisha stendi ya Ubungo, na hata choo hawakujenga?