Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

daraja limefunguliwa 2022 sasa niambie magu alifariki mwaka gani na daraja lilifika asilimia ngapi kama sio over 85%

alaf leo munakuja hapa kuongea pumba 😂
Alifungua nani na baada ya nani kukamilisha ujenzi?

Usitusumbue,hakuna kitu Mwendazake alikamilisha Kwa miaka yake 5.5

View: https://x.com/TanzaniaYaMama/status/1817558841568932110?t=0_swK51VCsAbVlVGGLi2qQ&s=19
Screenshot_20241106-091938.jpg
 
bila ubabe wake huu mradi mungeusikia kwa jirani 😂😂😂 alaf leo munakuja kuongea pumba hapa na kutunisha misuli

magu was a real fighter 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Huu mradi kuja Tz push ilitoka TOTAL wenyewe kwasababu mbali mbali
1. Total wanalo eneo la uchimbaji oil upande wa DRC na Tz kwenye lake Tanganyika hivyo itawasaidia connection to EACOP.
2. Cost ya mradi especially land acquisition in Tz is way cheaper and fast compared to Kenya hivyo muda wa project kuwa mfupi.
3. Upande wa Kenya terrain sio rafiki na hakuna njia ambayo ingetumika kusafirishia mabomba na mitambo ya mradi along the pipeline route unlike Tz pipeline iko sambamba na reli na barabara.
4. Pipeline ingepita Kenya ingekuwa prone to terrorist attacks not far from Somalia and Al Shabaab.
5. Operation cost ya pipeline kwa upande wa Tz ni cheaper from Singida to Tanga hakuna haja ya pumping ni gravity flow mpaka port.

Hizo ndio sababu kuu za huu mradi kuja Tz ni shinikizo la TOTAL kwa serikali ya Uganda na sio kiongozi yeyote wa kisiasa bali viongozi walihusika na facilitation tuu ya maamuzi hayo ya TOTAL.
 
Huu mradi kuja Tz push ilitoka TOTAL wenyewe kwasababu mbali mbali
1. Total wanalo eneo la uchimbaji oil upande wa DRC na Tz kwenye lake Tanganyika hivyo itawasaidia connection to EACOP.
2. Cost ya mradi especially land acquisition in Tz is way cheaper and fast compared to Kenya hivyo muda wa project kuwa mfupi.
3. Upande wa Kenya terrain sio rafiki na hakuna njia ambayo ingetumika kusafirishia mabomba na mitambo ya mradi along the pipeline route unlike Tz pipeline iko sambamba na reli na barabara.
4. Pipeline ingepita Kenya ingekuwa prone to terrorist attacks not far from Somalia and Al Shabaab.
5. Operation cost ya pipeline kwa upande wa Tz ni cheaper from Singida to Tanga hakuna haja ya pumping ni gravity flow mpaka port.

Hizo ndio sababu kuu za huu mradi kuja Tz ni shinikizo la TOTAL kwa serikali ya Uganda na sio kiongozi yeyote wa kisiasa bali viongozi walihusika na facilitation tuu ya maamuzi hayo ya TOTAL.
Exactly!
 
Huu mradi kuja Tz push ilitoka TOTAL wenyewe kwasababu mbali mbali
1. Total wanalo eneo la uchimbaji oil upande wa DRC na Tz kwenye lake Tanganyika hivyo itawasaidia connection to EACOP.
2. Cost ya mradi especially land acquisition in Tz is way cheaper and fast compared to Kenya hivyo muda wa project kuwa mfupi.
3. Upande wa Kenya terrain sio rafiki na hakuna njia ambayo ingetumika kusafirishia mabomba na mitambo ya mradi along the pipeline route unlike Tz pipeline iko sambamba na reli na barabara.
4. Pipeline ingepita Kenya ingekuwa prone to terrorist attacks not far from Somalia and Al Shabaab.
5. Operation cost ya pipeline kwa upande wa Tz ni cheaper from Singida to Tanga hakuna haja ya pumping ni gravity flow mpaka port.

Hizo ndio sababu kuu za huu mradi kuja Tz ni shinikizo la TOTAL kwa serikali ya Uganda na sio kiongozi yeyote wa kisiasa bali viongozi walihusika na facilitation tuu ya maamuzi hayo ya TOTAL.
Ndivyo unavyofikilia, hasingekuwa Magu bomba lingepita Kenya. Jua hivyo.
 
Back
Top Bottom