Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know the number of affordable housing going on Kenya currently? Do you know the number of small stadiums being built in Kenya currently? Kasarani inajengwa na pesa yako ama? Talanta ni pesa yako? Na Nyayo pia inakuwa renovated na pesa yako? Extension of commuter rail Ngong’ inafanya kwa pesa yako ama? Konza inajengwa kwa pesa yako?
Renovation of these stadiums are enabled by loans. Your government is flat broke.
 
Duh! Kweli nyie ni shida kuelewa vitu. Why usijielimishe kidogo?
Huwa mnatumia hilo neno kujielimisha kiholelaholela hadi limekosa maana. Kama juzi nikapiga picha ya Barabara mbovu Moshi nikapost, Mvumbistan mwengine ananiambia eti nijielimishe eti Barabara hiyo ilishaapigwa lami. Yani mimi nipo hapo naona vumbi yeye ako Manzese ananiambia nijielimishe. Kitu kinaonekana wazi nijielimishe Nini bradhee?🤣🤣

Hii hapa Google image ya hilo eneo, 100% ushagoo, yet linahesabika as part of the 1500 sq. Km mnayoshinda mkitamba nayo humu alafu unaniambia nijielimishe. Kwa lipi?🤣🤣☺️
Screenshot 2024-10-05 193326.png
 
If umesoma majibu yangu kwa menzako utakuta nimesema maeneo yaliyo over 30km from CBD. While kwenu ushatoka tayari Nairobi.
Ni kama hujui kusoma. Nimekueleza CBD yetu iko katikati mwa jiji, yenu ipo pembeni mwa jiji. Nini huelewi?
Anyway, ukitaka 30km from Jiji hii hapa.

Screenshot 2024-10-05 193618.png

Nikizoom unapata hii. Kumbuka distance is from the center of the city, sio pembeni kama huko kwenu.

Screenshot 2024-10-05 193655.png
 
Mnaiba mpaka jina la Rongai! Eti Ongata Rongai!
Rongai ni jina la Kimaasai. Lipo eneo zote zilizo na Wamaasai. Hapa Kenya kuna Rongai mbili, ya Nairobi na ya Nakuru na zote zimedevelop kuliko hiyo Rongai yenu ya mpakani. Alafu kama ushawai tembea Rongai ya kwenu ukiteremka from Kenyan border ukielekea kuna mahali panaitwa Enkare Nairobi na husikii tukipiga kelele. Shida yenu mnapenda kuwa victims hadi mtu akipumua mnasema amewaibia concept ya kupumua. 😂 😂
 
Prove kwa flight data ndege ya raisi ikiwa Nairobi au toa proof yoyote zaid ya hearsay za mtandaoni

View: https://youtu.be/0qS_D_k4KWk?si=ijZIERmJcQ3TTXbY

In terms of what ? Tanzania economy Iko diversified, wakati Nairobi viwanda karibia vyote vimelazimishwa kujenga Nairobi, Tanzania ujenzi wa viwanda vipya vyote uko njee ya dar.
Hata hiyo Marco polo mnayoisifia wanafikiria kukimbilia dar es salaam kwa sababu Kenya imeonekana hamna uwezo wa kununua hayo magari, pamoja uwepo wa assembling yake AVA , Bado mmeshindwa kumeet Ile minimum quantity ya units zinazoweza pelekea faida.
Wakati kwa mwezi September Kuna units zaid 100 za mabus zilizonunuliwa kwa tz, Kenya bus companies hakuna hata units 30 kwa nchi nzima

Sasa unasema viwanda vyote Kenya vipo Nairobi alafu unataja AVA na Marcopolo. AVA ipo Mombasa wee fala. Unadhani Kenya ni one city state kama Vumbistan. 😂 😂 😂
 
Huwa mnatumia hilo neno kujielimisha kiholelaholela hadi limekosa maana. Kama juzi nikapiga picha ya Barabara mbovu Moshi nikapost, Mvumbistan mwengine ananiambia eti nijielimishe eti Barabara hiyo ilishaapigwa lami. Yani mimi nipo hapo naona vumbi yeye ako Manzese ananiambia nijielimishe. Kitu kinaonekana wazi nijielimishe Nini bradhee?🤣🤣

Hii hapa Google image ya hilo eneo, 100% ushagoo, yet linahesabika as part of the 1500 sq. Km mnayoshinda mkitamba nayo humu alafu unaniambia nijielimishe. Kwa lipi?🤣🤣☺️
View attachment 3116210
Chagua nchi yako ipo wapi?

1728147709676.png
 
Back
Top Bottom