Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pole kwa hasira nyinyi bado endeleeni kukaa kwa nyasi mkitazama football matches😂😂
KMC Stadium - Mwenge Dar es salaam kipo na Taa. Watu wanaweza cheza usiku.

1728126429521.png
 
Wacha nikifika kwenye laptop nitakuprove wrong. Alafu ukumbuke Dar ni coastal city. CBD ipo pembeni mwa jiji. Nairobi ni inland city, CBD ipo katikati mwa jiji. Ukipima distance from CBD Nairobi Hadi mwisho wa built up area, hiyo ni nusu ya length ya jiji. Ukipima distance ya Dar from CBD Hadi mwisho wa built up area, hiyo ni total length ya jiji. Tafakari hilo.
Hivi unajua maana ya CBD kweli wewe?
 
Kujielimisha kitu gani? Anayefaa kujielimisha hapa ni wewe na vilaza wenzako.


Eneo anayozungumzia ni Buuni and surrounding areas (south of Dar) na ndio hii hapa.
View attachment 3115996
Do you see any form of development in that area? It's totally deserted with no houses or road network na ipo Dar es Salaam. Kila mnapotaja ukubwa wa Dar, mkumbuke Buuni and many such places is part of that ukubwa
Sijaona tatizo la kitu unachotafuta justification.
Picha hii hapa chini watu wanaishi humo 👇 👇 👇 🤣 🤣 🤣

1728126604012.png
 
Bro, there is an area south of kigamboni within Dar Boundaries that is pure rural area. The area is about half the size of Dar. Hiyo 1500 sq.km mnayoshinda mlitupigia kelele humu nusu yake ni mashamba.
It's called Buuni. Pure rural. Hata kwetu nyumbani ni afadhali kuliko Buuni, Chanika na Mvuti
 
KMC Stadium - Mwenge Dar es salaam kipo na Taa. Watu wanaweza cheza usiku.

View attachment 3116002
Kama kawaida yenu watu wanakalia mbao😂😂🤣.

Alafu mbona unatuonyesha Stadiums za 2,000 capacity? Umeniona kama nimeweka Bomu Stadium yet Bomu is bigger than that grazing field😂😂

Bomu also has seats na watu hawakali mbao😂😂🤣👇👇
1728126844837.jpeg

1728126957312.jpeg

1728126985668.jpeg
 
Kama kawaida yenu watu wanakalia mbao😂😂🤣.

Alafu mbona unatuonyesha Stadiums za 2,000 capacity? Umeniona kama nimeweka Bomu Stadium yet Bomu is bigger than that grazing field😂😂

Bomu also has seats na watu hawakali mbao😂😂🤣👇👇
View attachment 3116007
Hizo taa siyo za footbal ni za sherehe za matamasha ya mziki.

In Kenya there is no stadium with lights to play football


1728127023258.png


🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇

1728127170323.png
 
Stadiums in Kenya with a capacity of over 10,000 spectators.

Kasarani
View attachment 3115971

Nyayo
View attachment 3115928
Masinde Muliro(under construction)
View attachment 3115926

Kisumu Stadium
View attachment 3115946
View attachment 3115963
Bukhungu Stadium
View attachment 3115964
Wang’uru Stadium
View attachment 3115921
Kirigiti Stadium
View attachment 3115918

Raila Odinga Stadium
View attachment 3115949
Ulinzi Stadium
View attachment 3115923
View attachment 3115924
Machakos Stadium
View attachment 3115951
GusII Stadium

Afraha Satdium
View attachment 3115960
Dandora Stadium
View attachment 3115925

Kinoru Stadium
View attachment 3115980
1728127671628.png

data zinasema hivyo, mfano afraha capacity yake ni 8000 wewe unasema ni 10,000 leta evidence ya maandishi sio maneno
 
Back
Top Bottom