Tulipowaambia Golden Dragon ni mabasi ya ovyo mlitupigia makelele humu, kumbe nanyi pia mnatusikiliza? Najua pia hizo Yutong na Higer kindanindani mnajua ni ovyo. Mtakuja kukiri tu ni muda tunawapea.
Yamekuwa ya ovyo kwa sababu management yao ilikuwa mbovu sio kwamba mabasi hayafai kabisa.
Wao basi likiharibika walikuwa wanayapark hawafanyi service. Ndo maana viongozi wengi wa BRT system wamefukuzwa.
But all in all yamefunction kwa muda sasa almost 9 years non stop.
BRT Dar itakuwa na magari aina yote kutegemea na investor na choice zake tho we prefer GNV buses
Tanzania is a developing country and we develop our country together (sio nyinyi ukabila umewajaa...mtu ni kiongozi lakin anachukiwa tu kwa kabila lake hata kama ana point na ana good leadership style. You can't stand as one to develop a nation ndo maana gap za watu kufanya corruption ni kubwa)
Mambo mengi ya BRT system yanasolviwa with time.
Tumelalamika BRT station za BRT 2 kujengwa vibaya yes BRT 3 hawarudii makosa,
Tumesuggest waondoe matuta kwenye BRT system. Yes BRT 2 haina bumbs hata moja ni Automatic traffic control systems zimewekwa
Tumesuggest waongeze mabasi kupunguza congestion during rush hours...yes We expect 200+ buses using gas to be in Dar this December
Another great thing tumesuggest matumizi ya card yarudishwe...yes now we scan and go
And yesterday nimeongea na mkuu mmoja wa Jiji akasema hizo Bajaji na bodaboda ni temporary kwa sababu ya mass construction ya BRT in Dar hata wenyew wanajua. Construction zikiisha Bajaji zitaondolewa kwenye main roads
That's how we develop together as the country.