Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe wewe kilaza kweli ni moving hospital ndio ila unalipa. Sasa kama alilipa au alitumia bima kulipia hiyo hospitali inayotembea ili imfikishe Nairobi, lazima Kuna stakabadhi ya malipo , wekeni stakabadhi za malipo, ila ukija huku utakuta details pale mzena kuwa alilazwa na inajulikana kabisa magufuli alikuwa anatumia pace makers , details zote zipo na hata kama alisafirishwa siku husika ukitrack ndege ya raisi utakuta details zote. Sasa nyinyi leteni hapa
Ebu weka hizo details za mzena tuone kama kweli Magufuli alilazwa hapo😂😂😂😂

The day Magufuli came to Kenya. Someone traced this flight but by that time we didn’t know it was Magufuli.

February 2021, the day Magufuli came to Kenya.

View: https://x.com/jmollel/status/1362313376072949768
 
Kama kawaida yako umeingilia story bila kujua penye imetokea. Kama SGR ya Kenya sio ya Kenya basi ya Tanzania pia sio ya GOT. Both are loans😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

sisi baadhi ya phases tumejenga kwa pesa yetu ndio maana unaona TRC ndio inaendesha SGR

haya niletee ushahidi kenya SGr inaendeshwa na KENYA RAILWAY 😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

sisi baadhi ya phases tumejenga kwa pesa yetu ndio maana unaona TRC ndio inaendesha SGR

haya niletee ushahidi kenya SGr inaendeshwa na KENYA RAILWAY 😂😂😂
Hakuna phase mjenga kwa pesa yenu hata moja. Nenda ukadanganye watoto 😂😂
 
Mbona tukope? Yet kuna mwenye anataka kutumia pesa zake?

Mkopo every Kenyan will pay, PPP will be paid by only those people using the airport. Mbona usumbue mtu wa Turkana to pay for JKIA yet hata hajaikanyaga huko? Anyway I don’t expect you to know such since you are always stupid😂😂
so munaandamana ya nn sasa adani kupewa airport aimiliki kwa miaka 30 kwann munaandamana na kuchoma vitu na kuuwana???😂😂😂😂😂

eti PPP nioneshe sehemu kenya imetoa a single bob kwnenye talanta stadium 😂😂
 
Hakuna phase mjenga kwa pesa yenu hata moja. Nenda ukadanganye watoto 😂😂
phase one imejengwa kwa pesa yetu, phase 5 imejengwa kwa pesa yetu na phase 4 imejengwa kwa pesa yetu 😂😂😂

najua inawauma ila vumilia tu😂😂😂 ndio maana mkandarasi tunakuajiri sisi yoyote haya ww nioneshe SGR ya kenya imejengwa na kampuni nyingine tofaut na mchina nifunge acc sahiii
 
haya niletee ushahidi kenya SGr inaendeshwa na KENYA RAILWAY 😂😂😂
90% of Kenyan SGR is operated by Kenyans, by around March next year it will be 100%.😂😂🤣👇👇

1728116739217.png
 
so munaandamana ya nn sasa adani kupewa airport aimiliki kwa miaka 30 kwann munaandamana na kuchoma vitu na kuuwana???😂😂😂😂😂

eti PPP nioneshe sehemu kenya imetoa a single bob kwnenye talanta stadium 😂😂
Nionyeshe penye mchina katoa hata shilingi kwenye Talanta stadium. Nimekaa pale Nangoja😂😂
 
so mchina anajenga bure au sio 😂😂😂

yani ww unatuona wote humu sisi wajinga ikiwa mpaka leo hamujui thamani ya talanta mutakuja ambiwa baadae 😂😂😂
Wanalipwa kujenga.

Talanta is $350M, kama hujui unadhani wote hatujui?😂😂😂.

Alafu wacha nikulize kitu, kama Talanta ni yao, why are those Chinese being supervised by KDF?😂😂😂
 
Wanalipwa kujenga.

Talanta is $350M, kama hujui unadhani wote hatujui?😂😂😂.

Alafu wacha nikulize kitu, kama Talanta ni yao, why are those Chinese being supervised by KDF?😂😂😂
yani ukipata sehemu kenya imetoa single bob kujenga talanta mm nafunga acc forever mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂

yani hii nakuhakikishia 😂😂😂😂😂

kama si yap basi musiite PPP kama mulivodanganywa kwenye expressway 😂😂
 
yani ukipata sehemu kenya imetoa single bob kujenga talanta mm nafunga acc forever mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂

yani hii nakuhakikishia 😂😂😂😂😂
Na ukipata penye Mchina katoa hata shilingi mimi pia nafunga account. Unalazimisha Talanta stadium iwe Mchina lakini unashindwa😂😂🤣
 
So affordable housing sio mradi? Because of affordable housing places like Machakos and Homabay will now boast of 12 buildings of over 10 floors each.
wacha ujinga wewe 2b usd kwa miezi minne we mzima kweli ???😂😂😂😂😂
 
Na ukipata penye Mchina katoa hata shilingi mimi pia nafunga account. Unalazimisha Talanta stadium iwe Mchina lakini unashindwa😂😂🤣
ukhehkhekhekehekhekhekehekehe unless hujui maana ya PPP 😂😂😂😂😂

ulitegemea adani asaini PPP alaf pesa atoe ruto au???

au ulitegemea china ajenge talanta kwa PPP alaf pesa atoe gachagwa
 
Expressway
SGR
Lamu Port
Several roads
Several hospitals
Several schools
Several manufacturing companies
Several IT companies
Sgr not complete
LAMU port- mpaka Sasa ndani ya mwaka mzima haijapokea meli zaidi ya 14 na ukienda vessel tracker kwa siku 30 zijazo hakuna meli itapita pale ila mtwara Kuna meli 4 zinapakia.
Expressway kuwa specific zipi?
Hospitals,schools,it co, roads kuwa specific zipi .

Tanzania
Sgr
Dar - dodoma 500km complete
Makutupora-tabora= 45%complete
Tabora-isaka 27%complete
Isaka-mwanza 67%complete
Tabora -kigoma 17%complete
Uvinza-burundi = procurement stage.
Ports = expansion ya tanga,mtwara na dar port imefanyika na zote kwa Sasa zinapokea meli na hata ukitrack Leo Kuna meli, mind you dar port imeshachukua 17% ya mzigo wa Mombasa port.
Roads= brt ,2,3,4 zinasubiria mabasi, barabara mbinga- songea, chunya- mbeya, tabora - manyoni, kigoma tabora, pangani -dar kwa uchache
Hospitali mind hapa hata tukija kwenye idadi ya public hospitals in Kenya hazifiki 60 narudia public hospital. Kwa kazi rahisi tu Kila halmashauri kwa Sasa Ina public hopsital, Kuna halmashauri 189 Bado hospitali za Kanda, rufaa na special.
Manufacturing kwanza nikuvutie mkeka wa viwanda vinavyojengwa Tanzania naona Bado hamna taarifa
 
wacha ujinga wewe 2b usd kwa miezi minne we mzima kweli ???😂😂😂😂😂
Do you know the number of affordable housing going on Kenya currently? Do you know the number of small stadiums being built in Kenya currently? Kasarani inajengwa na pesa yako ama? Talanta ni pesa yako? Na Nyayo pia inakuwa renovated na pesa yako? Extension of commuter rail Ngong’ inafanya kwa pesa yako ama? Konza inajengwa kwa pesa yako?
 
Back
Top Bottom