Huwa mnatumia hilo neno kujielimisha kiholelaholela hadi limekosa maana. Kama juzi nikapiga picha ya Barabara mbovu Moshi nikapost, Mvumbistan mwengine ananiambia eti nijielimishe eti Barabara hiyo ilishaapigwa lami. Yani mimi nipo hapo naona vumbi yeye ako Manzese ananiambia nijielimishe. Kitu kinaonekana wazi nijielimishe Nini bradhee?🤣🤣
Hii hapa Google image ya hilo eneo, 100% ushagoo, yet linahesabika as part of the 1500 sq. Km mnayoshinda mkitamba nayo humu alafu unaniambia nijielimishe. Kwa lipi?🤣🤣☺️
View attachment 3116210