Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Weka ushahidi basi?

Maana ukigoogle tu Kenya SGR unakuata kila taarifa ya mchina kufund kujenga, kusaidia etc na Debt burden.

Na unakuta ni $3bn Kenya Most expensive infrastructure na imeishia porini huku mchina akikusanya pesa zake za madeni.

While Kuna JNHPP $3bn full funded by GOT (Ukibisha lete kabisa na Ushahidi kijana) wala hatuwazi sana.

SGR ipo $30bn still GDP Surplus inasoma positive na inatoboa Tabora, Shinyanga, Mwanza.

Nyie baada ya SGR tu Kenya imekua Nchi yenye deni kubwa la China Africa.
a umesahau kuwa mchina bado anaiendesha reli hataa baada ya miaka kumi toka imalizike
 
kwamba hapa tukiwaambia TANESCO walipe deni kwa makusanyo yao, wanamaliza tu
Unajiuliza mwingine imegeuka Debt burden mpaka wanaandamana kisa kodi inaongezeka kuwa kubwa kulipa hizo deni.

Ila kwa mwingine hizo hizo pesa amezitoa mfukoni kujenga Dam kubwa, huku pembeni anatoa Cash Kununua Ndege mpya mpya, upande ule watoto wanaingia Shuleni bure, upande mwingine kuna SGR inajengwa, BRT zinatandazwa, huku yupo anahamishia office Dodoma.

Kuna Donor kichaa wa kufanyia Africa hivyo imagine total ni $50bl kuna nchi ya Africa inaweza himili $50bl debt? Huku GDP yao ni $75bn na awe na Surplus ya GDP kumzidi mwenye $115bn?
 
😂😂😂 Bigger ya nyoko
Hata upige kelele aje that’s the truth😂😂



1728134328121.png
 
Unajiuliza mwingine imegeuka Debt burden mpaka wanaandamana kisa kodi inaongezeka kuwa kubwa kulipa hizo deni.

Ila kwa mwingine hizo hizo pesa amezitoa mfukoni kujenga Dam kubwa, huku pembeni anatoa Cash Kununua Ndege mpya mpya, upande ule watoto wanaingia Shuleni bure, upande mwingine kuna SGR inajengwa, BRT zinatandazwa, huku yupo anahamishia office Dodoma.

Kuna Donor kichaa wa kufanyia Africa hivyo imagine total ni $50bl kuna nchi ya Africa inaweza himili $50bl debt? Huku GDP yao ni $75bn na awe na Surplus ya GDP kumzidi mwenye $115bn?
Ikiwa debt za $1bn tu unasikia uwanja wa ndege mara port imeenda.

$50b inakuwaje huku uliyemkopesha yupo busy na sheria za kuwabana kwenye natural resources?
 
Ipeleke acha kelele kusanya pesa zote ongezea na msaada wa chakula pamoja na dawa za TB pelekea Azam asafishe na hela zake za Entertainment.
Hela za Azam hata haziezifikia za Royal Media Group ya Kenya😂😂🤣😂
 
Sasa Sports na Oil storage ni wapi na wapi? Umeishiwa vile unaezanijibu ama?
Acha kukimbia si tulianzia kwenye loans etc ulikua unajaribu kuprove mna msuli wa kufundi miradi kisa kutegea hizo bn kwenye sports, since june hamna kitu, ndio nakuoonesha msuli ulivyo.
 
Back
Top Bottom