Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes, Thika ni Nairobi Metropolitan. Same as Kitengela, Rongai and Limuru. Those are areas that are almost 40km away from CBD.
thika iko ndani ya kiambu county au unataka kunidanganya mm sasa??😂😂

hata rongai iko ndani ya kajiado county na mukiambiwa nairobi ni ndogo sana munaksirika😂😂😂😂
 
Yes, Thika ni Nairobi Metropolitan. Same as Kitengela, Rongai and Limuru. Those are areas that are almost 40km away from CBD.
20241005_071647.jpg

We bwege hamna akili
 
thika iko ndani ya kiambu county au unataka kunidanganya mm sasa??😂😂

hata rongai iko ndani ya kajiado county na mukiambiwa nairobi ni ndogo sana munaksirika😂😂😂😂
Najua huelewi what metropolitan is, metropolitan is not county wewe Yemeni fool😂😂

As you can see the metropolitan entails parts of Kiambu(Thika, Kiambu, Ruiru, Limuru), Kajiado (Rongai, Ngong and Kitengela), Machakos( Athi River and Syiokimau).👇👇👇
1728112861081.png
 
sindio maana hamuna hata pesa ya ku renovate JKiA leaking roof 😂😂😂😂

pesa ya kujeng a single km ya road pia hamuna munakopa mpaka pesa za mishahara na kula 😂😂😂😂😂
Kwani nyinyi mko na pesa? Airports zenu zote mmjengwa kwa mikopo😂😂🤣🤣
 
Nairobi Hospital.
Prove kwa flight data ndege ya raisi ikiwa Nairobi au toa proof yoyote zaid ya hearsay za mtandaoni

View: https://youtu.be/0qS_D_k4KWk?si=ijZIERmJcQ3TTXbY
And still Nairobi is 3 times wealthier than Dar is slum.
In terms of what ? Tanzania economy Iko diversified, wakati Nairobi viwanda karibia vyote vimelazimishwa kujenga Nairobi, Tanzania ujenzi wa viwanda vipya vyote uko njee ya dar.
Hata hiyo Marco polo mnayoisifia wanafikiria kukimbilia dar es salaam kwa sababu Kenya imeonekana hamna uwezo wa kununua hayo magari, pamoja uwepo wa assembling yake AVA , Bado mmeshindwa kumeet Ile minimum quantity ya units zinazoweza pelekea faida.
Wakati kwa mwezi September Kuna units zaid 100 za mabus zilizonunuliwa kwa tz, Kenya bus companies hakuna hata units 30 kwa nchi nzima
 
thika iko ndani ya kiambu county au unataka kunidanganya mm sasa??😂😂

hata rongai iko ndani ya kajiado county na mukiambiwa nairobi ni ndogo sana munaksirika😂😂😂😂
Ikifika kwa New York u anaongelea development lakini ikifika kwa Nairobi hapo ndio sasa u Ayala kuongelea size?😂😂😂.

For your information Nairobi is more developed than Dar by far.
 
Prove kwa flight data ndege ya raisi ikiwa Nairobi au toa proof yoyote zaid ya hearsay za mtandaoni
Magufuli aliletwa na AMREF hadi Wilson airport😂😂😂🤣. Yani hata hamjui the last moments of Magufuli.

Nakumbuka hiyo siku government ilikata stima nchi nzima after the plane have landed just to keep the whole thing secret.
 
90% ya walioshikiria hiyo pesa ni wanasiasa tofauti na Tanzania ambapo almost Kila mtu anachangia kwa upande wake.
Sasa kama mtu anaweza akaiba Hela ya ujenzi wa barabara au ujenzi kiwanja Cha mpira na akapaka rangi atashindwa kuwa tajiri.ukitaja matajiri wenye 1mil USD kwa Kenya 90 %ni wanasiasa ila ukija Tanzania haohao matajiri utakuta ni watu ambao hata siasa hawazijui
 
90% ya walioshikiria hiyo pesa ni wanasiasa tofauti na Tanzania ambapo almost Kila mtu anachangia kwa upande wake.
Unasahau Tanzania ndio Ina watu maskini wengi Africa Mashariki?😂😂

Tanzania millionaires are 0.05% while the poor are 80%. 19.95% wako katikati.
 
Back
Top Bottom