Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Malls show the middle class inhabitants purchasing power
There is no developed city without a mall come on!
Mido klas ikilioneshea Tikitimaji pachesing pawa!

1728136540095.png
 
Ziko wapi mzee?

Kwamba yenu iliyoishia machakani kisa kukosa maokoto ndio muweze fund ya bongo.

Hebu rudia kuipost hiyo source tukufundishe kitu.
mpaka hapo walipofikia hawana uwezo wa kuendelea , hela ya kufikisha malaba hawana , walienda kuomba kwa mchina kawachomolea. mchina ameona kuwa tz sgr ikifika mwanza na bandari za Tanzania zote zikaanza kufanya kazi kulingana na upanuzi unaondelea, uhakika wa kurejeshewa hela yake haupo, hivyo basi kaamua kuikumbuka TAZARA . kenyan sgr haitafika malaba afe kipa afe beki
 
mpaka hapo walipofikia hawana uwezo wa kuendelea , hela ya kufikisha malaba hawana , walienda kuomba kwa mchina kawachomolea. mchina ameona kuwa tz sgr ikifika mwanza na bandari za Tanzania zote zikaanza kufanya kazi kulingana na upanuzi unaondelea, uhakika wa kurejeshewa hela yake haupo, hivyo basi kaamua kuikumbuka TAZARA . kenyan sgr haitafika malaba afe kipa afe beki
Labda mmarekani akiwasaidia ila Mmarekani hapatani na Uganda ngoma ngumu.
 
Labda mmarekani akiwasaidia ila Mmarekani hapatani na Uganda ngoma ngumu.
Marekani anaangalia , atawekeza kenya ili asafirishe nini? kuna mzigo gani wa uhakika atapata kutoka kenya? ila kwa upande wa tanzania kuna cobalt na nickel kule kabanga-kigoma na burundi ambayo ndo inatafutwa kwa wingi kwa ajili ya betri za magari ya umeme.
kuna chuma liganga
 
Marekani anaangalia , atawekeza kenya ili asafirishe nini? kuna mzigo gani wa uhakika atapata kutoka kenya? ila kwa upande wa tanzania kuna cobalt na nickel kule kabanga-kigoma na burundi ambayo ndo inatafutwa kwa wingi kwa ajili ya betri za magari ya umeme.
kuna chuma liganga
Non NATO Ally mzee 😅😂😂

Ila hawa jamaa Ego inawaharibu.
 
Back
Top Bottom