Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnakopa kulipa mishahara na kujenga kwa sababu budget yenu Sasa hivi haiwezi himili ulipaji wa mishahara.
Tanzania inakopa kujenga na sio kulipa mishahara.
Tungekuwa tunakopa kwa ajili ya kulipa mshahara hatungekuwa tumewashinda kwa infrastructure. Again remember KRA collects three times the TaX TRA is collecting.
 
Kwa data zipi Tanzania inashikirian80% ya maskini
1728114846652.jpeg
 
Magufuli aliletwa na AMREF hadi Wilson airport😂😂😂🤣. Yani hata hamjui the last moments of Magufuli.

Nakumbuka hiyo siku government ilikata stima nchi nzima after the plane have landed just to keep the whole thing secret.
Kwahiyo AMREF wafiche data kuwa magufuli alikuwa Nairobi ? Kama walikodi ndege za AMREF tulitegemea kuwepo na risit za malipo , basi hata kama Kuna confidentiality, onesheni flight history ya ndege husika iliyomleta badala ya hearsay, kwahiyo unataka kutuambia maneno ya kibaki kufariki kwa kunyimwa unyumba ni kweli
 
Sasa unataka kujiringanisha na Mimi.
Kipato chako kwa siku hakifikii ksh 50000 ila naingiza mara tano yako nani mwenye IQ kubwa Mimi au wewe ambaye umeshindwa kutumia akili ulizo nazo kujitengenezea mamilion
Thanks for proving me right that you have a low IQ. IQ is not measured in terms of income😂😂.

No wonder a research revealed that Tanzanians only use 1% of their brain😂😂.

Alafu wewe ni maskini usitupigie kelele hapa kuhusu mapato malaya hii.
 
Kwahiyo AMREF wafiche data kuwa magufuli alikuwa Nairobi ? Kama walikodi ndege za AMREF tulitegemea kuwepo na risit za malipo , basi hata kama Kuna confidentiality, onesheni flight history ya ndege husika iliyomleta badala ya hearsay, kwahiyo unataka kutuambia maneno ya kibaki kufariki kwa kunyimwa unyumba ni kweli
You really can’t beat the allegation of Tanzanians having low IQ. AMREF sio ya kukodi. AMREF is like a flying hospital for transferring critically ill patients from one hospital or place to another. Sasa ulitaka wa kuonyesha risiti ya kubeba mgonjwa?😂😂

Wewe jamaa ni mjinga sana😂😂😂
 
Tungekuwa tunakopa kwa ajili ya kulipa mshahara hatungekuwa tumewashinda kwa infrastructure. Again remember KRA collects three times the TaX TRA is collecting.
1960 china ilikuwa nyuma kwa Kila kitu 2024 china imezizid karibia nchi zote za ulaya kwa maendeleo.
Sasa tuje kwenu, mnasema mmetuzid infrastructure inawezekana kweli lakini sisi hatuzioni.
Leteni projects zilizokamilika au ambazo zimefanyika ndani ya miaka 5 na sio majengo. Utakuta ndani ya hiyo miaka mitano nyinyi Bado mnaelea tu data zenu , wakati mambo siko kama mnavyochukulia
 
Thanks for proving me right that you have a low IQ. IQ is not measured in terms of income😂😂.

No wonder a research revealed that Tanzanians only use 1% of their brain😂😂.

Alafu wewe ni maskini usitupigie kelele hapa kuhusu mapato malaya hii.
Sasa nani mwenye IQ ndogo, au kwanza nikupe tupe maana fupi IQ ni Ile uwezo wa kuelewa au kutambua mambo, na njia rahisi ni pale mtu anapoweza kuzitumia akili alizonazo au uwezo wa kunyambua mambo kwa mazingira aliyonayo kujitegemeza. Haya mwenzetu mwenye IQ kubwa kwa siku unauwezo wa kuingiza 240,000 ksh.
Ukiwa nao basi una IQ kubwa ila kama huna wewe IQ yako ni ndogo sana maana kwa hujajitambua
 
Najua huelewi what metropolitan is, metropolitan is not county wewe Yemeni fool😂😂

As you can see the metropolitan entails parts of Kiambu(Thika, Kiambu, Ruiru, Limuru), Kajiado (Rongai, Ngong and Kitengela), Machakos( Athi River and Syiokimau).👇👇👇
View attachment 3115827
usiniletee picha ya maigizo nairobi bado sana tena ni ndogo sana hata area yake ukiangalia nusu imebebwa na mapori pamoja na national park 😂😂😂

so thika iko nairobi siku hzi ??😂😂😂😂 yani ww unatuona sisi wote wajinga humu ndani
 
Sasa nani mwenye IQ ndogo, au kwanza nikupe tupe maana fupi IQ ni Ile uwezo wa kuelewa au kutambua mambo, na njia rahisi ni pale mtu anapoweza kuzitumia akili alizonazo au uwezo wa kunyambua mambo kwa mazingira aliyonayo kujitegemeza. Haya mwenzetu mwenye IQ kubwa kwa siku unauwezo wa kuingiza 240,000 ksh.
Ukiwa nao basi una IQ kubwa ila kama huna wewe IQ yako ni ndogo sana maana kwa hujajitambua
You are an idiot. Let me give you an example of milionare with a low IQ in Kenya.


Sonko
Waititu
Joho

Hawa watu are wealthier than 99.9% of Tanzanians yet above 50% of Tanzanians might have a higher IQ than them.

That’s why I’m telling you that you are an idiot.
 
You really can’t beat the allegation of Tanzanians having low IQ. AMREF sio ya kukodi. AMREF is like a flying hospital for transferring critically ill patients from one hospital or place to another. Sasa ulitaka wa kuonyesha risiti ya kubeba mgonjwa?😂😂

Wewe jamaa ni mjinga sana😂😂😂
Kumbe wewe kilaza kweli ni moving hospital ndio ila unalipa. Sasa kama alilipa au alitumia bima kulipia hiyo hospitali inayotembea ili imfikishe Nairobi, lazima Kuna stakabadhi ya malipo , wekeni stakabadhi za malipo, ila ukija huku utakuta details pale mzena kuwa alilazwa na inajulikana kabisa magufuli alikuwa anatumia pace makers , details zote zipo na hata kama alisafirishwa siku husika ukitrack ndege ya raisi utakuta details zote. Sasa nyinyi leteni hapa
 
sasa kwann hamkukopa pesa kujenga JKIA mpaka mumpe adani miaka 30 😂😂

kwann hamkukopa pesa mukajenga talnta mpaka mumpe mchina amiliki sijui 50yrs

nyinyi ni wendawazimu 😂😂😂😂
Mbona tukope? Yet kuna mwenye anataka kutumia pesa zake?

Mkopo every Kenyan will pay, PPP will be paid by only those people using the airport. Mbona usumbue mtu wa Turkana to pay for JKIA yet hata hajaikanyaga huko? Anyway I don’t expect you to know such since you are always stupid😂😂
 
expressway ni yenu??😂😂😂😂
SGR ni yenu mpaka leo mchina anaiongoza miaka zaidi ya 7

hio lamu port another loan white elephant project 😂😂😂😂
Kama kawaida yako umeingilia story bila kujua penye imetokea. Kama SGR ya Kenya sio ya Kenya basi ya Tanzania pia sio ya GOT. Both are loans😂😂😂🤣
 
Kumbe wewe kilaza kweli ni moving hospital ndio ila unalipa. Sasa kama alilipa au alitumia bima kulipia hiyo hospitali inayotembea ili imfikishe Nairobi, lazima Kuna stakabadhi ya malipo , wekeni stakabadhi za malipo, ila ukija huku utakuta details pale mzena kuwa alilazwa na inajulikana kabisa magufuli alikuwa anatumia pace makers , details zote zipo na hata kama alisafirishwa siku husika ukitrack ndege ya raisi utakuta details zote. Sasa nyinyi leteni hapa
Mbona unataka wakuonyeshe? Uonyeshwe wewe kama nani?
 
Back
Top Bottom