Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Wamechelewa, Yanga ili deny hiyo mechi mana wana ratiba nyingi, wajipange mwakani au waombe wakutane na Yanga round ya mtoano kama watamudu kufika huko.
Screenshot_20240804-042202~2.png

Screenshot_20240802-084055~2.png
 
First leg Gor Mahia chased Yanga with proper beatings. Final score was 4-0.

View attachment 3062517
Hahahahaaaa kwa kupost hivi ndo mnadhani mtapata mechi na Yanga? Yanga ilipofika kwa sasa haichezi mechi na timu ndogo ndogo, hatuchezi kwa kujifurahisha tunacheza kwa focus, we unadhani mchezaji kama Aziz Ki aumie kwenye mechi ya ndondo na timu isiyo na malengo unadhani itakuwaje, hakuna mechi mkitaka kuijua Yanga vzr pambaneni mfike mtoano alafu mkutane na Yanga, ila kwa sasa 👇👇😅😅😅😅😅😅😅😅
Screenshot_20240804-042202~2.png
Screenshot_20240802-084055~2.png
 
Hahahahaaaa kwa kupost hivi ndo mnadhani mtapata mechi na Yanga? Yanga ilipofika kwa sasa haichezi mechi na timu ndogo ndogo, hatuchezi kwa kujifurahisha tunacheza kwa focus, we unadhani mchezaji kama Aziz Ki aumie kwenye mechi ya ndondo na timu isiyo na malengo unadhani itakuwaje, hakuna mechi mkitaka kuijua Yanga vzr pambaneni mfike mtoano alafu mkutane na Yanga, ila kwa sasa 👇👇😅😅😅😅😅😅😅😅View attachment 3063244View attachment 3063245
Yanga ni mchumba kwa Gor mahia 👇😂
IMG_20240803_181201.jpg
 
1. Government priorities
Enzi za kikwete Kigamboni, kawe etc ilikua na mambo ya kujenga jenga magorofa.

Magufuli akaja akaona kama pesa zinaenda kusiko na faida huku wanainchi wana kero nyingi. Ndio akazihamishia kwenye miradi ya kimkakati I hope unaijua.

Imagine KIGAMBONI bridge lina Toll, ila all Magufuli bridges hayana Tolls.

So miradi ya nyumba ikasimama only ile ambayo ni more important Magufuli Hostels, Wafanyakazi, Kota za Magomeni.

2. Watu wabishi.

Nikuulize ukiwa na Access ya ardhi ya kujenga Hekalu lako ambalo.utafanya utakavyo utaweza kwenda kwenye apartment ya kulipia au ukinunua kuna watu wa kila aina wengine wanakukera?

Ukizingatia Government za Africa vitu vyao hawaendelezi si kujitia Kaa la moto kununua apartments zao wasizoendeleza.

Nadhani ardhi ingekua changamoto bongo tungekua tunapigia hesabu ya kumiliki apartments ila hesabu yetu ni kumliki mjengo wa kueleweka unalaza gari ukitoka nje unakagua miti, yaani hakuna wa kuleta kelele, Apartments zinakua option incase ukiwa na shughuli mjini sana.

Samia ameifufua Kawe apartments may be anajua anachofanya.

Ila No moja ndio ilifanya tupunguze kujenga maghorofa mengi Dar na apartment.

Mzigo ulihamishiwa DODOMA CITY

Still na huko Dodoma check vizuri watu wanaenda kuangusha mali zao wenyewe.

Binafsi napenda Apartments ila ukiwaza ipo chini ya Government alafu Gov inajulikana haipo serious na miradi yao unawaza ununue au ukae mambo yakichange itakuaje.
Nnimependa ulivyochangia. Hauna mihemko kama wengine wenu humu. Points zako zinasikikika ila ningependa kukukosoa kidogo.

About government priorities, hapo upo sawa. Kila serikali inapoingia inakuja na priorities zake. Huku kwetu, kwa sasa serikali umeweka kipao mbele ujenzi wa affordable houses ila private sector ndio bado wako kwenye mstari wa mbele kudevelop nyumba za kuishi Kenya, which is a sharp contrast na huko kwenu.

Secondly, about building your own house or buying an apartment unit nadhani hauko sawa. How many people in Dar own land? I can guess not even a quarter of the residents do. Which option, therefore, does the remaining three quarter have if not renting or buying an apartment? We need to be realistic here. Dar has six million residents. Of these, ni watu wangapi wako na uwezo w kununua ardhi na kujenga? Nauliza hivyo Kwa sababu umesema bongo ardhi si changamoto.

Na kama ni kweli an ordinary Dar resident ako na huo uwezo wa kumiliki ardhi na kujenga nyumba Kwa design anavopenda, (what you've christened hekalu) basi uswazi lisingekuwa jambo la kawaida Dar kwa sababu mimi pica za Dar ninazojua na kuziona mitandaoni, zaidi ya nusu ya Dar ni uswazi.
 
Nnimependa ulivyochangia. Hauna mihemko kama wengine wenu humu. Points zako zinasikikika ila ningependa kukukosoa kidogo.

About government priorities, hapo upo sawa. Kila serikali inapoingia inakuja na priorities zake. Huku kwetu, kwa sasa serikali umeweka kipao mbele ujenzi wa affordable houses ila private sector ndio bado wako kwenye mstari wa mbele kudevelop nyumba za kuishi Kenya, which is a sharp contrast na huko kwenu.

Secondly, about building your own house or buying an apartment unit nadhani hauko sawa. How many people in Dar own land? I can guess not even a quarter of the residents do. Which option, therefore, does the remaining three quarter have if not renting or buying an apartment? We need to be realistic here. Dar has six million residents. Of these, ni watu wangapi wako na uwezo w kununua ardhi na kujenga? Nauliza hivyo Kwa sababu umesema bongo ardhi si changamoto.

Na kama ni kweli an ordinary Dar resident ako na huo uwezo wa kumiliki ardhi na kujenga nyumba Kwa design anavopenda, (what you've christened hekalu) basi uswazi lisingekuwa jambo la kawaida Dar kwa sababu mimi pica za Dar ninazojua na kuziona mitandaoni, zaidi ya nusu ya Dar ni uswazi.
Ukisema utafiti wanaomiliki ardhi Dar basi unaweza kuta more than 60% wanamiliki ardhi.
Kwasababu wengine waandishi Dar ila wanajenga Morogoro na Mkoa wa Pwani.
Huwenda labda hujui maisha ya bongo yalivyo,sio kama wakazi wote wa Dar ni wakazi wa kudumu.
Wengine wamepanga vyumba Dar kimakazi ila ana nyumba Morogoro,Kisiju au Bagamoyo.
 
Demands mkuu, nyie kwenu kuna demands ya apartment ila sisi ni tofauti demands ipo kwa nyumba za kumiliki mwenyewe ndio maana makampuni ya Ujenzi na viwanja ni mengi sana.

Private wamehamishia nguvu huko wanakujengea nyumba kabisa unawapa kiwanja unakabidhiwa funguo tu.
Demands mkuu, nyie kwenu kuna demands ya apartment ila sisi ni tofauti demands ipo kwa nyumba za kumiliki mwenyewe ndio maana makampuni ya Ujenzi na viwanja ni mengi sana.

Private wamehamishia nguvu huko wanakujengea nyumba kabisa unawapa kiwanja unakabidhiwa funguo tu.
Na ni nani alikuambia kwamba hauwezi ukamiliki nyumba kwenye apartment? Nairobi apartments nyingi zinazojengwa haswa in Kilimani, Kileleshwa, Westlands, Parklands, Hurlingham, Lavington, South C, na maneno mengi ni za kuuzwa

Unaposema nyumba za kumiliki mwenyewe sijui unamaanisha nini
 
Back
Top Bottom