Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama huoni hiyo ni slum basi una safari ndefu ya kujitambua
Kwamba hii ni slum
images (25) (1).jpeg


Alafu hii hapa tuaambiwe si slum.
manzese-980d6ac6-0f71-4237-b61d-83162fdc3f0-resize-750 (1).jpeg


We must be living in two different worlds
 
Na ni nani alikuambia kwamba hauwezi ukamiliki nyumba kwenye apartment? Nairobi apartments nyingi zinazojengwa haswa in Kilimani, Kileleshwa, Westlands, Parklands, Hurlingham, Lavington, South C, na maneno mengi ni za kuuzwa

Unaposema nyumba za kumiliki mwenyewe sijui unamaanisha nini
Unafeel freedom? Ile freedom ya eneo lote ni lako?

Ukinunua apartment hapo alafu ulete kelele na kero kwa wenzako si unaondolewa?

Huwezi fananisha apartment ambayo mko wengi na kumiliki nyumba+land ambayo ni yako mwenyewe na unafanya utakavyo.
 
Unafeel freedom? Ile freedom ya eneo lote ni lako?

Ukinunua apartment hapo alafu ulete kelele na kero kwa wenzako si unaondolewa?

Huwezi fananisha apartment ambayo mko wengi na kumiliki nyumba+land ambayo ni yako mwenyewe na unafanya utakavyo.
Hata Hawa wanafanya watakavyo. Wanamiliki land na nyumba ndani ya Dar es Salaam
images - 2024-02-05T210932.106.jpeg


You see, these people have their own hekalus as you call it. They own the land and the houses and are very proud of it. They have freedom coz eneo lote ni lao na wanafanya watakavyo.

Green, spacious lawns, lots of tree cover, very minimal interference from neighbours if any and they enjoy all the amenities that come with good living. That's the beauty of being a landowner in Dar and building your dream house that meets your specifications. Doesn't come close to owning a house in an apartment block and this is how it looks like almost everywhere. Life is really good in Dar

Yawn!!!
 
Ukisema utafiti wanaomiliki ardhi Dar basi unaweza kuta more than 60% wanamiliki ardhi.
Kwasababu wengine waandishi Dar ila wanajenga Morogoro na Mkoa wa Pwani.
Huwenda labda hujui maisha ya bongo yalivyo,sio kama wakazi wote wa Dar ni wakazi wa kudumu.
Wengine wamepanga vyumba Dar kimakazi ila ana nyumba Morogoro,Kisiju au Bagamoyo.
Do you have any proof that more than 60% ya watu wa Dar wanamiliki ardhi? Man, you'll have a hard time proving that even 20% of people in Dar own land even if I gave you the whole week to do so.

Secondly, I talked about this thing a while back. Just like you say about Dar, not all people who work or even live in Nairobi are permanent residents. Wengine wako huku kikazi tu ila wako na nyumba zao na kila kitu chao vijijini. Kunao pia wale ambao wamejenga nyumba zao in satellite towns of the Nairobi metropolitan area in places like Syokimau, Rongai, Athi River, Thika, Ruiru and such like places
 
Hii Tabia ya kukana kila kitu iko kwa damu ya watanzania. Ona serikali Yao pia inapinga kujenga hospitali. Hata jina la Hilo hospitali hawajui😂🤣😂

1722979532933.jpeg

1722979566161.jpeg
 
Na ni nani alikuambia kwamba hauwezi ukamiliki nyumba kwenye apartment? Nairobi apartments nyingi zinazojengwa haswa in Kilimani, Kileleshwa, Westlands, Parklands, Hurlingham, Lavington, South C, na maneno mengi ni za kuuzwa

Unaposema nyumba za kumiliki mwenyewe sijui unamaanisha nini
Halafu hawajui likina swali la mansions za kumilikiwa pia zipo nyingi ndani na nje ya Nairobi. Ndani ya Nairobi maeneo kama Karen, Runda, Muthaiga, Utawala n.k ni mansions za kumilikiwa. (Ikumbukwe eneo kama Karen pekee ni kubwa kuliko mitaa yote ya Kifahari Dar combined) Alafu Kuna maeneo nje ya Nairobi kama Kahawa Sukari, Runda ya juu, Kiambu, Syokimau, Ngong, Kiserian, Kitengela, Rongai, Athi River n.k nyumba ziko kibao mansions za kumiliki.
 
Back
Top Bottom