Kwani Rishi Sunak ni Muingereza!?Kwani Mo Dweji ni mtanzania?
Kwani Rishi Sunak ni Muingereza!?Kwani Mo Dweji ni mtanzania?
Wale matajiri watutu Kenya wahindi ni wakenya ??😂😂😂😂Kwani Mo Dweji ni mtanzania?
Hahahahahaaaaa, washaingia kwenye mfumo hawa 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅But Kusema kweli Simba kwenye kuandaa matamasha na mpangilio wa events wako vizuri. Shida ya Yanga ni uswahili, uchawa na uchawi mwingi.
View attachment 3062103
View attachment 3062104
Bro sisi kwa sasa hatushindani na timu yoyote ile EA, tushatoka huko, nyie sio level zetu tena, kama unabisha subiri uone, kwani tarehe 8 mbali basiii, tukiwafunga chini ya goli 4 me naondoka jamiiforums for good 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣But Kusema kweli Simba kwenye kuandaa matamasha na mpangilio wa events wako vizuri. Shida ya Yanga ni uswahili, uchawa na uchawi mwingi.
View attachment 3062103
View attachment 3062104
Kenya hakuna dollar billionaire vumbistan wako watatu. Wana hela swa na nusu ya wanabongolala. Na very soon wanachukua SGR kama ilivyo kwa vivuko 😂😂Wale matajiri watutu Kenya wahindi ni wakenya ??😂😂😂😂
Matajiri watutu Wana pesa sawa na wakenya million 21 😂😂😂😂😂
Kwanza tarehe 8 mbali basiii 😅😅😅😅😅😅😅Tarehe 8 kaka utaongea lugha zote usiwe na wasiwasi 😂😂😂
Duh!! Na wewe umeanza kuwa na mawazo ya Wakenya sasa. Tunaongelea Show ya Jumamosi na Jumapili wewe unaleta hoja tofauti.Bro sisi kwa sasa hatushindani na timu yoyote ile EA, tushatoka huko, nyie sio level zetu tena, kama unabisha subiri uone, kwani tarehe 8 mbali basiii, tukiwafunga chini ya goli 4 me naondoka jamiiforums for good 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani unataka kulinganisha mwananchi day na simba day? Upo serious kweli bro? Mm nilikuwa uwanjani, hebu angalia, kuna timu yoyote duniani iliwahi kufanya hivii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kaka Tarehe nane itafika nayo tutaiongelea. Kwa sasa tunaongea tuliyoyaona. Wanaochenza uwanjani ni wachezaji but kwa events ilivyofanyika hakika yanga hamjawatendea haki mashabiki.
ACHA KUJIFARIJI Badilikeni acheni uchawi na uswahili
Bro mpira unachezwa uwanjani kila mtu anaona, kwa statistics tuliwazidi kila kitu, ni kama walikuja kukamia ili waifunge Yanga lkn sisi ni wakubwa kwa sasa, hatujaanzisha full mkoko na wamepata tabu kweli kweli, ilikuwa lazima tuwafunge mana tuliwazidi kotekote, ila kama huamini subiri na wewe zamu yako inakuja, mm nilikuwa uwanjani niliona jinsi Yanga inavyocheza, kwakweli inastahili kuwa gumzo barani Afrika, wanacheza kama timu ya ulaya aisee, yn shabiki huna wasiwasi kabisaa, nyinyi Simba bado mpo kizamani sn kama timu nyingine za East Africa.Duh!! Na wewe umeanza kuwa na mawazo ya Wakenya sasa. Tunaongelea Show ya Jumamosi na Jumapili wewe unaleta hoja tofauti.
Kinachonishangaza zaidi ni kuhusu Red Arrows mnawafunga kwenye bonanza kwa figisu
Yanga ni timu ya kawaida sana. CAF wanajua hilo. Ndio maana mnaanzia kwenye initial stage.
😀 😀 😀 😀
Halafu hiyo hiyo tarehe 8 nyang'au wanaadamana; eti nao ni nane nane ha ha ha😎Tarehe 8 kaka utaongea lugha zote usiwe na wasiwasi 😂😂😂