Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hii picha liyoleta (which looks like South B to me) unawezalinganisha na uswazi zenu za Dar? Umepagawa?
images (25) (1).jpeg

Hata mpangilio tu wa nyumba unaona Iko sawa na uswazi zenu?
 
Zingine za 1970s ndio hii.
View attachment 3063169
Living in denial as always

TPA nayo haina huruma. Kumbe nayo ilijengwa 1970s?
😂😂😂😂😂Ona ulivyo punguani.
Lile ni ghorofa laweza kuonekana kwa umbali mkubwa hasa ukiwa umechukua AERIAL VIDEO kama hivyo.
Acha ujinga.
Embu tizama Posta ilipokuwepo TPA towers na zamani je zinafanana!?
Yani imechukuliwa aerial view kiasi hadi Ilala inaonekana ukaichomeka na Ilala kuwa ni Temeke Chang'ombe.
😂😂😂😂Temeke ni mji mkongwe kabisa.
 
Tangu TPA imealizike, tumejenga skyscrapers ndefu kuishinda na zishaajaa TPA bado iko pale pale.
Britam, UAP, GTC. 88 pia itakamilika ijae kama TPA ipo pale pale.🤣🤣.
Is it true TPA is half empty?

Na jinsi mibongolalala wanavyopiga kelele huku.

And just to imagine that certain apartments and even office buildings in Nairobi are sold off-plan! Kweli gatuko level Moja. Na bado wanashangaa mbona Nairobi highrise buildings zinachipuka kila siku
 
😂😂😂😂😂Ona ulivyo punguani.
Lile ni ghorofa laweza kuonekana kwa umbali mkubwa hasa ukiwa umechukua AERIAL VIDEO kama hivyo.
Acha ujinga.
Embu tizama Posta ilipokuwepo TPA towers na zamani je zinafanana!?
Yani imechukuliwa aerial view kiasi hadi Ilala inaonekana ukaichomeka na Ilala kuwa ni Temeke Chang'ombe.
😂😂😂😂Temeke ni mji mkongwe kabisa.
Maneno mengi ya nini? SI kila siku mnatubie hapa kwamba nyinyi mnanunua viwanja na kujenga dreamhouses zenu? Iweje leo Tena imekuwa eti hizi nyumba zilijengwa na mababu zenu miaka za sabini?
 
And then they wonder why their government is coming to built a twin tower in Upperhill 😂😂🤣
Demand rules supply. Mbona waijenge Dar na wanunuzi or even tenants hawako. Mifukara watie pesa za kurent wapi?
 
Bongolala, if that was the case, these apartments wouldn't be mushrooming up day and night in Nairobi. Unafikiri wawekezaji ni wajinga wawekeze mabilioni ya pesa wakijua hakuna wanununuzi wa hizo nyumba? It's called supply and demand. There wouldn't be any supply kama demand haingekuwa. Basic economics.

Nyinyi kama hamba uwezo wa kununua nyumba huko kwenu ndio maana ujenzi wa apartments ulifilisika kaa kando tuwaoneshe jinsi mambo yanavyfanyika.

As I type this, I know of about seven different apartments in Nairobi (all 20+floors) under construction na zote ni za kuuzwa.

Lastly, can you share with us that report indicating that most residential apartments for sale are empty
Nimemwambia alete hiyo report boda hajarudi kucomment😂😂
 
Back
Top Bottom