Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kwani hizi magorofa hakuna Tz au.? Nashindwa kukuelewa wewe punguni. 😂😂
Ziko wapi?
Zaidi ya nusu ya Dar hakuna magorofa.
Uswazi kila eneo
images - 2024-05-19T141208.723.jpeg
images - 2024-05-10T192854.499.jpeg
images - 2024-04-10T174632.433.jpeg
images - 2024-03-02T143552.856.jpeg
images - 2024-02-06T145416.927.jpeg
images - 2024-02-02T160906.997.jpeg
manzese-980d6ac6-0f71-4237-b61d-83162fdc3f0-resize-750 (1).jpeg
images - 2024-02-05T210932.106.jpeg
 
Demands mkuu, nyie kwenu kuna demands ya apartment ila sisi ni tofauti demands ipo kwa nyumba za kumiliki mwenyewe ndio maana makampuni ya Ujenzi na viwanja ni mengi sana.

Private wamehamishia nguvu huko wanakujengea nyumba kabisa unawapa kiwanja unakabidhiwa funguo tu.
Nimerudia hii kitu mpaka nimechoka, apartment nyingi zina plans za kununua na kumiliki kando na renting
 
Niliona report leo majengo yao mengi ya apartments hazina watu. 😂😂😂
Zile "sold wakati wa ujenzi" ni aina ya marketing tu.
Bongolala, if that was the case, these apartments wouldn't be mushrooming up day and night in Nairobi. Unafikiri wawekezaji ni wajinga wawekeze mabilioni ya pesa wakijua hakuna wanununuzi wa hizo nyumba? It's called supply and demand. There wouldn't be any supply kama demand haingekuwa. Basic economics.

Nyinyi kama hamba uwezo wa kununua nyumba huko kwenu ndio maana ujenzi wa apartments ulifilisika kaa kando tuwaoneshe jinsi mambo yanavyfanyika.

As I type this, I know of about seven different apartments in Nairobi (all 20+floors) under construction na zote ni za kuuzwa.

Lastly, can you share with us that report indicating that most residential apartments for sale are empty
 
Bongolala, if that was the case, these apartments wouldn't be mushrooming up day and night in Nairobi. Unafikiri wawekezaji ni wajinga wawekeze mabilioni ya pesa wakijua hakuna wanununuzi wa hizo nyumba? It's called supply and demand. There wouldn't be any supply kama demand haingekuwa. Basic economics.

Nyinyi kama hamba uwezo wa kununua nyumba huko kwenu ndio maana ujenzi wa apartments ulifilisika kaa kando tuwaoneshe jinsi mambo yanavyfanyika.

As I type this, I know of about seven different apartments in Nairobi (all 20+floors) under construction na zote ni za kuuzwa.

Lastly, can you share with us that report indicating that most residential apartments for sale are empty
Usijisumbue nae huyo mbwa, kazi ni kubweka 😂😂😂
 
Slum in Nairobi View attachment 3063138

Dar middle-class area🤣🤣🤣🤣
View attachment 3063140
Swali ni je, sasa vituko ziko wapi kati ya hizi sehemu mbili?
Hizo eneo zote ulizotaja ni sehemu ya wafu wa hali ya chini.
Hapo hakuna middle class residents kabisa.
Usiongee uongo.
Hizo ni nyumba za matofali japo za zamani Tanzania masikini anaishi vizuri kuliko wa Kenya.
 
Hako gani za binadamu mnaheshimu kama mnalawiti watoto wadogo?🤣🤣😂😂👇👇👇

View attachment 3062897
Kuna muda mwingine unakuaga na ubishani wa kipumbavu sana.
Mpaka hizo ripoti zinatolewa inamaana tafiti zimefanyika na hatua ya kupambana na huu uhalifu zimeandaliwa.
Ndio maana hata wale askari wamekamatwa na kufikishwa katika mikono ya sheria.
Sasa sijui unataka kueleza nini zaidi!??
Muda mwingine achaga ubishani wa kipumbavu.
 
Back
Top Bottom